Umuhimu wa Tv Guard na Stabilizer katika matumizi ya umeme majumbani

Umuhimu wa Tv Guard na Stabilizer katika matumizi ya umeme majumbani

Realbest

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
812
Reaction score
300
WanaJF hivi Stabilizer pamojq na TV guard ni vifaa ambavyo vinaweza kukinga vifaa vya umeme kwa Uhakika kama Tv 'Radio' computer' hasa pale umeme unapozidi au radi? ushauri tafadhali ni Stabilizer gani inafaa au tv Guard gani?

Nawasilisha
 
stabilizer hupandisha umeme ukipungua, au kuupunguza ukizidi.

umeme unakua level mida ya asubui na mchana, na hushuka (undervoltage/brownout) pale watumiaji wanapoongezeka , mida ya jioni na usiku.

umeme huweza kupanda (over voltage) mda wowote ule, system za tanesiko zikicheza

stabilizer haina nguvu ya kutosha kulinda chombo dhidi ya surge/spikes

surge ni umeme kupanda ghafla :

a. radi ikitokea (inline surges),

b. umeme umerudi baada ya kukatika , (power back surges)

c. kuwaka na kuzima kwa 'inductive loads' mf: friji, friza, ac ) (inline surges).

-lile friji (compressor-motor) lako linapowaka na kuzima umeme unacheza vibaya mno (voltage sags and swells ) .


hapa ndipo tv guard/fridge guard inapokua na manufaa kwani hulinda chombo dhidi ya surge(spikes),

a. inline surges ( sababu ni friji na radi )

b. power back surges (umeme kurudi mkubwa ghafla hudumu sekunde chache sana )

funga stabilizer kwenye vifaa vya electrical kama friji, friza,

funga guard kwenye vifaa vya electronics kama tv, radio,

Cons: Izi guard hujizima pindi kunapokua na over/under-voltage (badala ya kui adjust)


vifaa kama desktop pc , ivi hasa inaitaji UPS ( ambayo ina stabilizer pamoja na surge arrestor ambazo zote ziko effective )
 
Last edited:
stabilizer hupandisha umeme ukipungua, au kuupunguza ukizidi.

umeme unakua level mida ya asubui na mchana, na hushuka (undervoltage/brownout) pale watumiaji wanapoongezeka , mida ya jioni na usiku.

umeme huweza kupanda (over voltage) mda wowote ule, system za tanesiko zikicheza

stabilizer haina nguvu ya kutosha kulinda chombo dhidi ya surge/spikes

surge ni umeme kupanda ghafla :

a. radi ikitokea (inline surges),

b. umeme umerudi baada ya kukatika , (power back surges)

c. kuwaka na kuzima kwa 'inductive loads' mf: friji, friza, ac ) (inline surges).

-lile friji (compressor-motor) lako linapowaka na kuzima umeme unacheza vibaya mno (voltage sags and swells ) .


hapa ndipo tv guard/fridge guard inapokua na manufaa kwani hulinda chombo dhidi ya surge(spikes),

a. inline surges ( sababu ni friji na radi )

b. power back surges (umeme kurudi mkubwa ghafla hudumu sekunde chache sana )

funga stabilizer kwenye vifaa vya electrical kama friji, friza,

funga guard kwenye vifaa vya electronics kama tv, radio,

Cons: Izi guard hujizima pindi kunapokua na over/under-voltage (badala ya kui adjust)


vifaa kama desktop pc , ivi hasa inaitaji UPS ( ambayo ina stabilizer pamoja na surge arrestor ambazo zote ziko effective )
Mkuu what if nikiamua kutumia UPS kwenye TV na radio, inawezekana?
 
stabilizer hupandisha umeme ukipungua, au kuupunguza ukizidi.

umeme unakua level mida ya asubui na mchana, na hushuka (undervoltage/brownout) pale watumiaji wanapoongezeka , mida ya jioni na usiku.

umeme huweza kupanda (over voltage) mda wowote ule, system za tanesiko zikicheza

stabilizer haina nguvu ya kutosha kulinda chombo dhidi ya surge/spikes

surge ni umeme kupanda ghafla :

a. radi ikitokea (inline surges),

b. umeme umerudi baada ya kukatika , (power back surges)

c. kuwaka na kuzima kwa 'inductive loads' mf: friji, friza, ac ) (inline surges).

