Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
Tafiti zinaonyesha wanawake huogoza kuhofia umri ila hata wanaume nao huogopa ongezeko la umri , kuna madhara makubwa usipodhibiti hofu ya umri

MADHARA USIPODHIBITI HOFU YA UMRI.
1. Kukosea kwenye kuchagua
2. Kufanya maamuzi ya hovyo
3. Kupoteza msimamo.
4. Kukosa subira.
5. Kuwa na hasira za hovyo.

DHIBITI HOFU YA UMRI
Umri ni kitu kisichorudi nyuma hivyo njia pekee ni kukubali tu kuwa hakuna namna utafanya urudi nyuma na umri kuzidi isiwe sababu ya kujiona hustahili tena kuchagua kwa utulivu

#fikia Ndoto Zako
#Mwanasayansi Saul kalivubha
 
Maajabu ya viumbe

Wanamuomba mola umri mrefu lakini hawautaki uzee......

Kila mwaka wanaadhimisha miaka kadhaa ya kuishi duniani lakini hawataki kuitwa wazee......

Umri mrefu ni ushahidi wa neema ya uhai wako hapa duniani.....ni ishara kuwa mola wako ameeendelea kukuteua kuziona nyakati

Umri mrefu ni ishara ya upendo wa Mungu maishani mwako kwani wapo wengi waliotamani kuishi na kutumia gharama kubwa lakini wakaondoka......

Furahia umri
Furahia nyakati
Furahia Uhai

Acha masononeko na msongo wa mawazo kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wako unatakiwa uishi kwa kuhesabu neema za mola wako mlezi maishani mwako......
 
Sisi wanawake hofu tumeshaiondoa, tumekubali ukweli kuwa wanaume ni wachache, hao hao wachache Kuna mashoga, Kuna wasio na nguvu...
Kwn umri ni ktk ndoa tu?

Umri unaleta hofu zaidi pale ambapo kuna malengo ulijiwekea halafu hayajatimia...kwa mfano Kujenga, kusimamisha biashara, kuanzisha kampuni n.k...

japo pia kuwa na ndoa na familia lipo sikatai
 
Sisi wanawake hofu tumeshaiondoa, tumekubali ukweli kuwa wanaume ni wachache, hao hao wachache Kuna mashoga, Kuna wasio na nguvu...
Wanawake nahisi siku hizi ndio wamekuwa wachache sana Wengi ni mijike dume.

Wanaharakati wa hovyo waliotayari kufanya Chochote hata kama ni Kudhalilisha viungo vyao ili wapate pesa.

Tena hao hao wanaosema wanaume wamekuwa wachache ndio hao hao wanachezewa nyeti zao balaa tena mbele ya Camera.

Kisha wakija huku JF wanasema Wanaume ni wachache.

Wanawake Wasagaji ni wengi wasimbe nao ni wengi tomboys nao ni wengi makahaba ni wengi wadangaji ni wengi wanawake Bikra ndio wachache tena bikra za nyuma ndio chache kweli kweli kiufupi hali ni mbaya.

Shetani imetosha kuwaharibu hawa viumbe.
 
Back
Top Bottom