Umri miaka 91, Paul Biya Mitano mingine: tuendelee kujifunza

Umri miaka 91, Paul Biya Mitano mingine: tuendelee kujifunza

Cha muhimu ni uboreshwaji wa katiba tu,mbona Trump anataka kurudia Urais....?
Umri wa Joe Bidden?
Lakini nchi Ina maendeleo.

Taabu yake ni kuwasubiria walioko madarakani kukubali kufanya maboresho hayo kwa ridhaa yao
 
Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:

View attachment 2946542

Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.

Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?

Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?

Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Madaraka ni matamu na ni machungu pia !!
Kiongozi akikaa sana madarakani anaanza kupata hofu ambayo inakolezwa sana na wale washirika wake ambao wananufaika sana kwa yule Kiongozi kubakia madarakani !!

Na pia wale waliokuwa wakijimwambafay kwa kufanya chochote wanachojisikia kufanya ni lazima watapata hofu kwamba Mzee akiondoka pale tutakuja kusulubiwa !
Kwahiyo wataendelea kumjaza hofu Mzee kwamba akiondoka pale juu ataishia gerezani !!
 
Hangaya mwenyewe tushamuambia atake asitake mitano tena..na form ndani ya chama tumeisha ichapisha moja tu
 
Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:

View attachment 2946542

Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.

Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?

Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?

Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Mbona kama ana miaka 70?
 
1. Vitamu ni vingi ndiyo maana maandiko yakituasa kuwa na kiasi.

2. Ndiyo maana hata chakula kuna kushiba.

3. Huwezi kukomaa kula tu Kwa kuwa chakula ni kitamu.

Kama ni mstaarabu lakini.
Akitoka wanauwawa waogaaaa
 
Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:

View attachment 2946542

Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.

Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?

Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?

Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Unaweza shangaa Machadema yenye Mwenyekiti wa milele eti nao wanashangaa 😆😆😆
 
Sina muda🙂

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Back
Top Bottom