Umri unapokuwa umeenda na hujaoa au kuolewa unakabiliana vipi na maneno ya jamii inayokuzunguka?

Umri unapokuwa umeenda na hujaoa au kuolewa unakabiliana vipi na maneno ya jamii inayokuzunguka?

Mtoa mada kwa hiyo umeamua kijanja kutuwekea mkeka wa ambao hawajaoa na kuolewa humu ndani!!
 
Tunavumilia hivohivo..hasa wanawake
Nkiulizwa ntaolewa lini,najibu Mungu akipenda.wengine tuna changamoto za kimaisha kiafya zinazotufanya iwe ngumu kuolewa
Na zaidi sifanyi maamuzi kumfurahisha mtu.nafanya moyo wangu ukiwa umeridhia
Dada habari ya leo, hebu nichek PM kuhusu ile ishu yako ya mgongo tuzungumze mawili matatu
 
Karne hii kama swala la kutooa au kuchelewa kuoa kwa mwanamme linakutia stress basi utakuwa chizi
 
Duh personally napata pressure sana kutoka kwa mother , haniambii direct lakini naona kabisa anataka nioe now .niko na 24 years naelekea kutumiza 25 soon.
 
Sijawahi kuruhusu mtu anipangie maisha,uchumba miaka saba,kuolewa ilikuwa miaka 30 waliokuwa wananiuliza utaolewa lini niliwambia ,(i will marry when i want) sina haraka ya ndoa,yaani unashangaa mtu anakuuliza unaolewa lini wakati yeye ni single maza
 
Duh personally napata pressure sana kutoka kwa mother , haniambii direct lakini naona kabisa anataka nioe now .niko na 24 years naelekea kutumiza 25 soon.
Ni maamuzi yako binafsi , but your very young kufikiria ndoa...
 
Kumekuwepo na maswali Mengi katika jamii ambayo umri wako ukiwa umeenda huwa hayakwepi kama vile
siku hizi uko wapi?

Bado unaishi palepale kwenu au unajitegemea?

Kama umesoma utaulizwa umeshapata kazi?

Lakini kuna swali moja ambalo wengi wetu tukiuliza huwa hatupendi kuliongelea nalo ni unaowa lini au utaolewa lini ?

Kama upo katika mahusiano utaulizwa ndoa lini ?

Ili kukabiliana na hii situations unafanyaje ili uweze kuihandle ndani ya jamii iliyokuzunguka.
Unakuwa philosopher
 
Mi wanaoniuliza waliacha sikuhizi maana ndoa zao zinasumbua balaa wanatamani nao wawe single kama mimi
 
Kuolewa na kuoa sio lazima.
Halafu ktk maisha, kila mtu ana maamuzi yake binafsi ambapo hapaswi kuingiliwa wala kuzuiliwa.

Naishi maisha yangu binafsi, kamwe siwezi kuishi kwa kufuata matakwa ya watu/jamiiinayonizunguka, as long as sikiuki kanuni, taratibu na sheria za nchi zilizowekwa.
 
Nakwambia hulambi kitu hata umwite broo mimi namwita babe sasa nna nguvu nikiamua hakupi pia
[emoji1787][emoji1787]..comment yako imenikumbusha mbali sn

Enzi hizo shemeji ananiambia 'wewe ni boya Tu kwangu,hata km tumegombana na kakaako Kwa ajili yako lkn Mimi Nina nguvu sn kuliko weewe unayejiafanya Kaka yako,nitamaliza a nae chumbani'

Asubuhi bro akaamka Hana time na Mimi,walishaelewana
 
Back
Top Bottom