Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
- Thread starter
- #21
Ni hatariUmri unatisha, kuna muda hua natamani tungekua kama nyoka, gamba linatoka ngozi inabaki na nuru hata kama age imesogea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatariUmri unatisha, kuna muda hua natamani tungekua kama nyoka, gamba linatoka ngozi inabaki na nuru hata kama age imesogea.
Huwa ni jotoUkweli mtupu umri unatia presha kama malengo uliyopanga alafu hayajatimia
Speed ya kutoka 25-50 inashangaza sana, Ni kama Fastjet..!!Tabu umri unakimbia si mchezo
Speed ya kutoka 25-50 inashangaza sana, Ni kama Fastjet..!!
Kweli hii , kasi huwa ni kubwa hapaUmri pekee unaoishi bila hofu ni 20s, yaani hapo huna hofu ya kuzeeka. Ukishakata 20s na kuingia 30s+ tayari hofu ya uzee inaanza.
Nakumbuka one of my cousins alipogonga 50 alipatwa na simanzi sana, ati "yaani 50 tayari? sasa uzee is evident "
Suala la umri ni kweli lina athari tofauti kutoka mwanamke mpaka mwanaume ✍️Mwanaume hofu ya umri huwa haipo kwenye suala la mahusiano na ndoa kwa sababu mwanaume huwa hachuji kwenye suala linalo husu mahusiano au ndoa.
Hofu ya mwanaume huwa ni kuona umri unakimbia alafu ishu zake za kipato hazieleweki.
Kiukweli mwanaume ukifikisha miaka 30 bila kuwa na aset yeyote ya maana ni razima upaniki.
mbina unakabia kwa juu madam.Sisi wanawake hofu tumeshaiondoa, tumekubali ukweli kuwa wanaume ni wachache, hao hao wachache Kuna mashoga, Kuna wasio na nguvu...
Upande wa mwanamke hofu ya umri huwa ni kubwa hasa linapo kuja suala la kupata mwenza wake wa maisha.Suala la umri ni kweli lina athari tofauti kutoka mwanamke mpaka mwanaume ✍️
Ni matusi tu mwa mwili🙆🤣🤣Am 31….afu bado bila bila….biashara yangu mwaka huu nimeifunga kumamina..! Bado binti yangu ananitegemea ,next year anaanza shule!! Dah maisha **** nyoko.
Mkuu acha tu,huu mwaka kuna angle maisha yameniweka yani dahh!!…Anyway let me be positive.Ni matusi tu mwa mwili🙆🤣🤣
Hahahaha ana 28 tangu mimi nikiwa Mwanafunzi wa chuo leo nalaribia kustafu bado ana 28Acha tu bro......
Ndo nmeanza kumuelewa sepetu kwanini kila birthday anajisingizia she is 28.
100% ni hofu tu. Na Wanaume kutaka kudominate wanawake.Hiyo dhana kua wanaume ni wachache mnaitoa wapi ? Kidunia wanaume ni 50.4% na wanawakè 49.6% na Tz wanaume 49% na wanawake 51%
HongeraMiaka 30..nina watoto wa 5 watoto wa 4 tiyar wanasoma.. Nina wake wawili wote nimewapangia.. 😅😅😅.. Sina Asset zaid ya viwanja tu huko ndani ndani mwisho wa upepo 😅😅.. .
DaaahSisi wanawake hofu tumeshaiondoa, tumekubali ukweli kuwa wanaume ni wachache, hao hao wachache Kuna mashoga, Kuna wasio na nguvu...