Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nichek inbox naijua dawa mkuu nikusaidieHabari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.
Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
Trokaaaaaaaa!! Mshangazi wa kuchorwaaa labdaa.Una bahati ni dada angu ila otherwise....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakupa namba ya shangazi leo
Kwa case ya tatizo lake chanzo ni punyeto..Hii sio kweli, nguvu za kiume hazina uhusiano na chaputa
nahitaji piaNjoo pm nikupe Mawasiliano ya mtu m,moja naamin utapona
Mganga wako yuko huku 👇Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.
Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
Tunaingoja hiyo elimu.Naona kuna haja ya kuwapa Elimu vijana, juu ya hili.