Umuhimu wa Tv Guard na Stabilizer katika matumizi ya umeme majumbani

Umuhimu wa Tv Guard na Stabilizer katika matumizi ya umeme majumbani

Mkuu, naomba nifahamishe, mfano nina stabilizer ya watt 500, nitajuaje vifaa nilivyounganisha vinatosha kwenye hiyo stabilizer.!
Chamsingi ungalie jumla ya watt za hivyo vifaa kwa mfano tv chogo ni watt 60-75 lkn pas ya umeme ni watt 1000 kwamaanahyo ukiweka pasi ya watt 1000 kwenye stebolizer ya watt 500 lazima stebolizer itaungua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chamsingi ungalie jumla ya watt za hivyo vifaa kwa mfano tv chogo ni watt 60-75 lkn pas ya umeme ni watt 1000 kwamaanahyo ukiweka pasi ya watt 1000 kwenye stebolizer ya watt 500 lazima stebolizer itaungua

Sent using Jamii Forums mobile app
tena asijaribu kuweka pasi kwenye starbilizer kabisa. Haina umuhimu huo hata kama starbilizer ni kubwa
 
ndio , TV guard itafanya kazi vizuri zaidi
Kwa nini Tv guard itakuwa bora zaidi wakati hii extension iko sensitive sana.Hebu nisaidie nielewe maana mimi sioni haja ya kutumia hata stabilizer nikiwa na hii extension.
 
Kwa nini Tv guard itakuwa bora zaidi wakati hii extension iko sensitive sana.Hebu nisaidie nielewe maana mimi sioni haja ya kutumia hata stabilizer nikiwa na hii extension.

Ni extension nyingi sana zinakuja na surge protections (Zingine hata huwezi kujua lakini zinayo). Sasa surge protector inafanya kazi ya kuzuia umeme unaopanda ghafla (Kama vile wakati radi inapopiga na kuungana na umeme wa Tanesco). Na nilazima umeme upande kwa kasi sana ndipo surge protector itakapofanya kazi yake vyema.

umeme wa Tanzania ni kati ya 220V hadi 240V huo ndio wa kawaida,

>sasa endapo umeme utashuka chini ya 220V , mathalani ukaenda hadi 180V basi kuna vifaa havitaweza kufanya kazi, na
1.Surge protector haiwezi kusaidia chochote hapo, itapitisha umeme huo huo.
2. TV guard/ Fridge guard itazima kabisa kwa muda wa dakika 5 au hadi umeme urudi kwenye hali yake.
3. Starbilizer itaupandisha hadi 220V au zaidi kulingana na ubora wake.
4. UPS itaukataa huo umeme , na itaanza kutumia backup yake ya battery huku ikipiga alarm.

>sasa endapo umeme unachezacheza
1.Surge protector haiwezi kusaidia chochote hapo, itapitisha umeme huo huo.
2. TV guard/ Fridge guard itazima kabisa hadi umeme urudi kwenye hali yake.
3. Starbilizer itakuwa inaurekebisha na kuhakikisha output ipo kwenye range salama kulingana na ubora wake.
4. UPS itajitahidi kuurekebisha, kuukataa na kuukubali huku ikipiga alarm na kunyamaza.

>sasa endapo umeme umepanda kupita 240V , mfano 260V
1.Surge protector baada ya muda itakata umeme au zingine zinakata umeme na kuungua (kulingana na muundo).
2. TV guard/ Fridge guard itazima na kama haina ubora inaweza kuruhusu baadae au inaweza kuungua..
3. Starbilizer itakuwa itajitahidi kuurudisha kwenye range salama kulingana na ubora wake au inaweza kuungua au kukata fuse.
4. UPS itaukataa, itaanza kutumia backup yake huku ikipiga Alarm na inaweza kuunguza surge protector yake na kukata fuse.
 
Ni extension nyingi sana zinakuja na surge protections (Zingine hata huwezi kujua lakini zinayo). Sasa surge protector inafanya kazi ya kuzuia umeme unaopanda ghafla (Kama vile wakati radi inapopiga na kuungana na umeme wa Tanesco). Na nilazima umeme upande kwa kasi sana ndipo surge protector itakapofanya kazi yake vyema.

umeme wa Tanzania ni kati ya 220V hadi 240V huo ndio wa kawaida,

>sasa endapo umeme utashuka chini ya 220V , mathalani ukaenda hadi 180V basi kuna vifaa havitaweza kufanya kazi, na
1.Surge protector haiwezi kusaidia chochote hapo, itapitisha umeme huo huo.
2. TV guard/ Fridge guard itazima kabisa kwa muda wa dakika 5 au hadi umeme urudi kwenye hali yake.
3. Starbilizer itaupandisha hadi 220V au zaidi kulingana na ubora wake.
4. UPS itaukataa huo umeme , na itaanza kutumia backup yake ya battery huku ikipiga alarm.

