Umri wa miaka 36 ndoa imekuwa ngumu

Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Mkuu,
Vitu vinavyo wafanya watu kuachana vipo vitatu..

1. Financial constraints
2. Ku Differ ( change) in interest among couples
3. In Laws- wakwe na mawifi na mashemeji

Hizi ndizo sabab kuu ajichunguze..
 
Mtoa mada weka kambi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…