Umri huu ni kete yako ya mwisho, ukikosea ni majuto hadi unaingia kaburini

Umri huu ni kete yako ya mwisho, ukikosea ni majuto hadi unaingia kaburini

" Huyu mwanaume anaboa, hamna matukio kabisa, haya mahusiano yanaboa"

Kama umeshawahi kukutana na mtu wa aina hii utagundua binadamu tunatamani jambo la utofauti kila wakati hivyo siku zote tunaona tulikosea kufanya maamuzi ndo maana usishangae kukutana na tajiri hana furaha.
Umeongea kitu kimunwa sana. Wachache watapita kule.

It's like watu wanavyodai life start at forty. Nashagaa kuna madogo Wana 30 Wana maisha mazur
 
Kama umefanikiwa kujenga nyumba nzuri ya kuishi...asikudanganye mtu ww kula bata
hahaha najuta nikifulia kwa kweli
kama nnazo, kiti kirefu Fancy Tabata, makange ya mbuzi na ceres apple pembeni

Ukiwa na chini ya 3.0 basi una GPA ya kishenzi.
Yangu ipo chini ya hapo na nilisoma kwa shida sana mawazo mengi sanaa
 
Nina miaka 37, katika umri huu nimekuwa nafanya mambo mengi ya kiuchumi na kijamii hivyo najikuta nakutana na watu wengi sana tunaobadilishana nao mawazo yanayohusu mambo mengi ya uchumi na jamii, nilichokibaini wengi wa watu wanajutia makosa yao na wameshindwa kuyarekebisha makosa yenyewe ni haya -

1. Ndoa wanaume wengi na wanawake wengi wanajutia ndoa zao na wanaona walikosea kuzaa ama kuishi na wenza wao , wengi hujiona wenye hatia na kuona hawakufanya chaguo sahihi , hata waliofanikiwa kuvunja ndoa zao hujutia vile wameshindwa kulea watoto wao pamoja na mwisho wa siku inabaki kuwa ni lawama isiyokwisha

2. Makosa ya kukimbia shule, kukosea kuchagua masomo na kazi wanazofanya ,hapa pana majuto sana , wengine hulaumu mamuzi yao ama wazazi wao kutowapatia elimu sahihi na matokeo yake wanajikuta either hawana elimu sahihi , wengine wanajiiona kazi wanazofanya sio sahihi nk na mbaya muda wakubadili kazi ama kusoma tena haupo,

3. Aina ya uwekezaji , kuna uwekezaji mzuri na uwekezaji mbaya , bahati mbaya sana kipindi tunawekeza tunakuwa hatuna clear mind, mtu ananunua kiwanja maeneo hayakuwa sahihi, mwingine anajenga nk unajikuta umetumia pesa nyingi na huwezi kuja kuipata tena hili ni tatizo na linaleta sana majuto, nina mtu huwa anajutia sana kwa nini alipoanza kazi tu akaoa, akajenga na kuingia kwenye majukumu mapema na kujikuta hana uwezo tena wa kujipanga tena labda akifika uzeeni

4. Kutomjua MUNGU ujanani wapo walioharibu afya na wapo walioharibu uchumi kwa sababu hawakumjua MUNGU , wengi hujutia mamuzi na sifa wanazotambulika nazo

6. Mahali pa kuishi , wengi wanajutia mahali wanapoishi na aina ya mazingira wanayoishi , wengi husema ningejua kipindi kile viwanja, mashamba nk vilikuwepo na bei zilikuwa rafiki ila sikufanya, wengine hujutia aina ya nyumba walizojenga na miji yao walivyoipanga nk na mwisho kabisa ni

8. Umri wa kupata watoto, wapo wanaojuta kwa nini hawakupata watoto mapema, wengine husema ningejua mtoto wa kwanza ningempata atleast na miaka 30 ila ndio hivo nilichelewa, wapo wanaoujuta kwa nini walizaa watoto wachache, sijakutan na mtu anayejuta kuzaa watoto wengi watu wanajutia umri na uchache wa watoto
Umeongelea ukweli tupu...(well said)
 
Kama umefanikiwa kujenga nyumba nzuri ya kuishi...asikudanganye mtu ww kula bata



Yangu ipo chini ya hapo na nilisoma kwa shida sana mawazo mengi sanaa
GPA haiumizi akili kama kufeli form six halafu ukose principal passes za kwenda kozi unayoitaka.. utakuta unataka upige Bcom ila wanachukua mwisho One ya 8 saa hiyo una II ya 12.
 
