Umuhimu wa kuwa na watoto wengi uko wapi

Umuhimu wa kuwa na watoto wengi uko wapi

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Nauliza hili.!!
Ni kwanini familia zenye watoto wengi hasa nchini Tanzania zinakosa kushirikiana na kusaidiana kwenye mambo mbalimbali ya kifamilia pindi yanapotokea mfano maradhi, msiba, ama sherehe

Wazee wetu wanazaa watoto wengi kwa lengo la kupata msaada pindi wanapohitaji lakini cha ajabu wanaishia kukosa na kulalama tu

Baba anaweza kuwa mgonjwa na ana watoto 8 lakini msaada asipate ama apate kwa mtoto mmoja tu, je umuhimu wa kuzaa watoto wengi upo wapi
 
waatoto wengi una increase chances ya kupata msaada uzeeni kua na watoto 5+ sio unakua na mtoto mmoja anakuja msiBani kwako amelewa chakari na kashati kake kamoja kachafu unaabika wakiwa weng wanaweza kufukia io mistake.

mathematically ukiwa na watoto unapunguza risky ya aibu uzeeni
 
waatoto wengi una increase chances ya kupata msaada uzeeni kua na watoto 5+ sio unakua na mtoto mmoja anakuja msiBani kwako amelewa chakari na kashati kake kamoja kachafu unaabika wakiwa weng wanaweza kufukia io mistake.

mathematically ukiwa na watoto unapunguza risky ya aibu uzeeni
Akili za kipuuz hizi. Tupo 8 ila 1 Tu ndo katoka
 
Tena unakuwa na mzigo mkubwa , wengine wamefika miaka 30 ila bado hawajatoboa wanakuangalia wewe mzazi
 
Nauliza hili.!!
Ni kwanini familia zenye watoto wengi hasa nchini Tanzania zinakosa kushirikiana na kusaidiana kwenye mambo mbalimbali ya kifamilia pindi yanapotokea mfano maradhi, msiba, ama sherehe

Wazee wetu wanazaa watoto wengi kwa lengo la kupata msaada pindi wanapohitaji lakini cha ajabu wanaishia kukosa na kulalama tu

Baba anaweza kuwa mgonjwa na ana watoto 8 lakini msaada asipate ama apate kwa mtoto mmoja tu, je umuhimu wa kuzaa watoto wengi upo wapi
ni ili uonekane kidume cha mbegu, mama naye aonekane kazaa vema mpaka mayai yakamuishia
 
Back
Top Bottom