Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Umri ni kitu kingine kinachowapa watu hofu

Sijui nani katudanganya wanaume kuwa kwenye swala la ndoa na mahusiano wanaume hatuchuji, hata sisi tunachuja, kuchuja kwa mwanaume kunaanza taratibu kuanzia miaka 30+, mwanaume wa miaka 35 ukitaka oa mdada wa miaka 21, hapo mara nyingi mdada atakuwa anakupendea pesa, maana atakuona ushaanza kua mzee. Mwanaume anakuwa na soko kwenye mahusiano pale anapoanza kubalehe (16-23)

Labda na wadada wa humu jf watuongezee ujuzi kidogo Kelsea Numbisa Ms R To yeye Madame B binti kiziwi Jadda ITR
Labda kwenye jamii yako ww.
Kwa hiyo mwanaume usipo pendewa kwa aset zako ulizo nazo utapendewa nini, au ndo nyinyi mnao shinda humu mnalilia mapenzi ya kuonewa huruma na wanawake ? Ya kwamba mwanamke akupende tu hata kama huna faida yeyote kwenye maisha yake?
Kanuni ya maisha ni moja japo mnajifanya kuikwepa hasa nyinyi vijana wa siku hizi na yenyewe ni hii.

Thamani ya mwanamke kwenye mahusiano huwa iko kwenye mvuto wa mwili wake, hivyo kadri miaka inavyo enda thamani yake huwa inapungua kwenye soko la mahusiano kwa sababu mwili utaenda unapoteza mvuto ,na ndio maana kigezo kikubwa cha mwanamke kuolewa huwa ni uzuri na tabia yake.

Wakati huo thamani ya mwanaume huwa ni mali zake alizo nazo, na ndio maana mwanaume akitaka kuoa kigezo cha kwanza kinacho angaliwa ni uwezo wako wa kumtunza huyo mwanamke na watoto utakao zaa naye.

Kingine mwanaume ana uwezo wa kuamua muda wa yeye kuoa , wakati hiyo nafasi mwanamke hana.

Alafu kingine hakuna lika la wanaume wenye soko kubwa kwenye ndoa kama rika la kuanzia miaka 30 kwenda juu,mabinti wengi huwa hawataki kuolewa na wanaume chini ya miaka 30.
 
Mkuu asset ya maana kama ipi mkuu
Kila mtu huwa ana ndoto zake za kutimiza kabla ya kufikia umri filani ,sasa tafrani huwa ina kuja unapo ona huo umri unafika alafu hakuna lengo hata moja ulilo litimiza alafu wakati huo umri wa kuwa na family umeshafika.
 
Kweli hii , kasi huwa ni kubwa hapa
Hamna cha kasi, siku ni zile zile kwa mwaka 365 au 366. Kinachokufanya uone kasi ni sababu unakuwa concious kuhusu umri tofauti na on your 20's ambapo huwa akili inawaza kuruka nyoka na kugonga mashori!

Majukumu huwa yana kick in on your late 20's! Unafikiria kuwa na familia yako uiendeshe hapo hapo hela huna au kazi huna basi ni balaa zito.
 
Miaka 30..nina watoto wa 5 watoto wa 4 tiyar wanasoma.. Nina wake wawili wote nimewapangia.. 😅😅😅.. Sina Asset zaid ya viwanja tu huko ndani ndani mwisho wa upepo 😅😅.. .
Mpaka hapo lazma uwe ofisa TRA au mfanyabiashara mkubwa. Maisha yatakuwaje magumu huku unamiliki wake wawili na umewapangia nyumba.
 
Ukisoma comment nyingi za wachangiaji unapata huruma na masikitiko kwa namna ambavyo watu wanaziua nafsi zao kwa kujijengea hofu na hudhuni juu ya mambo yaliyo nje ya fikra zao.........

Wanadamu wamejisahau kabisa kuwa wameumbwa na mola wao mlezi...wamesahau kabisa kuwa mola wao mlezi ndiye mwenye kutoa ridhiki na ndiye mwenye kuchukua uhai......

Wanadamu wanaonekana hawana hata chembe ya imani kwa mola wao mlezi hata hawaoni neema zake alizowaneemesha bali udhaifu wa akili zao unawajaza hudhuni kwa kile ambacho hawana........

Wengi wana hofu na kesho yao.....kesho ambayo hawana uhakika kama watafika au kama watafika hawajui watakuwa katika hali gani.......

Ewe kiumbe mwanadamu kaa chini tafakari na uzione fadhila na neema za mola wako mlezi.....na hakuna fadhila iliyo kuu kama zawadi ya uhai na afya njema.........

Ndio maana tunahusiwa kutembelea wagonjwa na kwenda mazikoni....lengo ni kupata ukumbusho wa hizo neema na fadhila kuu kwa mola wetu mlezi........

