Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Wapinzani wenyewe bungeni hawapo wataweza kuwatetea kivipi? Serikali iliyopo madarakani ni kama Serikali ya chama kimoja hakuna Wapinzani ndani ya bunge. Munatakiwa Wananchi wenyewe mujitetee kudai haki zenu sio kungojea vyama vya upinzani kuwatetea haki zenu viongozi waliopo madarakani wengi wao ni mafisadi wanajinufaisha matumbo yao hawajali walala hoi Wananchi amkeni teteni haki zenu mutazipata. Mukinyamaza kimya hamtapata haki zenu kabisa.Wapenda nchi upinzaji wananunuliwa na CCM kuupunguzia upinzani nguvu hapo wananchi watafanya nini. Watetezi wao wanavunjwavunjwa na watesi kuongezeka
Ni hakika bila kupepesa macho, SPIKA ana mkono kwenye Sakata la Sukari.
Inakuaje Wazungu walíruhusu Msomi wa Makaratasi asiyejua kutafasiri Sheria , kua Spika??.
Ni Ngozi nyeusi au Samia ??.
Hakika Alafu Balozi ni Mwenye Busara sana.Balozi ametuasa kuwa tukiona vitoto vya Simba vinacheza porini basi tujiulize kwanza baba na mama yao wako wapi?
Kamati Teule ni muhimu ila inategemea na aina ya wabunge tulionao bwasheeBwashehe kip kilifaa kuwa 1st priority kwa ccm kumuadhibu mpina au kuunda kamati teule ya bunge
hoja ya kipuuzi sana kuongelewa na mtu mwenye heshima, kuwa yeye ni mtoto wa simba kuna simba yuko kichakani, tena kuna jike pia, obvious linalembua macho pia, waliagia sukari pasi kujua watauza wapi wasipopewa kibali obvious lioness alimwambia we keta wasitubabaisheHuyo aliesemwa ni baba wa watoto wa simba kwenye uagizaji wa sukari ni nani?
Anayemjua anisaidie kuelewa!
Tanzania adui yetu ni ujinga, kwani balozi hawi mjinga?Na wewe ujinga wako peleka kwa mumeo Kama unae, huwezi leta dharau kwa watu Kama Balozi alieelezea issues kwa ufasaha vile
Bashe ni mwizi kilichofanyika kwenye hilo dili ni ufisadiKwa mtazamo wangu, Bashe ameshinda hii Vita, amefanikisha kumtoa nyoka pangoni. Hii ni hofu ya financial bill, Mimi sijaona hoja yenye mashiko kwao, zaidi ya kujitetea kuwa wao sio maharamia Wala so mapapa. Ila kwangu Bashe amewashika pabaya. Amepiga kwenye mshono. Bashe anatakiwa kuungwa mkono na kupewa nguvu.
Wabunge wajipime walichofanya kwa MpinaMh. Balozi siyo tu Don....Aibu Kwa Bunge la Tanzania!
Huyo metl aliwahi kuleta sukari ya kk ambayo baadae iluzuiwa.Wapigaji wameingia kwenye suala la kuagiza sukari kutoka nje.
Hilo bila shaka yoyote litawezesha kuingiza nchini sukari ilokwisha muda wake na isofaa kwa matumizi ya binadamu.
wauza vouchers ni wapigaji.
Wazalishaji wa sukari ni lazima walindwe na serikali wahitaji sana hiyo kinga ili kuwasidia kufanya biashara yao bila shida.
Huwezi kujenga kiwanda kama cha Bagamoyo Sugar ambacho mzee Balhresa kaamua kuwekeza na hapohapo wakandamiza wazalishaji wa ndani.
Huko hakuna bunge hakuna spikaWabunge wajipime walichofanya kwa Mpina
Ach wafu wazikaneAisee! Sidhani kama atapona mtu hapo. Hatari sana hii!
Uwii napitaHuko hakuna bunge hakuna spika
Lile ni genge tu la watu fulani wamekusanywaaa
Ova