Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kikubwa pumziUzima upo mkuu ππ
Hao wana kismati na bahati zao.Mbona wengi wanaoa na hawana huo mzunguko wa 5M? Imekaaje hii?
Wee thubutuuu.jitolee uwe naye basi [emoji14] π
Ndo maana ake. Ila jaman mwanaume unasemaje umekosa wa kumuoa? Au mnakua na speculation sana?Basi inawezekana
Kwa kuwa wengi wanaooa ni ambao hawana mzunguko wa 5M basi tusitumie maneno wana bahati na kismati. Ni jambo la kawaida tuHao wana kismati na bahati zao.
Mkuu,Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Akijibu na mimi ntakuja kukazia ushauri wako ππAna PESA?? jibu hili swali.
Afu ndo nitatoa ushauri.
Naunga mkono hojaAna PESA?? jibu hili swali.
Afu ndo nitatoa ushauri.
Weekend ya leo tunaenda kuzurura wapi πππππππKikubwa pumzi
Weekend hii sizururiii napoa magetoni nayoutubika tuWeekend ya leo tunaenda kuzurura wapi πππππππ
Acha pombe wewe.Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
Mtoa mada weka kambi hapaMwambie awekeze katika kujitambua ili awe na "Sense of who you are"
Kutafuta watu Moja kwa moja ili wawe sehemu ya MAISHA yako hilo tayari ni tatizo inaonekana ukitoa PESA Ana kitu chochote cha Ku-offer kinachoongeza value kwa MTU.
Kwa umri wa miaka 36 yrs Anabidi asitazame umri bali atazame udhaifu wake ili usimlemee.
Sense of who you are - ni kuutambua udhaifu wako na uimara wako.
Ikiwa unashindwa kutengeneza relationship yenye intimacy maana yake huo ni udhaifu unabidi kuufanyia kazi.
So mwambie awekeze hapa.
@ Be a Good listener
@ embrace teachability attitude
@ Be a good finder to other people
@ Honest
Mwanamke ni Kama binadamu yeyote yule unachohitaji usitazame material stuffs tu ,Ila jikite pia katika kumuongezea thamani.