Umuhimu wa kuwa na watoto wengi uko wapi

Umuhimu wa kuwa na watoto wengi uko wapi

Wanawake waliowengi wanapenda sana watoto pomoja na changamoto wanazopata huko labour hawakomi.
Miye nina watoto wawili na nimemwambia wife hawa watoto wanatosha yeye hataki anasema tuongeza.
Watoto wa sasa hata ukizaa mia moja hawana msaada wowote kama wewe ni choka mbaya.
Kitakachokutunza wewe ni uchumi wako na siyo watoto
 
waatoto wengi una increase chances ya kupata msaada uzeeni kua na watoto 5+ sio unakua na mtoto mmoja anakuja msiBani kwako amelewa chakari na kashati kake kamoja kachafu unaabika wakiwa weng wanaweza kufukia io mistake.

mathematically ukiwa na watoto unapunguza risky ya aibu uzeeni
Sio kweli kuzaa wengi haikupi uhakika wa kufaidi uzeeni, ba mkwe anao 20+ lakini ndo yeshee ni 3 wenye moyo wa kumsaidia kwa karibu waliobaki ni kelele na kutoa maelekezo tu
 
Nauliza hili.!!
Ni kwanini familia zenye watoto wengi hasa nchini Tanzania zinakosa kushirikiana na kusaidiana kwenye mambo mbalimbali ya kifamilia pindi yanapotokea mfano maradhi, msiba, ama sherehe

Wazee wetu wanazaa watoto wengi kwa lengo la kupata msaada pindi wanapohitaji lakini cha ajabu wanaishia kukosa na kulalama tu

Baba anaweza kuwa mgonjwa na ana watoto 8 lakini msaada asipate ama apate kwa mtoto mmoja tu, je umuhimu wa kuzaa watoto wengi upo wapi
Siyo lazima usaidiwe
 
Nauliza hili.!!
Ni kwanini familia zenye watoto wengi hasa nchini Tanzania zinakosa kushirikiana na kusaidiana kwenye mambo mbalimbali ya kifamilia pindi yanapotokea mfano maradhi, msiba, ama sherehe

Wazee wetu wanazaa watoto wengi kwa lengo la kupata msaada pindi wanapohitaji lakini cha ajabu wanaishia kukosa na kulalama tu

Baba anaweza kuwa mgonjwa na ana watoto 8 lakini msaada asipate ama apate kwa mtoto mmoja tu, je umuhimu wa kuzaa watoto wengi upo wapi
Inategemea walilelewaje, ni familia chache sana zinazotoa malezi kwa watoto, familia nyingi watoto wanajilea wenyewe, wazazi wahaingaika pale tu mtoto anapoumwa.
 
Sio kweli kuzaa wengi haikupi uhakika wa kufaidi uzeeni, ba mkwe anao 20+ lakini ndo yeshee ni 3 wenye moyo wa kumsaidia kwa karibu waliobaki ni kelele na kutoa maelekezo tu
Nchi nyingi sana za vipato vya chini watoto hutizamwa kama retirement plan kwa wazazi. Watu wengi wanazaa kwa hofu ya kutokuwa na watu wa kuwatunza uzeeni.
 
Nchi nyingi sana za vipato vya chini watoto hutizwa kama retirement plan kwa wazazi. Watu wengi wanazaa kwa hofu ya kutokuwa na watu wa kuwatunza uzeeni.
Tuzae km kuzaa tu ila kutegemea wakutunze hiyo haipo utakufa kwa sonona na kulaani uzao wako mwnyw
 
Back
Top Bottom