Hayo makaburi tunayoyaona ni ya watu kama mimi na wewe pengine walikuwa na magari na majumba na kazi za maana au mabiashara makubwa.........

Hao tunaowaona huko mahospitalini wakipigania pumzi zao kwenye mashine za tiba ni watu kama mimi wewe waliocha au kulazimika kusimamisha shughuli zao kwa ajili ya afya zao........

Kiumbe mwanadamu furahia neema na fadhila za mola wako mlezi kabla havijakutoka........ wacha kujitia kwa mambo ambayo huna uwezo wa kuyazuia wala kuyaongoza.........


MAISHA NI ZAWADI NA UMRI MREFU NI NEEMA.......

JITUNZE , JIPENDE, JITHAMINI.......
 
Ukisoma comment nyingi za wachangiaji unapata huruma na masikitiko kwa namna ambavyo watu wanaziua nafsi zao kwa kujijengea hofu na hudhuni juu ya mambo yaliyo nje ya fikra zao.........

Wanadamu wamejisahau kabisa kuwa wameumbwa na mola wao mlezi...wamesahau kabisa kuwa mola wao mlezi ndiye mwenye kutoa ridhiki na ndiye mwenye kuchukua uhai......

Wanadamu wanaonekana hawana hata chembe ya imani kwa mola wao mlezi hata hawaoni neema zake alizowaneemesha bali udhaifu wa akili zao unawajaza hudhuni kwa kile ambacho hawana........

Wengi wana hofu na kesho yao.....kesho ambayo hawana uhakika kama watafika au kama watafika hawajui watakuwa katika hali gani.......

Ewe kiumbe mwanadamu kaa chini tafakari na uzione fadhila na neema za mola wako mlezi.....na hakuna fadhila iliyo kuu kama zawadi ya uhai na afya njema.........

Ndio maana tunahusiwa kutembelea wagonjwa na kwenda mazikoni....lengo ni kupata ukumbusho wa hizo neema na fadhila kuu kwa mola wetu mlezi........

Hayo makaburi tunayoyaona ni ya watu kama mimi na wewe pengine walikuwa na magari na majumba na kazi za maana au mabiashara makubwa.........

Hao tunaowaona huko mahospitalini wakipigania pumzi zao kwenye mashine za tiba ni watu kama mimi wewe waliocha au kulazimika kusimamisha shughuli zao kwa ajili ya afya zao........

Kiumbe mwanadamu furahia neema na fadhila za mola wako mlezi kabla havijakutoka........ wacha kujitia kwa mambo ambayo huna uwezo wa kuyazuia wala kuyaongoza.........


MAISHA NI ZAWADI NA UMRI MREFU NI NEEMA.......

JITUNZE , JIPENDE, JITHAMINI.......
Mawazo ya hekima sana.
 
Ukisoma comment nyingi za wachangiaji unapata huruma na masikitiko kwa namna ambavyo watu wanaziua nafsi zao kwa kujijengea hofu na hudhuni juu ya mambo yaliyo nje ya fikra zao.........

Wanadamu wamejisahau kabisa kuwa wameumbwa na mola wao mlezi...wamesahau kabisa kuwa mola wao mlezi ndiye mwenye kutoa ridhiki na ndiye mwenye kuchukua uhai......

Wanadamu wanaonekana hawana hata chembe ya imani kwa mola wao mlezi hata hawaoni neema zake alizowaneemesha bali udhaifu wa akili zao unawajaza hudhuni kwa kile ambacho hawana........

Wengi wana hofu na kesho yao.....kesho ambayo hawana uhakika kama watafika au kama watafika hawajui watakuwa katika hali gani.......

Ewe kiumbe mwanadamu kaa chini tafakari na uzione fadhila na neema za mola wako mlezi.....na hakuna fadhila iliyo kuu kama zawadi ya uhai na afya njema.........

Ndio maana tunahusiwa kutembelea wagonjwa na kwenda mazikoni....lengo ni kupata ukumbusho wa hizo neema na fadhila kuu kwa mola wetu mlezi........

Hayo makaburi tunayoyaona ni ya watu kama mimi na wewe pengine walikuwa na magari na majumba na kazi za maana au mabiashara makubwa.........

Hao tunaowaona huko mahospitalini wakipigania pumzi zao kwenye mashine za tiba ni watu kama mimi wewe waliocha au kulazimika kusimamisha shughuli zao kwa ajili ya afya zao........

Kiumbe mwanadamu furahia neema na fadhila za mola wako mlezi kabla havijakutoka........ wacha kujitia kwa mambo ambayo huna uwezo wa kuyazuia wala kuyaongoza.........


MAISHA NI ZAWADI NA UMRI MREFU NI NEEMA.......

JITUNZE , JIPENDE, JITHAMINI.......
Barakallah 😍
 
Back
Top Bottom