Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

Pole sana kijana wangu.

Bado haujachelewa jaribu kubadili mfumo wako wa maisha hasa ktk nyanja za vyakula, kula vyakula vya asili na vyenye virutubisho vilevile fanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni...
Puli mnaisingizia sana yani kila mtu anasema puli hivi mara puli vile yani ni hayo tu.

Ku ejaculate ndani ya dakika 5 ni hali ambayo ni standard kiafya.

Angesema dakika 1 hapo ndio tungeanza kumjadili labda ni over weight au namna gani.

Kisayansi mtu anayechelewa ku ejaculate zaidi ya dakika 30 wanasema moja ya sababu ni eidha demu huyo ni mbaya yani hakuvutii au umetumia madawa.

Nafasi ndogo sana inaangukia kwenye hali ya asili yani kuzaliwa ukiwa hivyo.
 
Hakuna ugonjwa wa nguvu za kiume kwa mtu aliyezaliwa normal, labda kama ulizaliwa na mapungufu ya uhanisi kabisa hapo sawa.

Upungufu wa nguvu za kiume ni matokeo ya udhaifu katika mifumo mingine ya mwili,maana yake ni kuwa mifumo hiyo ikikaa sawa nguvu za kiume hurejea automatic zenyewe.

Mfano mtu mwenye shida ya presha, vidonda vya tumbo, bawasiri na magonjwa mengine yenye uwezo wa kuufanya mwili kuhisi maumivu ni lazima nguvu za kiume zipotee tu maana mara nyingi ni mtu mwenye msongo wa mawazo sana.

Jaribu kufanya vipimo juu ya mifumo yako ya mwili utanielewa vizuri. Bila kugundua na kutibu tatizo la msingi utakunywa dawa maisha yote bila mafanikio kwenye changamoto hiyo.

Mara nyingi mtu akisema ana shida hiyo lazima umfanyie analyisis ya kutosha ili kujua changamoto inayosababisha ili utibu tatizo la msingi halafu kwenye mfumo unaonyesha wa uanaume ni kurekesbisha kidogo tu mambo yanaimarika.
 
sawa inaweza kuwa ni standard au sio standard lakini cha kutisha hapo ni huyo jamaa kutoweza kurudia tena round nyengine
Sayansi haitaji exactly ni kiasi gani cha muda kinachopaswa kupita ili mtu aingie kwenye round ya pili.

Watu wametofautiana na huko kutofautiana hakuji tu kwasababu ya nguvu za kiume hapana

Kuna mambo mengi yanayoingia hapo kama factors na hiyo ni kwasababu ya mfumo mzima wa mwanaume kiasili haujawa designed kwa ajili ya ku last long kwenye tendo.

Mfano kibayolojia mwanaume baada tu ya ku ejaculate huwa anaingia kwenye state inayoitwa refractory period ambacho ni kipindi cha mwili ku recovery ku gain strength za kurudia tendo upya.

Lakini hiyo refractory period hata wanawake pia huipitia ila utofauti ni kwamba mfumo wa mwanaume unapo face hiyo hali inahusisha nerves karibia zote za peripheral nervous system ambazo zinasababisha kuchukua muda mrefu ili kupata orgasm tena.
 
Back
Top Bottom