Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Wanawake nahisi siku hizi ndio wamekuwa wachache sana Wengi ni mijike dume.

Wanaharakati wa hovyo waliotayari kufanya Chochote hata kama ni Kudhalilisha viungo vyao ili wapate pesa.

Tena hao hao wanaosema wanaume wamekuwa wachache ndio hao hao wanachezewa nyeti zao balaa tena mbele ya Camera.

Kisha wakija huku JF wanasema Wanaume ni wachache.

Wanawake Wasagaji ni wengi wasimbe nao ni wengi tomboys nao ni wengi makahaba ni wengi wadangaji ni wengi wanawake Bikra ndio wachache tena bikra za nyuma ndio chache kweli kweli kiufupi hali ni mbaya.

Shetani imetosha kuwaharibu hawa viumbe.
Wee jamaa umechafukwa kweli kweli 😂😂😂
 
Mwanaume hofu ya umri huwa haipo kwenye suala la mahusiano na ndoa kwa sababu mwanaume huwa hachuji kwenye suala linalo husu mahusiano au ndoa.
Hofu ya mwanaume huwa ni kuona umri unakimbia alafu ishu zake za kipato hazieleweki.
Kiukweli mwanaume ukifikisha miaka 30 bila kuwa na aset yeyote ya maana ni razima upaniki.
Mkuu asset ya maana kama ipi mkuu
 
Mwanaume hofu ya umri huwa haipo kwenye suala la mahusiano na ndoa kwa sababu mwanaume huwa hachuji kwenye suala linalo husu mahusiano au ndoa.
Hofu ya mwanaume huwa ni kuona umri unakimbia alafu ishu zake za kipato hazieleweki.
Kiukweli mwanaume ukifikisha miaka 30 bila kuwa na aset yeyote ya maana ni razima upaniki.
Sijui nani katudanganya wanaume kuwa kwenye swala la ndoa na mahusiano wanaume hatuchuji, hata sisi tunachuja, kuchuja kwa mwanaume kunaanza taratibu kuanzia miaka 30+, mwanaume wa miaka 35 ukitaka oa mdada wa miaka 21, hapo mara nyingi mdada atakuwa anakupendea pesa, maana atakuona ushaanza kua mzee. Mwanaume anakuwa na soko kwenye mahusiano pale anapoanza kubalehe (16-23)

Labda na wadada wa humu jf watuongezee ujuzi kidogo Kelsea Numbisa Ms R To yeye Madame B binti kiziwi Jadda ITR
 
Well said,
You are correct,
The idea that you are late,
With plan that has to be mate,
Might give you the people that are fake,
By the time you awake,
You realized you f*¢k
And you can't go back,

Fak Zionists
 
Sijui nani katudanganya wanaume kuwa kwenye swala la ndoa na mahusiano wanaume hatuchuji, hata sisi tunachuja, kuchuja kwa mwanaume kunaanza taratibu kuanzia miaka 30+, mwanaume wa miaka 35 ukitaka oa mdada wa miaka 21, hapo mara nyingi mdada atakuwa anakupendea pesa, maana atakuona ushaanza kua mzee. Mwanaume anakuwa na soko kwenye mahusiano pale anapoanza kubalehe (16-23)

Labda na wadada wa humu jf watuongezee ujuzi kidogo Kelsea Numbisa Ms R To yeye Madame B binti kiziwi Jadda ITR
Sijui sana kuhusu kuchuja kwa binadamu, siku nikichuja nitaelewa kinachozungumziwa .

Kitu pekee nachojua ni kuwa hata uweje still kuna binadamu hatakutaka, Hao hao wanawake “wanaosemekana” wamechuja, wanawakataa wanaume kibao tu, Can we all think!!!!

😂
 
Sijui nani katudanganya wanaume kuwa kwenye swala la ndoa na mahusiano wanaume hatuchuji, hata sisi tunachuja, kuchuja kwa mwanaume kunaanza taratibu kuanzia miaka 30+, mwanaume wa miaka 35 ukitaka oa mdada wa miaka 21, hapo mara nyingi mdada atakuwa anakupendea pesa, maana atakuona ushaanza kua mzee. Mwanaume anakuwa na soko kwenye mahusiano pale anapoanza kubalehe (16-23)

Labda na wadada wa humu jf watuongezee ujuzi kidogo Kelsea Numbisa Ms R To yeye Madame B binti kiziwi Jadda ITR
Uongo uongo ni uongo.
 
Sijui nani katudanganya wanaume kuwa kwenye swala la ndoa na mahusiano wanaume hatuchuji, hata sisi tunachuja, kuchuja kwa mwanaume kunaanza taratibu kuanzia miaka 30+, mwanaume wa miaka 35 ukitaka oa mdada wa miaka 21, hapo mara nyingi mdada atakuwa anakupendea pesa, maana atakuona ushaanza kua mzee. Mwanaume anakuwa na soko kwenye mahusiano pale anapoanza kubalehe (16-23)

Labda na wadada wa humu jf watuongezee ujuzi kidogo Kelsea Numbisa Ms R To yeye Madame B binti kiziwi Jadda ITR
Labda kwenye jamii yako ww.
Kwa hiyo mwanaume usipo pendewa kwa aset zako ulizo nazo utapendewa nini, au ndo nyinyi mnao shinda humu mnalilia mapenzi ya kuonewa huruma na wanawake ? Ya kwamba mwanamke akupende tu hata kama huna faida yeyote kwenye maisha yake?
Kanuni ya maisha ni moja japo mnajifanya kuikwepa hasa nyinyi vijana wa siku hizi na yenyewe ni hii.

Thamani ya mwanamke kwenye mahusiano huwa iko kwenye mvuto wa mwili wake, hivyo kadri miaka inavyo enda thamani yake huwa inapungua kwenye soko la mahusiano kwa sababu mwili utaenda unapoteza mvuto ,na ndio maana kigezo kikubwa cha mwanamke kuolewa huwa ni uzuri na tabia yake.

Wakati huo thamani ya mwanaume huwa ni mali zake alizo nazo, na ndio maana mwanaume akitaka kuoa kigezo cha kwanza kinacho angaliwa ni uwezo wako wa kumtunza huyo mwanamke na watoto utakao zaa naye.

Kingine mwanaume ana uwezo wa kuamua muda wa yeye kuoa , wakati hiyo nafasi mwanamke hana.

Alafu kingine hakuna lika la wanaume wenye soko kubwa kwenye ndoa kama rika la kuanzia miaka 30 kwenda juu,mabinti wengi huwa hawataki kuolewa na wanaume chini ya miaka 30.
 
Back
Top Bottom