God Heals
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 719
- 1,365
Ana umri wa miaka 25Hivi sasa ana umri gani huyo aliyetahiriwa na miezi 8?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana umri wa miaka 25Hivi sasa ana umri gani huyo aliyetahiriwa na miezi 8?
Kwahiyo ulimkagua ukaona hanaAna umri wa miaka 25
Yaani kipnd naandika ili kuchangia hii mada nilitegemea kukutana na na swali kama hili lako.Kwahiyo ulimkagua ukaona hana
Nikweli mpnz ukitahiri mtoto akiwa mdogo sana anakuwa kibamia ...mtoto anamiezi 6 MTU anamtahiriKuhusu kibamia si kweli.
AhsanteeeKwahiyo ulimkagua ukaona hana
uwiii una ushahidi my dear? mtu kasema hata siku 7 ni sawa?Nikweli mpnz ukitahiri mtoto akiwa mdogo sana anakuwa kibamia ...mtoto anamiezi 6 MTU anamtahiri
Muda mzuri sana kwa mtoto aliyezaliwa na afya njema ni siku 7
Sidhani kumthiri mdogo kunamfanya awe na kibamiaNikweli mpnz ukitahiri mtoto akiwa mdogo sana anakuwa kibamia ...mtoto anamiezi 6 MTU anamtahiri
Ninao lkn maswali yatakuwa mengiuwiii una ushahidi my dear? mtu kasema hata siku 7 ni sawa?
Wangu nilimtahiri akiwa na miezi 3 tuuSidhani kumthiri mdogo kunamfanya awe na kibamia
Wangu nilimtahiri akiwa na miezi mitano lkn yuko fresh
Hakuna muda maalum, ni wewe kujipanga ukiwa tayari mfanyie...naomba kujuzwa miaka sahihi ya kutahiri mtoto wa kiume
kuna wanaoamini ni vizuri acheleweshwe mpaka miaka 5-7 kwamba akiwahi atakuwa kibamia? kuna ukweli hapo jamani
maana asijekukimbiwa na mademu hapo badae nikakosa mkwe[emoji3]
[emoji3] [emoji3] kwaio kibamia ipo kwenye genes? hii nimejua leo asante lakiniMBONA mie kibamia na nilitahiriwa juzi kwenye operesheni dondosha mkono sweta huko tabora.. ..haina uhusiano wowote mtoto wa kiume anarithi dushe la baba yake...so hutaki awe kibamia zaa na mandingo.
ushahidi hata pm plzNinao lkn maswali yatakuwa mengi
Kuhusu kibamia sio kweli maana mm nilitahiriwa nikawa na chini ya miezi 6 (kwa taarifa ya mama yangu) lakini sina kibamia, yani nina dushelele haswa. [emoji23] [emoji23]naomba kujuzwa miaka sahihi ya kutahiri mtoto wa kiume
kuna wanaoamini ni vizuri acheleweshwe mpaka miaka 5-7 kwamba akiwahi atakuwa kibamia? kuna ukweli hapo jamani
maana asijekukimbiwa na mademu hapo badae nikakosa mkwe[emoji3]
wewe ni Me au Ke?Yaani kipnd naandika ili kuchangia hii mada nilitegemea kukutana na na swali kama hili lako.
Huyo ni mdogo wangu, nmeishi naye na amekua mikononi mwangu, tumeishi chumba kimoja mpaka tunaachana akiwa 15. Sasa hili swali lako.........! Maan hata wazee husema, "kwenye msafara........"