Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Mm wangu nikiwatahiri wakiwa na miaka miwili..ila wapo ninaowafahamu waliotahiri wa kwao walipokuwa na miezi miwili tu...
 
umri mzuri kumtahiri mtoto ni kuanzia miaka mitatu na kuendelea.hii ya sasa ya mtoto kuzaliwa na kumkimbizia visu ni kutojua madhara yake
 
Mi naona ni mambo ya fashion ambayo hakuna hata reference kusema kama ina madhara au la wakiwa wakubwa; maana hatukuwa na huu utamaduni before. Kwa nini mtu u risk au ukubali kufanya experiment kwa mwanao?

umri mzuri kumtahiri mtoto ni kuanzia miaka mitatu na kuendelea.hii ya sasa ya mtoto kuzaliwa na kumkimbizia visu ni kutojua madhara yake
 
Mi nilimtoroka ngaliba wa kienyej nikatahiliwa hosptal 9yrs.cna tatzo nacmamia shoo ipaswavyo
 
Duh!
Inaonekana wengi humu wamekulia magorofani, Hivi wewe ulitahiriwa ukiwa na umri gani?
Mimi nimetahiriwa ni kiwa darasa la Nne.
n anaamini ilikuwa makusudically na sio bahati mbaya, Kiafrica tohara ni mila na jadi yetu so Kutahiriwa lazima uwe atleast unajitambua ili uweze kujua utamu na maumivu yake na uwe mwanaume wa kweli.
 
Mwanangu nimemtahiri ana siku 20 kufika 40 kapona safi na inadinda akiamka asubuh safiiiiiii......
 
Mi nina 26 years bado cjatahiriwa....
 
kuwahi kumtahiri mtoto kuna faida moja kubwa kwani humpunguzia mtoto uwezekano wa kupata magonjwa.
 
Wangu nafikiria kumpeleka kwa ngariba, kule nadhani Atajua thamani ya uume wake
 
Ngoja nimalizie Masters yangu kwanza ndio nitafikiria kutahiriwa!
 
Mi nilijitahiri nikiwa chuo kikuu nachukua degree so at 20' age sema nilikaa mwezi mmoja kupona
 

wewe ni askofu kweli kweli au........make siku hizi kuna maaskofu wa magumashi kibao full kuchumia tumbo...! kama Mtetemela.
 
Jamani naomba kuuliza umri mzuri wa kutairi mtoto wa kiume ni upi?
asanteni
 
Jamani naomba kuuliza umri mzuri wa kutairi mtoto wa kiume ni upi?
asanteni

kule kwetu usukumani kukata mkono wa sweta (govi) umewahi sana ni miaka kumi na mbili ndo unapelekwa jando, dhumuni kubwa ni kuacha uume ukuwe vizuri na uwe imara, ili mtoto asiaibike kwenye ndoa. Ndo maana sie wa kanda ya ziwa tumejaaliwa na wake zetu hawana michepuko, sasa huku mjini kitoto kichanga kinatairiwa, wengine wanatairiwa vibaya hata kusimamisha inakuwa sio asilimia mia na wengi wanakua na vibamia, ndo maana wadada wasikuizi wakiolewa hawadumu kwenye ndoa, full kulalamika kuwa mume mlevi, mara analala nje mara hili mara lile, lakini ukweli ni kwamba wengi wa wanaume wanaotahiriwa wakiwa vichanga kitandani ni shida. Ikitokea tu siku mke kamuona houseboy (ambao wengi hutoka kijijini) kaptula imetuna, inakua shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…