Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimaliza kula kasaidiane na Dada kuosha vyombo.Hii kitu ina umhimu wake aisee, natamani siku moja nipange room, nianze kujitegemea, kikubwa room yangu sitaki ikose Pad na Tv kwa ajili ya game, yaani game kwa kwenda mbele.
Mbali na uchumi kwangu kua mgumu, kitu inayonikimbiza kupanga, ni kupika kupika so kazi ya kitoto aisee, alafu kuna na kudeki unaweza ukavunjika ata uti wa mgongo kisa kuinama inama asubui.
mambo ya kufagia, sasa apo ndo tutamalizana na majirani.
alafu uzuri wa geto nasikia ua kuna watu wanatafunwa kama mihogo, wakuu wekeni wazi usumbufu ulioko geto, raha za geto, pamoja na mihangaiko,
Nguo zinajisumbukia zenyewe kwenye enka tu inatosha zingine kwenye beg imeisha hiyokwaio nguo unawekaga wapi
Mario inahusikaje hapo? Uko nyumban mama anakutuma kitu utakataa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mi sio marioo
Mzee ni kweli unakiwanda cha kuchata viazi? Nipe location nipite hapo tupige sogaNguo zinajisumbukia zenyewe kwenye enka tu inatosha zingine kwenye beg imeisha hiyo
mimi naenda mwaka wa pili huu nakula kwa mama ntilie.....usafi utafanya tu mwenyewe utajishtukia geto chafu ngoja nifagiedah mzee unaniombea mazuri kinyama, ntatulia usiwaze ila tatizo ni kudeki, na kupika na kuoa sitaki kabisa ata kusikia
We jamaa unayejiita Viatu Vya Samaki comments zako si za mchezo mchezo😎😎😎Wasalimie hapo nyumbani.
Ahahahahahdada hajambo?
Makoro koro mengi miyeyusho, mi na Tanfomu yangu inch nane tano Kwa sita, na kitanda cha mninga, sabufa kama kawa na laptop yangu matata, zuria si la nchi hii , mapazia ya kibishoo, jiko la gas, Diaba na ndoo kadhaa, na vyombo vya kiaina, kila mtoto wa kike akiingia anatamani kuvua chupi, nami natenda haki ipasavyoGheto kuna kitanda, feni ya kishkaji , sabufa, desktop jiko la gas na vyombo tu vichache sina makoro koro mengi mkuu
Makoro koro mengi miyeyusho, mi na Tanfomu yangu inch nane tano Kwa sita, na kitanda cha mninga, sabufa kama kawa na laptop yangu matata, zuria si la nchi hii , mapazia ya kibishoo, jiko la gas, Diaba na ndoo kadhaa, na vyombo vya kiaina, kila mtoto wa kike akiingia anatamani kuvua chupi, nami natenda haki ipasavyo
Junior hebu Nipe yule mwenzako uliekuwa nae kwenye usaili ambae ulisema ni mzuri kinyama[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dah we jamaa saa utavua wangapi man
Junior hebu Nipe yule mwenzako uliekuwa nae kwenye usaili ambae ulisema ni mzuri kinyama