Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafute hela watakuja wenyewe.Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Tena anaweza kuoa binti wa miaka 28Mwanaume hata akiwa na miaka 60 kama akitaka kuoa anaoa. Huyo jamaa yako hajijui kuwa yeye ana daraja la uanaume, mwambie alitambue hilo kwanza.
"Ila kwa mwanaume ndoa haijawahi kuwa ngumu.Mhh labda ana matatizo yake binafsi, ila kwa mwanaume ndoa haijawahi kuwa ngumu. Sema wengi umalaya... unatupomzaga.
Solution imepatikana hapa uzi ufungweMwambie awekeze katika kujitambua ili awe na "Sense of who you are"
Kutafuta watu Moja kwa moja ili wawe sehemu ya MAISHA yako hilo tayari ni tatizo inaonekana ukitoa PESA hana kitu chochote cha Ku-offer kinachoongeza value kwa MTU.
Kwa umri wa miaka 36 yrs Anabidi asitazame umri bali atazame udhaifu wake ili usimlemee.
Sense of who you are - ni kuutambua udhaifu wako na uimara wako.
Ikiwa unashindwa kutengeneza relationship yenye intimacy maana yake huo ni udhaifu unabidi kuufanyia kazi.
So mwambie awekeze hapa.
@ Be a Good listener
@ embrace teachability attitude
@ Be a good finder to other people
@ Honest
Mwanamke ni Kama binadamu yeyote yule unachohitaji usitazame material stuffs tu ,Ila jikite pia katika kumuongezea thamani.
Bas sawaaKwa kuwa wengi wanaooa ni ambao hawana mzunguko wa 5M basi tusitumie maneno wana bahati na kismati. Ni jambo la kawaida tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Akijibu na mimi ntakuja kukazia ushauri wako [emoji23][emoji23]
NdiwooohNaunga mkono hoja
Mm km mtu nilikua namheshimu nikigundua ameoa naanza kumdharau....kuoa ni uoga wa maisha.36 Bado mdogo sana unawahi wapi
Mwanaume ndiye mwenye maamuzi ya kuoa.Solution imepatikana hapa uzi ufungwe
Jamaa au wewe .... waswahili wanasema mgonjwa akiwa muongo hupewa dawa sio....... tafadhali ukija kuomba ushauri mambo ya kusema jamaaa yangu wakati ni wewe ndo unakula vibuti na mademJamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Hata mwanaume aliekuvutia kimapenzi na unampenda, utamuomba elf 3? princess arianaTukiachana na ushirikina
Kama ana tabia akiombwa afu 3 anaanza kuuliza kama mwanamke hana wazazi au hafanyi kazi lazima apate tabu sana.
Hamna kitu kinamkata mwanamke kama hicho mana unajua kabisa hapa nmeingia Usangi.
Mnataka mkituomba hela tuwape?Tukiachana na ushirikina
Kama ana tabia akiombwa afu 3 anaanza kuuliza kama mwanamke hana wazazi au hafanyi kazi lazima apate tabu sana.
Hamna kitu kinamkata mwanamke kama hicho mana unajua kabisa hapa nmeingia Usangi.