Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Ana pesa?Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Tutafika, ila kwa kutambaa huku mwili unatetemeka km degedege la ukubwani.Pesa pesa pesa...
Tutafika kweli [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Bora useme wee.Atakuwa Hana pesa tu ndugu Yako.
Sio mimi mkuu ni jamaa yanguUnaamini nguvu za giza kama Avatar yako
Mtumishi wa serikali atakosa pesa?Una pesa? Au ngoja tujifanye kweli ni ndugu yako, ana pesa?
5M.Kama kiwe kiasi gani hivi ndio aanze kutafuta mchumba?
Mimi nina 40 plus36 Bado mdogo sana unawahi wapi
Ni wewe bwana.Sio mimi mkuu ni jamaa yangu
36?? Huo umri anatembelea "RIM" hawezi kuanzisha uhusiano ilitakiwa max 27 awe ashapata mwenza hapo ni al-shabab.Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Mbona wengi wanaoa na hawana huo mzunguko wa 5M? Imekaaje hii?5M.
Yaan ktk mzunguko wa kila mwezi, iwe inatamba hiyo pesa mbona atashangaa wa kuwaoa wengi hivi wametokea wapiii.
jitolee uwe naye basi 😛 😛Ana PESA?? jibu hili swali.
Afu ndo nitatoa ushauri.
Jamaa Yako au wewe? 😂😂😂😂Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Mhh labda ana matatizo yake binafsi, ila kwa mwanaume ndoa haijawahi kuwa ngumu. Sema wengi umalaya... unatupomzaga.Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?