-lile friji (compressor-motor) lako linapowaka na kuzima umeme unacheza vibaya mno (voltage sags and swells ) .


hapa ndipo tv guard/fridge guard inapokua na manufaa kwani hulinda chombo dhidi ya surge(spikes),

a. inline surges ( sababu ni friji na radi )

b. power back surges (umeme kurudi mkubwa ghafla hudumu sekunde chache sana )

funga stabilizer kwenye vifaa vya electrical kama friji, friza,

funga guard kwenye vifaa vya electronics kama tv, radio,

Cons: Izi guard hujizima pindi kunapokua na over/under-voltage (badala ya kui adjust)


vifaa kama desktop pc , ivi hasa inaitaji UPS ( ambayo ina stabilizer pamoja na surge arrestor ambazo zote ziko effective )
ahsante sana mkuu nmekusoma naje? naweza tumia tv guard kuikinga tv yangu pamoja na redio yaan sabufa? kwamaanahyo kwamatumizi ya nymbn hyostebolizer hainifai?
 
ahsante sana mkuu nmekusoma naje? naweza tumia tv guard kuikinga tv yangu pamoja na redio yaan sabufa? kwamaanahyo kwamatumizi ya nymbn hyostebolizer hainifai?

Fridge Guard ni nzuri zaidi kwaajili ya kulinda fridge , Kwa sababu:- endapo umeme unachezacheza (Fluctuate) basi fridge guard itajizima hadi umeme utakapotulia, na pia umeme utakapokuwa chini ya kiwango mfano 160V AC, basi fridge guard itajizima kabisa na haiwezi kupandisha voltage.

Unaweza kutumia pia combination ya starbilizer na UPS ( Starbilizer kwanza, inafuata UPS) - kwa vifaa vidogo sio kwenye fridge.

Kwenye TV/Deck/Decorder/radio/Subwoofer na vifaa vyote vya nyumbani vinavyotumia umeme mdogo tumia Starbilizer (Ya relay au servo) , kwani starbiliza nzuri ya servo ina uwezo wa kupandisha umeme (Mfano kuanzia 170V hadi 220).



na pia vifaa vyote vinavyotumia powersupply za Switch Mode zina uwezo wa kufanya kazi kwenye umeme mdogo kuanzia 100V hadi 230V.
 
Fridge Guard ni nzuri zaidi kwaajili ya kulinda fridge , Kwa sababu:- endapo umeme unachezacheza (Fluctuate) basi fridge guard itajizima hadi umeme utakapotulia, na pia umeme utakapokuwa chini ya kiwango mfano 160V AC, basi fridge guard itajizima kabisa na haiwezi kupandisha voltage.

Unaweza kutumia pia combination ya starbilizer na UPS ( Starbilizer kwanza, inafuata UPS) - kwa vifaa vidogo sio kwenye fridge.

Kwenye TV/Deck/Decorder/radio/Subwoofer na vifaa vyote vya nyumbani vinavyotumia umeme mdogo tumia Starbilizer (Ya relay au servo) , kwani starbiliza nzuri ya servo ina uwezo wa kupandisha umeme (Mfano kuanzia 170V hadi 220).



na pia vifaa vyote vinavyotumia powersupply za Switch Mode zina uwezo wa kufanya kazi kwenye umeme mdogo kuanzia 100V hadi 230V.
ahsanteee mkuu nlikuwa namaanisha Tv Guard naweza itumia kwa Radio na Decoder mfano!?
 
stabilizer hupandisha umeme ukipungua, au kuupunguza ukizidi.

umeme unakua level mida ya asubui na mchana, na hushuka (undervoltage/brownout) pale watumiaji wanapoongezeka , mida ya jioni na usiku.

umeme huweza kupanda (over voltage) mda wowote ule, system za tanesiko zikicheza

stabilizer haina nguvu ya kutosha kulinda chombo dhidi ya surge/spikes

surge ni umeme kupanda ghafla :

a. radi ikitokea (inline surges),

b. umeme umerudi baada ya kukatika , (power back surges)

c. kuwaka na kuzima kwa 'inductive loads' mf: friji, friza, ac ) (inline surges).

