Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Wewe unavyohisi mimi ni nani?
Na je, hata nikiwa mwanamke, au mwanaume wew itakusaidia nini?
Wakati mwingine kama huna cha kuchangia ni bora ukaoge, ukalale.

Wengine hatukufunzwa kutapika hata kama hatuonekani, jiheshimu ili uheshimiwe. Asante!
Povu la OMO,,
 
Hivi.......na umri recommended wa kukeketa ni upi...
Msaada nimeshindwa kuanzisha thread yangu
 
Yaani kipnd naandika ili kuchangia hii mada nilitegemea kukutana na na swali kama hili lako.
Huyo ni mdogo wangu, nmeishi naye na amekua mikononi mwangu, tumeishi chumba kimoja mpaka tunaachana akiwa 15. Sasa hili swali lako.........! Maan hata wazee husema, "kwenye msafara........"
Mi mwenyewe nilikua nalo nikasubiri tu mwingine aulize [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu mbona umewaka Sana kwa kitendo cha mwannchi mmoja kutaka kujua jinsia yako.
KWANI ungemjibu ME au KE ingekuwaje?
anyway...na mie naomba kujua jinsia yako tafadhali. ...kwa manufaa ya jukwaa tambulisha jinsia yako.
Hapo sijawaka kaka, nimeongea kwa upole tu.
Kutamburisha jinsia yangu hakutomsaidia muuliza swali/mwanzisha mada kupata majibu, tahadhari, au ufahamu wa alichouliza.

Na kwa kuwa mimi sio mkuu wa wilaya, mkoa, mbunge, wala waziri siwezi jibu swali nisiloulizwa.
Mwanzisha mada kauliza kuhusiana na "umri sahihi wa kutahiri mtoto wa kiume." Hakuuliza kuhusiana na jinsia ya God Heals, hivyo basi nimejaribu kujibu kile kidogo ninachofahamu.

Sasa anapotokea mtu mwingine, bila kuwa na busara na utuli, anakurupuka tu eti "wewe ni me/ke?" Hii itamsaidia nini muuliza swali? Je, ndicho alichotaka kujua?

Hatujuani, hatufahamiani, tumekutana tu hapa tukiwa nyuma ya "keyboard" zetu, basi tujaribu kujibu tunachoulizwa. Ukitaka kujua mimi ni wa namna gani, nitafute nje ya hapa. Asante!
 
Kibamia ni maumbile tu ya mtu sio kwa Sababu ya kuwahi kutailiwa.
Mimi niliambiwa nilitailiwa wakati ninatambaa kwa Sababu ya mashambulio UTI.
Leo hii Nina 30 something na niko pouwa kama wengine.
 
Kibamia na kuwahi kutahiriwa hakuna ukweli/uhusiano.
Mimi wa kwangu ana mwaka 1.9 nshagorogosha kila kitu, alhamisi ijayo atatahiriwa tukijaaliwa uhai.

Na mdogo wangu alitahiriwa akiwa na miezi 8, na hana kibamia.
Ulipimaje?
 
Miaka 18 ni mizuri ya kutahiri(kukata govi) ,Mkono swetu a.k.a Asante Monica.

Hapo mishipa ya damu itakuwa imejijenga na mwanaume ataweza kumkuna mwanamke kwenye G-Spot lakini mwanaume yeyote aliyewahishwa kutahiriwa hawezi mkuna vizuri mwanamke:Wengi wanaishia kupizi lakini unakuta mwanamke bado hajakojoa
 
Miaka 18 ni mizuri ya kutahiri(kukata govi) ,Mkono swetu a.k.a Asante Monica.

Hapo mishipa ya damu itakuwa imejijenga na mwanaume ataweza kumkuna mwanamke kwenye G-Spot lakini mwanaume yeyote aliyewahishwa kutahiriwa hawezi mkuna vizuri mwanamke:Wengi wanaishia kupizi lakini unakuta mwanamke bado hajakojoa
Nina wasi wasi na combination uliyosoma high school
 
Nimetahiriwa nikiwa na wiki tatu na nimeshuhudia wadogo zangu wanakula kisu ndani ya week 2 toka kuzaliwa. Wote ni members wa BIG DICK CLUB. Tahiri mtoto wachana na maneno ya watu.
 
WAKO WANAOAMINI MALE CIRCUMCISION INA MADHARA


activists-protest-against-circumcision-outside-the-washington-convention-c233x2.jpg
bay_area_intactivists_protest_san_francisco_medical_society_1 (1).jpg
mom_1493850617176_9368257_ver1.0.png
2016-04-14_Circumcision_Protest_Joshua.Guerra52991.jpg
circ_protest.jpg
stock-photo-banana-as-symbol-for-circumcise-629900921.jpg
 
Habar za leo wana jukwaa baada ya salaam najielekeza moja kwa moja kweny mada huska nimeileta hii kwenu ili kutujuza wazazi wengi hatujui ni mda au umri gani sahihi kwa kumtahiri mtoto wa kiume pindi anapozaliwa maana kuna wengine wanasema kuwa akitahiriwa mapema sana akiwa mchanga kama ilivokuwa kwa Yesu siku 8 baada ya kuzaliwa kwamba anakuwa na uume mdogo eti anakuwa haujakomaa uume na hivo inapowahi kimtahiri unafanya uume wake usikue tena na kurefuka na kunenepa vizuri .

Pia kuna wengine wanasema kuwa kumtahiri akiwa mkubwa labda baada ya kubarehe anakuwa anapata maumivu makali na makubwa hivo mtoto anumia sana na kuona kama wazazi walikosea wangemutahiri mapema ili aepuke yale maumivu ya kutahiri ukubwani japo inaonekana kwamba ndo vizuri maana uume wake unakuwa umesha kua mkubwa na haitamuadhiri..
Sasa kutokana huuu mkanganyiko nikaona nilete huu uzi ili kuondoa hii sitofahamu iliyoko ktk jamii yetu ya kitanzania hoja na swala la. Msingi ni upi mda au umri sahihi wa kumtahiri mtoto ili aje awe maumbile mazuri aliyopewa au kukusudia na mwenyezi Mungu? "je ni miaka 1 hadi 5 au 5 hadi 10 au 10 hadi 15 au 15 hadi 20???? Ili aje awe mwnaume rijari na kamili awe na nguvu za kiume na uume mbashara.

Wewe mwenyewe ulitahiriwa ukiwa na miaka mingap je mwanao alikuwa na umri gani ..

Mimi nilieleta hii mada nmetahirwa nikiwa mkubwa wa miaka 16

Karibuni sana watalaam mtuelimiishe.. Samahan staweka picha hapa aisee.
 
Back
Top Bottom