Nina miaka 37, katika umri huu nimekuwa nafanya mambo mengi ya kiuchumi na kijamii hivyo najikuta nakutana na watu wengi sana tunaobadilishana nao mawazo yanayohusu mambo mengi ya uchumi na jamii, nilichokibaini wengi wa watu wanajutia makosa yao na wameshindwa kuyarekebisha makosa yenyewe ni haya -

1. Ndoa wanaume wengi na wanawake wengi wanajutia ndoa zao na wanaona walikosea kuzaa ama kuishi na wenza wao , wengi hujiona wenye hatia na kuona hawakufanya chaguo sahihi , hata waliofanikiwa kuvunja ndoa zao hujutia vile wameshindwa kulea watoto wao pamoja na mwisho wa siku inabaki kuwa ni lawama isiyokwisha

2. Makosa ya kukimbia shule, kukosea kuchagua masomo na kazi wanazofanya ,hapa pana majuto sana , wengine hulaumu mamuzi yao ama wazazi wao kutowapatia elimu sahihi na matokeo yake wanajikuta either hawana elimu sahihi , wengine wanajiiona kazi wanazofanya sio sahihi nk na mbaya muda wakubadili kazi ama kusoma tena haupo,

3. Aina ya uwekezaji , kuna uwekezaji mzuri na uwekezaji mbaya , bahati mbaya sana kipindi tunawekeza tunakuwa hatuna clear mind, mtu ananunua kiwanja maeneo hayakuwa sahihi, mwingine anajenga nk unajikuta umetumia pesa nyingi na huwezi kuja kuipata tena hili ni tatizo na linaleta sana majuto, nina mtu huwa anajutia sana kwa nini alipoanza kazi tu akaoa, akajenga na kuingia kwenye majukumu mapema na kujikuta hana uwezo tena wa kujipanga tena labda akifika uzeeni

4. Kutomjua MUNGU ujanani wapo walioharibu afya na wapo walioharibu uchumi kwa sababu hawakumjua MUNGU , wengi hujutia mamuzi na sifa wanazotambulika nazo

6. Mahali pa kuishi , wengi wanajutia mahali wanapoishi na aina ya mazingira wanayoishi , wengi husema ningejua kipindi kile viwanja, mashamba nk vilikuwepo na bei zilikuwa rafiki ila sikufanya, wengine hujutia aina ya nyumba walizojenga na miji yao walivyoipanga nk na mwisho kabisa ni

8. Umri wa kupata watoto, wapo wanaojuta kwa nini hawakupata watoto mapema, wengine husema ningejua mtoto wa kwanza ningempata atleast na miaka 30 ila ndio hivo nilichelewa, wapo wanaoujuta kwa nini walizaa watoto wachache, sijakutan na mtu anayejuta kuzaa watoto wengi watu wanajutia umri na uchache wa watoto
Thanks
 
Relax bro. Kuhusu shule wengi tuna majuto. Tumepishana tu viwango. Kuna mtu alienda Advance na One ya 9 halafu six akapiga div. IV, Mwingine aliingia chuo na one kali ila akatoka na G.P.A ya kishenzi.
Nilienda form V nikiwa na dv one ya 13 form 6 nikamaliza na dv 3 ya 14 .
Mzee alinikatia tamaa sana,sikua Sawa na mzee since then. Kafariki akiwa hatUko in good terms na last born wake.
 
Back
Top Bottom