Kwa muda gani?na vipi kutoweza kurudia mzunguko mwengine?
Sasa unadhani wataacha? Niambie, what's wrong with masturbation?Hizi comment zinasababisha vijana waendelee kujichukulia sheria mkononi.
Sema huyu jamaa anaweza kuwa haumwi ila ni normal kwake.Kwa muda gani?
Kwasababu biolojia inasema refractory period inaweza kuchukua dakika 5 hadi masaa 24
Kumbuka wakati wa hicho kipindi cha refractory period huwezi ku erect
CtoKwa muda gani?
Kwasababu biolojia inasema refractory period inaweza kuchukua dakika 5 hadi masaa 24
Kumbuka wakati wa hicho kipindi cha refractory period huwezi ku erect
Mkuu sheria mkoni nilijichukulia wakat nna miaka 25 Tena nimara6 sikuwahi Tena kujichukilia sheria mkononiHukuwa unajichukulia sheria mkononi?
Haina shida kaka mkubwa , maturbation haina shida kabisa, labda tu kama utaweka hofu kichwani kuwa inaweza kukufanya ushindwe .Sasa unadhani wataacha? Niambie, what's wrong with masturbation?
Dah! pole sana mkuu, hilo hilo moja linatosha sana lakini mambo yenyewe mengi muda mchache, ili mradi mbegu, ziwe na uwezo wa kufungisha mimba inatosha sana, pambana kusaka maisha
Nimeoa nna watoto watatupole kaka , umeoa?una mtoto/watoto?
Chanzo cha tatizo alilonalo, ni kudhani kuwa kushindwa kufanya raundi ya pili ni upungufu wa nguvu za kiume.Pole sana mkuu! Badilisha mfumo wako wa maisha. Kuanzia chakula unachotumia, muda wa kupumzika(kulala) n.k
Kwanza tambua Chanzo cha tatizo lako ndipo upate matibabu kutokana na Chanzo cha tatizo ulilonalo.
kwa mujibu wa mtoa bandiko ni baada ya masaa 10 hrs ndio inasimama tena, yaani kama saamoja jioni kusimama tena saa 11 alfajiri kushakucha kweupeKwa muda gani?
Kwasababu biolojia inasema refractory period inaweza kuchukua dakika 5 hadi masaa 24
Kumbuka wakati wa hicho kipindi cha refractory period huwezi ku erect
Miaka yote10 nazunguuka mahospitalini wanasema Sina shida wananipa dawa zakawaida labda Nina hofu walishawahi nipa goat weed nkatumia miez3,nikapewa tadalafil ili niongeze comfidance nkatumia vidonge kama10 za mg2.5 ila nakua naweza nkiwa na dawa baada ya hapo naendelea kama navokuaga mwendo wa dakika5 round kurudia Hadi masaa10 nakuendelea Tena dhaifuHili janga la ki Taifa hauko pekeyako
Wengi wako na shida hyo hawasemi, umejaribu kucheki kwa matabibu ?
sio lazima wote ufanane bro.. ishi maisha yako kuwa happy..!Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.
Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
Kawaida hiyo hata hizi porn za dakika 45 zinakuwa filmed kwa masaa 12 hadi siku mbili.Mim hiyo refractory period huchukua masaa nane nakuendelea
Cto
Kumbuka ni dakika 5 hadi masaa 24kwa mujibu wa mtoa bandiko ni baada ya masaa 10 hrs ndio inasimama tena, yaani kama saamoja jioni kusimama tena saa 11 alfajiri kushakucha kweupe
Bila picha au video ni uzushiHabari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.
Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
AWali ya yote nianze kwa pongezi kwako kwa jitihada za hospitali. majibu ya hospital ni kuwa huna shida.Miaka yote10 nazunguuka mahospitalini wanasema Sina shida wananipa dawa zakawaida labda Nina hofu walishawahi nipa goat weed nkatumia miez3,nikapewa tadalafil ili niongeze comfidance nkatumia vidonge kama10 za mg2.5 ila nakua naweza nkiwa na dawa baada ya hapo naendelea kama navokuaga mwendo wa dakika5 round kurudia Hadi masaa10 nakuendelea Tena dhaifu
Watu wengi ndio tunapofeli hapa. Dakika 5 after 10 hours unaanza tena mbona yuko Sawa kabisa.Kumbuka ni dakika 5 hadi masaa 24
Kwa hiyo yupo ndani ya ratiba kabisa apunguze wenge
duhhhKumbuka ni dakika 5 hadi masaa 24
Kwa hiyo yupo ndani ya ratiba kabisa apunguze wenge
Na wengi wanafata tu kama mkumbo hata ku reason hawajisumbui.Watu wengi ndio tunapofeli hapa. Dakika 5 after 10 hours unaanza tena mbona yuko Sawa kabisa.
Tatizo ni mitandao ya porn inawaharibu kimwili na kiakili baadhi ya wanawake na wanaume kupelekea kutojiamini