Djob Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 265
- 203
Yeye alimsaidia mzazi wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntazaa hata kama panya 10🐈Ni kuongeza idadi ya panya Road,majambazi ,na mateja tu ,kwa uchumi upi uzae watoto wengi kama panya?
mkubwa weweMtoto mmoja anatosha. Wazee ule uzi wa selfika kuna watu wameandika na mkauchek
Maisha ni kuchagua 10 unatakiwa angalau uwe hata na utajiri wa usd million 500.Ntazaa hata kama panya 10🐈
Acha utaniii watoto ni barakaMaisha ni kuchagua 10 unatakiwa angalau uwe hata na utajiri wa usd million 500.
nonsenseAfrica sio ulaya kuwa unaweza kuwa na watoto 2 wote wakakuwa mpaka kufika utuuzima wakakutunza mzazi.Afrika risk ni nyingi sana kuanzia kwenye uchumi mpaka social life-unaweza zaa 2 wanaoendana na uwezo kiuchumi,bado mambo mengine mengi yakachangia wasifike utuuzima kama ajali,huduma mbovu za matibabu n.k.
Hivyo basi kiafrika ni vizuri mtu kuwa na watoto angalau 4 au 5 ili kuongeza nafasi ya kuhudumiwa unapofika umri mkubwa na kuendeleza kizazi.
Kuna wajinga wengi mnoo.Africa sio ulaya kuwa unaweza kuwa na watoto 2 wote wakakuwa mpaka kufika utuuzima wakakutunza mzazi.Afrika risk ni nyingi sana kuanzia kwenye uchumi mpaka social life-unaweza zaa 2 wanaoendana na uwezo kiuchumi,bado mambo mengine mengi yakachangia wasifike utuuzima kama ajali,huduma mbovu za matibabu n.k.
Hivyo basi kiafrika ni vizuri mtu kuwa na watoto angalau 4 au 5 ili kuongeza nafasi ya kuhudumiwa unapofika umri mkubwa na kuendeleza kizazi.
Baba je?I'm the only child to my mother,, nainjoiii upendo wake hadi najionea wivu nayeye anainjoi wangu.
UtumwaAfrica sio ulaya kuwa unaweza kuwa na watoto 2 wote wakakuwa mpaka kufika utuuzima wakakutunza mzazi.Afrika risk ni nyingi sana kuanzia kwenye uchumi mpaka social life-unaweza zaa 2 wanaoendana na uwezo kiuchumi,bado mambo mengine mengi yakachangia wasifike utuuzima kama ajali,huduma mbovu za matibabu n.k.
Hivyo basi kiafrika ni vizuri mtu kuwa na watoto angalau 4 au 5 ili kuongeza nafasi ya kuhudumiwa unapofika umri mkubwa na kuendeleza kizazi.
Hao wa 4/5 hawawez pata izo risk?usibet maishaAfrica sio ulaya kuwa unaweza kuwa na watoto 2 wote wakakuwa mpaka kufika utuuzima wakakutunza mzazi.Afrika risk ni nyingi sana kuanzia kwenye uchumi mpaka social life-unaweza zaa 2 wanaoendana na uwezo kiuchumi,bado mambo mengine mengi yakachangia wasifike utuuzima kama ajali,huduma mbovu za matibabu n.k.
Hivyo basi kiafrika ni vizuri mtu kuwa na watoto angalau 4 au 5 ili kuongeza nafasi ya kuhudumiwa unapofika umri mkubwa na kuendeleza kizazi.
huo sasa umbea,,soma kilchoandkwaBaba je?
Kama hujazaa huwezi jua! Watoto ni uwekezaji si lazima uwe economical! Socially etc. Mfano ushauri toka damu yako, utauamini zaidi kuliko wa mtu mwingine.Sikuwahi kujua kama watoto ni uwekezaji!!