To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Yupo sahihi kwa kweli😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi kwa kweli😜
Pamoja SanaNipo kiongozi.....
Ivo yaan🤒 tusicomplicate😉Umri sahihi wa kuoa au kuolewa ni ukiwa hai , kama unaishi na kupumua mda wowote unaweza olewa au kuoa.
Mwambie kabisa ukiwa tayari kuwa Mke au Mume, nikimaanisha Majukumu! Asidhani kuwa tayari kuvaa nguo ya harusioa au olewa ukiwa tayari, hivyo vya umri ndo vinafanya watu waingie ndoani kwa presha na mihemko tu
Daah aiseee 😟😕Mamboo
Naomba mnijuze umri sahihi wa kuolewa au kuoa ni upi tusije pishana na umri.
Mwanaume kwa kawaida anaoa akiwa na umri gani?
Kwa mwanaume age kuanzia 32Kuolewa 18+ kuoa 25+ mjini, vijijni, 15+ kuolewa na 17+ kuoa
Uongo wanawake wengi wa kuolewa kwa age ndogo wanakuwa hawajielewi ndoa zao nyini hazitoboioa au olewa ukiwa tayari, hivyo vya umri ndo vinafanya watu waingie ndoani kwa presha na mihemko tu
hahahaha tatizo mpaka ukawwe tayari kwa sie wanaume ulishakuwa master of masturbation 😀😀😀😀😀😀oa au olewa ukiwa tayari, hivyo vya umri ndo vinafanya watu waingie ndoani kwa presha na mihemko tu
Binafsi Mimi nilio nikiwa Na umri wa miaka 28.Mamboo
Naomba mnijuze umri sahihi wa kuolewa au kuoa ni upi tusije pishana na umri.
Mwanaume kwa kawaida anaoa akiwa na umri gani?
🙄🙄🙄khee labda kijijini kwenu unaweza oa ngurumbembe la miaka 30 na bado akawa hajielewiUongo wanawake wengi wa kuolewa kwa age ndogo wanakuwa hawajielewi ndoa zao nyini hazitoboi
Hio jamii ya aina gani kwa hio miaka yote wanakuwa wanasugua duduz na mbususu?Kwa mwanaume age kuanzia 32
Kwa mwanaumke age kuanzia 28
Hapo watu wanakuwa wote mnakuwa matured nje ya hapo ndoa itakuwa na migogoro ya hapa na pale.
Mkuu hivi ndoa za vijana Hawa wa miaka 23 kwa uzoefu wangu huwa hazitoboi wengi wanavutana na kuwekana ndani for the sake ya ngono mwisho wa siku lazima washindwabe maana kilichowaunganisha ni ngono na wengi katika umri huu akili zinakuwa bado sana kuhimili mikiki ya ndoa.Hio jamii ya aina gani kwa hio miaka yote wanakuwa wanasugua duduz na mbususu?
Utabisha bure lakini ndoa nyingi sana za vijana ambao hawajavuka hata miaka 25 huwa hazidumu mfano ndoa zile za ramadan.🙄🙄🙄khee labda kijijini kwenu unaweza oa ngurumbembe la miaka 30 na bado akawa hajielewi
Kama wewe upo tayari sema tu niuage ukaperaTotoo unataka kuoa?🤣🤣🤣
Totoo wewe bado bado, watakubemenda😊Kama wewe upo tayari sema tu niuage ukapera