Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Ndoa haiwezi kua jehanam coz changamoto zake hazifikii hata 1/4 ya changamoto za makazini kwetu.
Changamoto za kazini hakuna mahali uli ji commit kwamba utakabiliana nazo mpaka kifo kikutenganishe nazo, unaweza ukaamka asubuhi ukaamua naacha kazi wala sio issue. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini kipindi cha COVID 19 ndoa nyingi zilivunjika na hata Migogoro kwenye familia mbali mbali iliongezeka??!
 
Changamoto za kazini hakuna mahali uli ji commit kwamba utakabiliana nazo mpaka kifo kikutenganishe nazo, unaweza ukaamka asubuhi ukaamua naacha kazi wala sio issue. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini kipindi cha COVID 19 ndoa nyingi zilivunjika na hata Migogoro kwenye familia mbali mbali iliongezeka??!
Uhitaji wa kipato ndo commitment ya kuvumilia changamoto za kazini, ndo maana si rahisi kuacha kazi kama hujapata plan B, labda ufukuzwe kazi.

Covid ilisababisha watu wengi kupunguzwa makazini, jambo lililoathiri vipato vya familia nyingi.
 
Sijui nani katudanganya wanaume kuwa kwenye swala la ndoa na mahusiano wanaume hatuchuji, hata sisi tunachuja, kuchuja kwa mwanaume kunaanza taratibu kuanzia miaka 30+, mwanaume wa miaka 35 ukitaka oa mdada wa miaka 21, hapo mara nyingi mdada atakuwa anakupendea pesa, maana atakuona ushaanza kua mzee. Mwanaume anakuwa na soko kwenye mahusiano pale anapoanza kubalehe (16-23)

Labda na wadada wa humu jf watuongezee ujuzi kidogo Kelsea Numbisa Ms R To yeye Madame B binti kiziwi Jadda ITR
Balqior usisahau pia jamii inayokuzunguka nayo inachangia kwa kiasi kikubwa kukatisha watu tamaa
Cc: Balqior Genius Man
 
Back
Top Bottom