Wanatakiwa wazalishe sukari ya kutosha ili watu tununue kwa bei ya chini. Porojo zingine hazina maana.

Inawezekana bashe alikiuka taratibu lakini hao aliowapa vibari vya kuingiza sukari waliingiza hiyo sukari nchini au walishindwa? Kama waliingiza na sisi tunahitaji sukari basi hakuna sababu kubwa ya kuendelea na mijadala ya hii kitu

Bashe atakuwa amejifunza kuhusu kufuata taratibu na wenye viwanda wamejifunza kwamba wasipozalisha sukari ya kutosha soko lao litachukuliwa na watu wa nje
 
Maelezo haya yote ni mazuri, lakini cha kujiuliza ni nini kiliwaziba midomo kupelekea hadi akina Mpina kujeruhiwa kwa hila?

Kwanini wasingelitoa ushuhuda wa tamko hili mapema haraka iwezekanavyo ili kuuweka ukweli wa tuhuma hizo potofu mapema?

Tz imegawika kwa kunyamazia maneno haya kwa kushindwa kuyatoa kwa wakati.

Wengi wapo upande wa Waziri kwa namna walivyoaminishwa na maneno yake ya shobo juu ya tuhuma nzito kuhusu wenye viwanda kuweka mazingira ya uhaba.

Ni wachache tu wenye akili kubwa ndiyo wapo na Mpina baada ya kutumia jicho la tatu kuusaka ukweli wa mambo.

Mnakujaje kutoa ushahidi wa mtu aliyetuhumiwa kwa kesi ya mauwaji ya uongo na tayari alikwisha hukumiwa na adhabu ya kunyongwa ilishatekelezwa?
 
Hujaona hayo mapapa yanavyohaha hapo? Bila Bashe ungeyajuwa hayo?

Wao wazalishe sukari, Bashe huko kishafunga mjadala, sasa hakuna cha kibali hakuna cha nini., NFRA wanahakikishsa wanaipata sukari popote ilipo mradi ghala lao la kuhifadhi lisipunguwe tani 200,000 za sukari.

Wananunuwa kwa nani kazi kwao.
 
Waziri Bashe anatakiwa kujiuzulu hafai kuongoza Wizara ya kilimo. Laiti ningelikuwa ndio mimi Rais wa Nchi ningesha litumbuwa hilo jipu lakini wapi Mama Abdul anamlinda Waziri Bashe Mama anawalinda Mafisadi wa nchi wanaosababisha hali ya maisha ya watu wa chini kuwa ni ngumu. Ewe Mungu tusaidie sisi Walala hoi na nchi yetu na utupe viongozi ambao wenye uchungu wa kuipenda nchi yao na wananchi walala hoi na masikini amin yarabi.
 
Wapenda nchi upinzaji wananunuliwa na CCM kuupunguzia upinzani nguvu hapo wananchi watafanya nini. Watetezi wao wanavunjwavunjwa na watesi kuongezeka
 
Mjinga huyu, dalali anayetumiwa kufanya lobbying serikalini, alianzia Tanzanite. Hii kampuni ya Kilombelo ndio Mkapa aliichukua kwa mgongo wa wananchi.

Hawa wajinga ndio wamemuhonga Mpina na kulipia vyombo vya habari kila kimoja 10,000,000
hii nchi bana waandishi wa habari wananunuliwa,wapinzani wananunuliwa,viongozi wa dini wananunuliwa na chama Tawala, ccm ni balaa kubwa wananchi mtaponea wapi?Amkeni Bunge hili balaa
 
Tunaweza kuzunguka na kutengeneza fitina, lakini ukweli utabakia pale pale, BASHE NI FISADO PAPA. Bilioni 36 amezitembeza vizuri kwa wabunge wala rushwa. Na ukifuatilia, wabunge waliokula mlungura ni walewale wa DP W, wakiongozwa na Musukuma, ambaye DP W walimpa dola 50k, nyumba Dubaina V8.
 

..wauza vocha wataruhusiwa kuagiza sukari au wameshatosheka walivyopiga?
 
Dini yetu inaongoea binti
Ukiwa sober tatakari upya
 
Hao wengine wote hawajapendewzewa mwendazake alivyompa shamba Bakhresa.

Bakhresa hayupo kabisa katika ujinga wao hao.

Unafahamu kuwa sukari anayozalisha Bakhresa mpaka sasa hata yeye mwenyewe kwa matumizi ya viwanda vyake haimtoshi?
Bwege wew Habari inasema umoja wa watengeneza sukari kiwanda Cha bagamoyo nclusive

Naona unajitahidi kutetea dini lakini unajichanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…