- Thread starter
- #61
Nani alikufundisha huo msemo?
CCM aliyetimba kwenye hatamu za uongozi tangia 1954
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikufundisha huo msemo?
Cha muhimu ni uboreshwaji wa katiba tu,mbona Trump anataka kurudia Urais....?
Umri wa Joe Bidden?
Lakini nchi Ina maendeleo.
Madaraka ni matamu na ni machungu pia !!Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:
View attachment 2946542
Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.
Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?
Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?
Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Atakuwa amekufundisha Mbowe😎CCM aliyetimba kwenye hatamu za uongozi tangia 1954
Mbona kama ana miaka 70?Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:
View attachment 2946542
Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.
Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?
Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?
Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Akitoka wanauwawa waogaaaa1. Vitamu ni vingi ndiyo maana maandiko yakituasa kuwa na kiasi.
2. Ndiyo maana hata chakula kuna kushiba.
3. Huwezi kukomaa kula tu Kwa kuwa chakula ni kitamu.
Kama ni mstaarabu lakini.
Akitoka wanauwawa waogaaaa
Unaweza shangaa Machadema yenye Mwenyekiti wa milele eti nao wanashangaa 😆😆😆Ama kweli madaraka ni matamu, siyo bure. Kila akaliaye kiti kutoka hataki:
View attachment 2946542
Zitaibuliwa sababu za kila rangi: hayupo mwingine hadi kuwa hatoki kwa sababu kuna wanaotaka atoke.
Kumbe kwanini Museveni, Kagame, Putin, Xi, Kim au wale wengine wangali wamekomaa?
Kwamba kama ndoa, hadi kifo kiwatenganishe?
Kwa hakika tuendelee kujifunza penye nia ipo njia.
Ndio pa kujifichia sio? Paul ni Mwenyekiti wa Kudumu wa Chama chake pia kama Mbowe.Hii nchi ya Chadema iko bara lipi?
China na Russia wao sio manyani? Kim Je?Sorry but... naamini ndio maana waafrika huwa tunaitwa manyani!.
🤠🤠😁! Hakuna asiependa madaraka lo
Unachekesha😎