Umri wa miaka 36 ndoa imekuwa ngumu

Umri wa miaka 36 ndoa imekuwa ngumu

Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa.... Hii itakuwa ni shida gani! I au ni nguvu za giza zinamtesa?
Ni wewe au ni rafiki yako?

Halafu unadhani kwa maelezo hayo tunaweza Shauri nini? Au tupige ramli?
 
Back
Top Bottom