Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

na vipi kutoweza kurudia mzunguko mwengine?
Kwa uzoefu wangu, kushindwa kurudia round ya pili kunasababishwa na mambo yafuatayo, ambayo hayana uhusiano na upungufu wa nguvu za kiume:

1. Kuwa na mwanamke uliemzoea sana (mfano mkeo). Hii inawatokea karibu wanaume wote walio oa.

2. Kuwa na mwanamke asie na ushirikiano au asiejua cha kufanya. Baada ya round 1, inabidi mwanamke wako ndio aanze kukuhamasisha kwa njia mbalimbali ili urudi kwenye mood. Sasa ukikutana na "gogo" yeye kajilaza tu hapo kurudia gemu itakua ndoto.

3. Kuwa na mwanamke asie na mvuto. Kurudia round 2 inataka nguvu za ziada. Kama siku hiyo uko na "guluguja" mfano mwanamke ana likitambi, manyama uzembe, mamichirizi, mabakabaka, ananuka k/kikwapa/mdomo nk yaani hayupo sexy, sahau kuhusu round 2.

4. Kufanya mapenzi usiku. Kama umetoka kwenye mihangaiko ya kutwa nzima, umechoka, ukaoga vizuri ukala cha jioni halafu ukaingia kwenye gemu, lazima baada ya goli la kwanza utapitiwa na usingizi mzito na hautaamka tena mpaka kesho yake!

5. Mwanamke kuanza kukuomba hela au kukueleza matatizo yake mara baada ya round 1.
 
Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.

Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
Hongera.

Unaelekea kuwa huru na kufocus ktk mambo ya maendeleo.

Omba Mungu hata hili moja usipate.

Ili tujikomboe na matatizo yanayotokeana vitini vya wanawake wa sasa. Pamoja ma magonjwa hatari na ya aibu

Ikiwemo ukimwi
 
Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.

Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
M naunga 3
 
Pole mkuu mungu atakupomya usipanic relax kotu kitakachokusaidia piga sana roadwork piga mazoez ya viungo after a month utanishukuru punguza mda wa kukaa kwenye screen
 
Unajisunbua na kujiumiza kwa mawazo bure. Bao ni moja tu linatosha. Shukuru unasimamisha na unakojoa hata hilo moja. Liwe la sekundi au viuno vitatu, linatosha kabisa. We una nguvu za kiume tena nyingi sana.

Usisikilize majigambo ya wana JF, mbwembwe tu.
 
Kwa uzoefu wangu, kushindwa kurudia round ya pili kunasababishwa na mambo yafuatayo, ambayo hayana uhusiano na upungufu wa nguvu za kiume:

1. Kuwa na mwanamke uliemzoea sana (mfano mkeo). Hii inawatokea karibu wanaume wote walio oa.

2. Kuwa na mwanamke asie na ushirikiano au asiejua cha kufanya. Baada ya round 1, inabidi mwanamke wako ndio aanze kukuhamasisha kwa njia mbalimbali ili urudi kwenye mood. Sasa ukikutana na "gogo" yeye kajilaza tu hapo kurudia gemu itakua ndoto.

3. Kuwa na mwanamke asie na mvuto. Kurudia round 2 inataka nguvu za ziada. Kama siku hiyo uko na "guluguja" mfano mwanamke ana likitambi, manyama uzembe, mamichirizi, mabakabaka, ananuka k/kikwapa/mdomo nk yaani hayupo sexy, sahau kuhusu round 2.

4. Kufanya mapenzi usiku. Kama umetoka kwenye mihangaiko ya kutwa nzima, umechoka, ukaoga vizuri ukala cha jioni halafu ukaingia kwenye gemu, lazima baada ya goli la kwanza utapitiwa na usingizi mzito na hautaamka tena mpaka kesho yake!

5. Mwanamke kuanza kukuomba hela au kukueleza matatizo yake mara baada ya round 1.
Hiyo namba 5 ungeiandika kwa herufi kubwa mkuu!.
 
Wakuu masaada wa haraka unahitajika hapa

Tengeneza password za kufungua hiyo lock hapa
Screenshot_20240826-181130.jpg

Kwa kutumia hii carenda hapa
Hii ki escape room 6...
Msaada wataalamu.
Kalenda hiyo hapo chini ina description zake juu hapo fanya juu chini zipatikane 4 digit
Screenshot_20240826-181138.jpg


Vincenzo Jr
Mbaga Jr

Nusu nimuite bichwa bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.

Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
mara ya pili kwani ni lazma unachimba mgodi wa dhahabu,moja ukiridhika,we ridhika tu
 
Back
Top Bottom