Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

Mim hiyo refractory period huchukua masaa nane nakuendelea
Kwa muda gani?

Kwasababu biolojia inasema refractory period inaweza kuchukua dakika 5 hadi masaa 24

Kumbuka wakati wa hicho kipindi cha refractory period huwezi ku erect
Cto
 
Pole sana mkuu! Badilisha mfumo wako wa maisha. Kuanzia chakula unachotumia, muda wa kupumzika(kulala) n.k

Kwanza tambua Chanzo cha tatizo lako ndipo upate matibabu kutokana na Chanzo cha tatizo ulilonalo.
Chanzo cha tatizo alilonalo, ni kudhani kuwa kushindwa kufanya raundi ya pili ni upungufu wa nguvu za kiume.

Akishajua tu kwamba kupiga bao moja na kuchapa usingizi hadi kesho ni kawaida kabisa na sio ugonjwa,

Na akawa anafanya mapenzi kwa nia ya kupiga bao moja tu na kuacha tabia ya kuwaza au kulazimisha raundi ya pili, atakuwa amepona kabisa.

Baada ya muda atakuwa na uwezo wa kufanya hata matatu.

Hizi shida mara nyingi ni za kisaikolojia.
 
Kwa muda gani?

Kwasababu biolojia inasema refractory period inaweza kuchukua dakika 5 hadi masaa 24

Kumbuka wakati wa hicho kipindi cha refractory period huwezi ku erect
kwa mujibu wa mtoa bandiko ni baada ya masaa 10 hrs ndio inasimama tena, yaani kama saamoja jioni kusimama tena saa 11 alfajiri kushakucha kweupe
 
Hili janga la ki Taifa hauko pekeyako

Wengi wako na shida hyo hawasemi, umejaribu kucheki kwa matabibu ?
Miaka yote10 nazunguuka mahospitalini wanasema Sina shida wananipa dawa zakawaida labda Nina hofu walishawahi nipa goat weed nkatumia miez3,nikapewa tadalafil ili niongeze comfidance nkatumia vidonge kama10 za mg2.5 ila nakua naweza nkiwa na dawa baada ya hapo naendelea kama navokuaga mwendo wa dakika5 round kurudia Hadi masaa10 nakuendelea Tena dhaifu
 
Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.

Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
sio lazima wote ufanane bro.. ishi maisha yako kuwa happy..!
 
Mkuu! Naona umepitia baadhi ya mitandao ukaona wanasema mwanaume rijali anarudia zaidi ya round kadhaa kitandani....
Kuna muda mitandao kwa kiasi flani inatuharibu baadhi ya wanadamu. Tupo tayari kupambania mahitaji ya hisia zetu za kimwili ili kumridhisha mwenza uliyenae,

Wafanyabiashara wa dawa za asili na hata za kisasa za kutibu matatizo yetu wanaleta points za ajabu sanaaaa, ili kuteka fikra na akili za wateja wao. mfano: atakushauri ununue dawa yake ili ukamridhishe mwenza wako kwa kukaa zaidi saa kadhaa kitandani...(haya ni matumizi mabaya ya muda) Kwa bahati mbaya zaidi hata hawa wanawake waliopo kwenye jamii zetu wanasikia hayo matangazo na wanahitaji kujiaminisha kama ni kweli au laaah?

Mkuu! Dakika tano huenda zikawa ni sahihi kwako kama mkeo atakubaliana na hiyo hali lakini kama hakubaliani na hiyo hali basi pambana kubadirisha mfumo wako wa maisha kuanzia: chakula( kula vyakula vya asili), vinywaji( tumia maji kwa wingi kuliko vilevi) na mazoezi pia.

Umesema una miaka 37, hapo bado kidogo uingie 45+ kama una watoto pambania pesa za kukutunza ukifika 48+ uishi kifalme zaidi ( kama pesa zipo za kutosha tulia )...

PESA za kukusaidia wewe na familia yako(watoto wako) ukizeeka na NGUVU ZA KIUME za kupiga round zaid ya 3 ili kumfurahisha huyo uliye nae kipi bora ????
 
Mim hiyo refractory period huchukua masaa nane nakuendelea

Cto
Kawaida hiyo hata hizi porn za dakika 45 zinakuwa filmed kwa masaa 12 hadi siku mbili.

Katika hayo masaa na hadi siku ni kwa ajili ya mambo mengi ikiwemo hiyo refractory period.

Sasa watu wanaangalia porn na kuanza kudharau wenza wao au wao wenyewe wanajikosoa kwa kile tu walichokiona kwenye scene ya dakika 45.

Nyuma ya pazia mambo hayapo hivyo, kuna male pornstars ambao wamefanya surgery ya penis pumps ili ku maintain erection kwa muda mrefu.

Sasa audiences akiangalia ile kitu anapagawa na kuanza kuhangaikia na mavumbi.
 
Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.

Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
Bila picha au video ni uzushi
 
Miaka yote10 nazunguuka mahospitalini wanasema Sina shida wananipa dawa zakawaida labda Nina hofu walishawahi nipa goat weed nkatumia miez3,nikapewa tadalafil ili niongeze comfidance nkatumia vidonge kama10 za mg2.5 ila nakua naweza nkiwa na dawa baada ya hapo naendelea kama navokuaga mwendo wa dakika5 round kurudia Hadi masaa10 nakuendelea Tena dhaifu
AWali ya yote nianze kwa pongezi kwako kwa jitihada za hospitali. majibu ya hospital ni kuwa huna shida.

Mkuu amin hili,we huna shida maana kama unaweza sugua dakika 5 nzimaaa we mzimaaaaaaaaa.

Amini watu hawafanani katika uimara wa mwili kuna wanaweza keshaaaaaa. Kuna wanagusaaa kwisha habariii ila kuna wale wa wastani. Kiufupi muda unatofautiana. Pia chanzo cha hili tatizo hakijawahi kufahamika hao wanasema pul ni maneno yasiyo na ushahidi. Ni mwanaume gani timamu ambae hajapotia huko hasa utotoniiiii?

Amini we ni mzima. Fanya kwa wastani wako huo huo ulonao, usitake kuikeshea maana haijawahi tosheka na haikomoleki

Be safe bro
 
Watu wengi ndio tunapofeli hapa. Dakika 5 after 10 hours unaanza tena mbona yuko Sawa kabisa.

Tatizo ni mitandao ya porn inawaharibu kimwili na kiakili baadhi ya wanawake na wanaume kupelekea kutojiamini
Na wengi wanafata tu kama mkumbo hata ku reason hawajisumbui.

Pamoja na kwamba mijadala na malalamiko ya wanaume kukosa nguvu za kiume kuwa mingi lakini hakuna kisa chochote katika hiyo mijadala kinachoashiria kweli malalamiko yake kuhusu nguvu za kiume ni ya kweli.
 
Back
Top Bottom