>sasa endapo umeme unachezacheza
1.Surge protector haiwezi kusaidia chochote hapo, itapitisha umeme huo huo.
2. TV guard/ Fridge guard itazima kabisa hadi umeme urudi kwenye hali yake.
3. Starbilizer itakuwa inaurekebisha na kuhakikisha output ipo kwenye range salama kulingana na ubora wake.
4. UPS itajitahidi kuurekebisha, kuukataa na kuukubali huku ikipiga alarm na kunyamaza.

>sasa endapo umeme umepanda kupita 240V , mfano 260V
1.Surge protector baada ya muda itakata umeme au zingine zinakata umeme na kuungua (kulingana na muundo).
2. TV guard/ Fridge guard itazima na kama haina ubora inaweza kuruhusu baadae au inaweza kuungua..
3. Starbilizer itakuwa itajitahidi kuurudisha kwenye range salama kulingana na ubora wake au inaweza kuungua au kukata fuse.
4. UPS itaukataa, itaanza kutumia backup yake huku ikipiga Alarm na inaweza kuunguza surge protector yake na kukata fuse.
maelezo yamejitosheleza kabsa hamna nyongeza! chamsingi hapo nikutafuta tv guard Bora zaidi kwa upande wa Tv
 
Ni extension nyingi sana zinakuja na surge protections (Zingine hata huwezi kujua lakini zinayo). Sasa surge protector inafanya kazi ya kuzuia umeme unaopanda ghafla (Kama vile wakati radi inapopiga na kuungana na umeme wa Tanesco). Na nilazima umeme upande kwa kasi sana ndipo surge protector itakapofanya kazi yake vyema.

umeme wa Tanzania ni kati ya 220V hadi 240V huo ndio wa kawaida,

>sasa endapo umeme utashuka chini ya 220V , mathalani ukaenda hadi 180V basi kuna vifaa havitaweza kufanya kazi, na
1.Surge protector haiwezi kusaidia chochote hapo, itapitisha umeme huo huo.
2. TV guard/ Fridge guard itazima kabisa kwa muda wa dakika 5 au hadi umeme urudi kwenye hali yake.
3. Starbilizer itaupandisha hadi 220V au zaidi kulingana na ubora wake.
4. UPS itaukataa huo umeme , na itaanza kutumia backup yake ya battery huku ikipiga alarm.

>sasa endapo umeme unachezacheza
1.Surge protector haiwezi kusaidia chochote hapo, itapitisha umeme huo huo.
2. TV guard/ Fridge guard itazima kabisa hadi umeme urudi kwenye hali yake.
3. Starbilizer itakuwa inaurekebisha na kuhakikisha output ipo kwenye range salama kulingana na ubora wake.
4. UPS itajitahidi kuurekebisha, kuukataa na kuukubali huku ikipiga alarm na kunyamaza.

>sasa endapo umeme umepanda kupita 240V , mfano 260V
1.Surge protector baada ya muda itakata umeme au zingine zinakata umeme na kuungua (kulingana na muundo).
2. TV guard/ Fridge guard itazima na kama haina ubora inaweza kuruhusu baadae au inaweza kuungua..
3. Starbilizer itakuwa itajitahidi kuurudisha kwenye range salama kulingana na ubora wake au inaweza kuungua au kukata fuse.
4. UPS itaukataa, itaanza kutumia backup yake huku ikipiga Alarm na inaweza kuunguza surge protector yake na kukata fuse.
Stabilizer yenyewe inatoa wapi umeme wa ziada kufikia 220,wakati supply ni mfano 180v?
 
Stabilizer yenyewe inatoa wapi umeme wa ziada kufikia 220,wakati supply ni mfano 180v?

sasa hapo pia jiulize powerbank inatoa wapi 5V DC wakati battery yake inatoa 3.7V, au Inverter inapobadilisha umeme wa battery ya gari 12V DC kuwa 220V AC.
...........................

Majibu yake ni marahisi sana , tena kwa umeme wa Tanesco ambao ni AC , unahitaji tu step-up transfomer itakayo ongeza VOLTAGE kwa kupunguza current. Unapokuwa na chanzo chenye 12V, 10A basi hapo unaweza kubadili na kupata voltage yoyote ili mradi zao la hiyo voltage na current yake isizidi 120W , Yaani voltage itakayopandishwa ukizidisha na current yake jibu lake lisizidi zao la Voltage na current ya chanzo cha umeme huo.
 
mmoja atupie picha ya tv guard
Tv guard piyake hiyo
Screenshot_20190112-171458.jpeg
Screenshot_20190112-171510.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanajif hv Stebolaizer pamojq na TV guard nivifaa ambavyo vnaweza kukinga vifaa vya umeme kwa Uhakika km Tv 'Radio' computer' asa pale umeme unapozidi au radi? ushauri tafadhali nistebolaizer gani inafaa au tv Guard gani??? nawasilisha
Siyo stebolaizer
Ni stabiliser =.stabilaiza
 
Back
Top Bottom