Umri miaka 91, Paul Biya Mitano mingine: tuendelee kujifunza

Umri miaka 91, Paul Biya Mitano mingine: tuendelee kujifunza

Ila madaraka matamu hata kama ni ya ndugu yako kubwa uwe na faida nayo..utatamani iwe hivyo miaka yote

1. Vitamu ni vingi ndiyo maana maandiko yakituasa kuwa na kiasi.

2. Ndiyo maana hata chakula kuna kushiba.

3. Huwezi kukomaa kula tu Kwa kuwa chakula ni kitamu.

Kama ni mstaarabu lakini.
 
Sorry but... naamini ndio maana waafrika huwa tunaitwa manyani!.

1. Yawezekana .. ila usisahahu Putin, Xi, Kim nk siyo waafrika.

2. Bila kusahau Nyerere au Mandela walikuwa waafrika.

3. Pana haja ya kutenganisha tamaa ya mzee fisi na uafrika.

Ndiyo maana kuendelea kujifunza si hasara ..
 
Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:

View attachment 2946542

Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.

Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?

Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?

Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Nikiwaambia kuwa Mungu anaipenda Tanzania muwe mnaniamini. Magufuli alitaka kuwa kama huyu Paul Biya. Baada ya Dikteta kuiba uchaguzi wote wa Serikali za Mitaa wa 2019, akaiba uchaguzi Mkuu wa 2020 kisha akaweka wabunge ambao wangempitisha awe Rais wa maisha mwaka 2025.

Ila Mungu akamuonyesha ukuu wake, hakuishi na uRais huo zaidi ya siku 114 kabla hajamtosa jehanam
 
Nikiwaambia kuwa Mungu anaipenda Tanzania muwe mnaniamini. Magufuli alitaka kuwa kama huyu Paul Biya. Baada ya Dikteta kuiba uchaguzi wote wa Serikali za Mitaa wa 2019, akaiba uchaguzi Mkuu wa 2020 kisha akaweka wabunge ambao wangempitisha awe Rais wa maisha mwaka 2025.

Ila Mungu akamuonyesha ukuu wake, hakuishi na uRais huo zaidi ya siku 114 kabla hajamtosa jehanam

1. Kulikoni kumsisitiza au kumsabiria Mola?

2. Watu hawa si wakuvumilia.

3. Hawa mbona ni saizi yetu?

4. Hawa ni wa kufurusha unceremoniously na Tena bila kuwaangalia nyusoni.
 
1. Kulikoni kumsisitiza au kumsabiria Mola?

2. Watu hawa si wakuvumilia.

3. Hawa mbona ni saizi yetu?

4. Hawa ni wa kufurusha unceremoniously na Tena bila kuwaangalia nyusoni.
Sijui Cameroon ni nchi ya mazezeta au misukule. How come mtu anayepaswa kuwa kwenye nyumba za kulelea wazee (nursing home) bado yuko ofsini?

Nilimpenda sana yule General Brice Oligui ambaye ni binamu wa Ali Bongo aliyeamua kufanya mapinduzi ya kumtoa Ali Bongo ambaye alikuwa anatumia wheel chair baada ya kupata stroke. Alimpindua ndugu yake bila kumwaga damu na maisha yanaendelea
 
Sijui Cameroon ni nchi ya mazezeta au misukule. How come mtu anayepaswa kuwa kwenye nyumba za kulelea wazee (nursing home) bado yuko ofsini?

Nilimpenda sana yule General Brice Oligui ambaye ni binamu wa Ali Bongo aliyeamua kufanya mapinduzi ya kumtoa Ali Bongo ambaye alikuwa anatumia wheel chair baada ya kupata stroke. Alimpindua ndugu yake bila kumwaga damu na maisha yanaendelea

Mdogo mdogo Wacha tuendelee kupata masomo
 
Angel Merkel alikaa madarakani miaka mingi pia.

Hata Nyerere alikaa muda mrefu, ila tofautisha kukaa muda mrefu kwa sanduku la haki la kura na hizi janja janja za mitaa ya kwetu.
 
Nikiwaambia kuwa Mungu anaipenda Tanzania muwe mnaniamini. Magufuli alitaka kuwa kama huyu Paul Biya. Baada ya Dikteta kuiba uchaguzi wote wa Serikali za Mitaa wa 2019, akaiba uchaguzi Mkuu wa 2020 kisha akaweka wabunge ambao wangempitisha awe Rais wa maisha mwaka 2025.

Ila Mungu akamuonyesha ukuu wake, hakuishi na uRais huo zaidi ya siku 114 kabla hajamtosa jehanam

Na Membe nae alionyeshwa ukuu kwa sababu gani?

Ukiwa mpumbavu uwe unaficha ujinga wako
 
Huyu Mzee mwishowe atakufa akitoa Speech Kazeheka sana.
 
Hana tofauti na ccm ambao hawaamini nchi yetu inaweza kupiga hatua ya maendeleo pasipo wao!

Cha kushangaza wao wenyewe ndiyo kikwazo namba moja cha kuyafikia hayo maendeleo ya kweli nchini.
 
Na Membe nae alionyeshwa ukuu kwa sababu gani?

Ukiwa mpumbavu uwe unaficha ujinga wako
Ya Membe weka wewe sababu, mimi nimeandika niliyo na uhakika nayo.

Wapumbavu kama wewe tumekatazwa tusibishane nao hata kwenye biblia. Mithali 26:4
 
Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:

View attachment 2946542

Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.

Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?

Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?

Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
WACHA ATAWALE NCHI NI YAKE WANANCHI WANAMPENDA MNO
 
Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:

View attachment 2946542

Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.

Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?

Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?

Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Halafu hawa watu huwa hawapati mvi kamwe hata kama wana miaka 90 mfano ni mugabe wa Zimbabwe.
 
Halafu hawa watu huwa hawapati mvi kamwe hata kama wana miaka 90 mfano ni mugabe wa Zimbabwe.

Katelefoni anaweza kukupa siri ya mafanikio.ta nywele zao, siyo bure.
 
Back
Top Bottom