Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MBONA mie kibamia na nilitahiriwa juzi kwenye operesheni dondosha mkono sweta huko tabora.. ..haina uhusiano wowote mtoto wa kiume anarithi dushe la baba yake...so hutaki awe kibamia zaa na mandingo.
Huyo mdogo wako unajuaje hana kibamia alikuoneshega dusheeKibamia na kuwahi kutahiriwa hakuna ukweli/uhusiano.
Mimi wa kwangu ana mwaka 1.9 nshagorogosha kila kitu, alhamisi ijayo atatahiriwa tukijaaliwa uhai.
Na mdogo wangu alitahiriwa akiwa na miezi 8, na hana kibamia.
Sidhani kumthiri mdogo kunamfanya awe na kibamia
Wangu nilimtahiri akiwa na miezi mitano lkn yuko fresh
Mwache akue hadi 15 mzigo ufike 7inc ndio umkate hiyo ngozi halafu subiri foleni ya mijimama itakayomkimbilianaomba kujuzwa miaka sahihi ya kutahiri mtoto wa kiume
kuna wanaoamini ni vizuri acheleweshwe mpaka miaka 5-7 kwamba akiwahi atakuwa kibamia? kuna ukweli hapo jamani
maana asijekukimbiwa na mademu hapo badae nikakosa mkwe[emoji3]
we umejuaje hana kibamia??Kibamia na kuwahi kutahiriwa hakuna ukweli/uhusiano.
Mimi wa kwangu ana mwaka 1.9 nshagorogosha kila kitu, alhamisi ijayo atatahiriwa tukijaaliwa uhai.
Na mdogo wangu alitahiriwa akiwa na miezi 8, na hana kibamia.
Njoo vyileeeee. .in nyoshi el saadats voice.[emoji3] [emoji3] kwaio kibamia ipo kwenye genes? hii nimejua leo asante lakini
nenda googleHivi? Kibamia ndo nini.
Hahahaha BAK mie mama jamani si namuogesha namuona kama nanihii iko freshHahahahaha lol! Clkey umetumia kipimo kipi ili kujua yuko fresh? Mzima lakini? 🙂
Hahahaha BAK mie mama jamani si namuogesha namuona kama nanihii iko fresh
Mie namshukuru Allah sijambo kbisaaa labda ww mkuu
ShukraniMie pia namshukuru Mungu niko bomba.
Wewe unavyohisi mimi ni nani?wewe ni Me au Ke?
Mkuu mbona umewaka Sana kwa kitendo cha mwannchi mmoja kutaka kujua jinsia yako.Wewe unavyohisi mimi ni nani?
Na je, hata nikiwa mwanamke, au mwanaume wew itakusaidia nini?
Wakati mwingine kama huna cha kuchangia ni bora ukaoge, ukalale.
Wengine hatukufunzwa kutapika hata kama hatuonekani, jiheshimu ili uheshimiwe. Asante!