Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Teh teh teeeeeee!!!Mwanaume hata akiwa na miaka 60 kama akitaka kuoa anaoa. Huyo jamaa yako hajijui kua yeye ana daraja la uanaume, mwambie alitambue hilo kwanza.
Ni wewe au ni rafiki yako?Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa.... Hii itakuwa ni shida gani! I au ni nguvu za giza zinamtesa?
Biko ushindi nje nje.Ni wewe au ni rafiki yako?
Alaf unadhani kwa maelezo hayo tunaweza Shauri nini? Au tupige ramli?
Pesa pesa pesa...Ana PESA?? jibu hili swali.
Afu ndo nitatoa ushauri.
Tatu mzuka ....Biko ushindi nje nje.
Uzima upo mkuu ππ36 Bado mdogo sana unawahi wapi
Kama kiwe kiasi gani hivi ndio aanze kutafuta mchumba?Ana PESA?? jibu hili swali.
Afu ndo nitatoa ushauri.
Tatizo ni 128MB.Hapa ndio umemchanganya kabisa!!