-lile friji (compressor-motor) lako linapowaka na kuzima umeme unacheza vibaya mno (voltage sags and swells ) .


hapa ndipo tv guard/fridge guard inapokua na manufaa kwani hulinda chombo dhidi ya surge(spikes),

a. inline surges ( sababu ni friji na radi )

b. power back surges (umeme kurudi mkubwa ghafla hudumu sekunde chache sana )

funga stabilizer kwenye vifaa vya electrical kama friji, friza,

funga guard kwenye vifaa vya electronics kama tv, radio,

Cons: Izi guard hujizima pindi kunapokua na over/under-voltage (badala ya kui adjust)


vifaa kama desktop pc , ivi hasa inaitaji UPS ( ambayo ina stabilizer pamoja na surge arrestor ambazo zote ziko effective )
Mkuu mimi kwenye TV na Home theater,fan natumia UPS,je nipo salama?
 
na mimi nangojea jibu
ahsanteee mkuu nlikuwa namaanisha Tv Guard naweza itumia kwa Radio na Decoder mfano!?

Yes unaweza kutumia na itakusaidia na vifuatavyo:
- Surge protection (Umeme mkubwa wa ghafla)
-Umeme unaocheza cheza (Fluctuation)
-Umeme mkubwa uliozidi.


Hasara zake:
-Umeme ukicheza itajizima kwa dakika kadhaa, hapo lazima usubirie tu hata kama unaangalia Taarifa ya habari
-Inachelewa kuwaka unapoiwasha.
-Umeme ukiwa mdogo itajizima.
 
Hivi mkuu mtu anaposema nimenunua home theater yenye kiwango cha watts 1000 output inamaanisha ni haya mambo ya umeme au ni ukubwa kwenye issue ya sauti?

yah, iyo 1000 ni output, ina maana kupata input

input ( umeme ) = output + loss + misc.

kama izo sieta sio za ki guanzhou , loss na misc. itakua inachezea figa ndogo sana (ufanisi mkubwa) , kiasi kwamba input = output

najib swali lako sasa, ndio iyo 1000W ni ya umeme pia!
 
yah, iyo 1000 ni output, ina maana kupata input

input ( umeme ) = output + loss + misc.

kama izo sieta sio za ki guanzhou , loss na misc. itakua inachezea figa ndogo sana (ufanisi mkubwa) , kiasi kwamba input = output

najib swali lako sasa, ndio iyo 1000W ni ya umeme pia!
Kwa hiyo mkuu ina maana stabilizer ya watts 1500 ina uwezo wa kuhudumia vifaa ya ectronics vyenye uwezo wa jumla ya watts 1500 peke yake?
 
Kwa hiyo mkuu ina maana stabilizer ya watts 1500 ina uwezo wa kuhudumia vifaa ya ectronics vyenye uwezo wa jumla ya watts 1500 peke yake?

yap, ni sawa na gari au barabara iandikwe 10t, maana usizidishe zaidi ya tani 10, ndio uwezo wake.

kama utazidisha , iyo stabilizer (hata ups, japo ups hukata moto fasta) utaidumaza, kama ni ya kichina itachemka, itapata moto (nyaya na items zingine za ndani zitabanikwa ) kama si kuungua ndani kwa ndani

note: kizio cha stabilizer/ups hua ni VA (mara nyingi)

ukicheki wa label unakuta 2kVA, hii ina maana ni 2000VA, sasa kwa ustaarab wa nyumbani (residential pf ) iyo 2000 unazidisha na 0.8 (pf ya majumbani) , unapata 1600 na kizio hubadilika kua watts ie: 1600W
 
Last edited:
yap, ni sawa na gari au barabara iandikwe 10t, maana usizidishe zaidi ya tani 10, ndio uwezo wake.

kama utazidisha , iyo stabilizer (hata ups, japo ups hukata moto fasta) utaidumaza, kama ni ya kichina itachemka, itapata moto (nyaya na items zingine za ndani zitabanikwa ) kama si kuungua ndani kwa ndani

note: kizio cha stabilizer/ups hua ni VA (mara nyingi)

ukicheki wa label unakuta 2kVA, hii ina maana ni 2000VA, sasa kwa ustaarab wa nyumbani (residential pf ) iyo 2000 unazidisha na 0.8 (pf ya majumbani) , unapata 1600 na kizio hubadilika kua watts ie: 1600W
Aisee, unaeleweka sana, hata mtu ambae si mtaalam wa umeme nadhan kakuelewa vyema, labda mm ningeongezea jambo dogo tu,
Utumiaji wa vitu kama UPS, GURDS, STABILIZERS na AUTOTRANSFOMERS pia hupunguza bili ya umeme, maana vifaa vinavotumia umeme vinatabia ya kunyonya current kubwa wakati voltage ikiwa ndogo(kwa maana ya umeme kua mdogo ama mkubwa ni ishu ya voltage), hii usababisha heating na losses nyingne ambazo kwa ujumla huongeza bili ya umeme.
 
Back
Top Bottom