G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Suluhu ni ipi sasa? make hujatoa pendekezo la suluhu inayotakiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TumuombeeView attachment 701335
Nimesoma katika gazeti la The Guardian on sunday, tar 25 Feb 2018, ati UN(Umoja wa Mataifa), wanapinga kujengwa kwa kituo cha kuzalisha umeme kiasi cha 2,100MW ati kwa sababu za mazingira.
Huu ni uhujumu, full stop!
UN inatumiwa tu, ili ujumbe uonekane ati unatoka chombo ambacho ni fair, lakini ujumbe huo ni lazima unatoka nchi zinazofaidika na matatizo yetu ya nishati.
Kampuni za kimarekani kama AGGREKO, DOWANS na nyingine nyingi ni wazi zisingependa kuona mradi huu wa Stieglers Gorge ukifanikiwa, maana watakosa ulaji wanaofaidika nao leo.
Kama ingewapendeza UN, basi Three Gorges Dam ya China, Aswan Dam ya Misri, Akosombo Dam ya Ghana vyote visingejengwa kwa sababu za kimazingira.
Nampongeza sana Rais Magufuli na kumpa moyo kushika moyo ule ule , ili nchi ijitawale kinishati.
Mradi wa steiglers gorge ni unnecessary na ecological destructive, hilo halina mjadala.
Tuna gesi ambayo mpaka leo iko under utilised.
Tuna makaa ya mawe, the cheapest source of energy tunayoweza kutumia. Its destructive pia lakini on the good side yako kwenye maeneo ambayo ni remote and not in one of the largest protected reserve site in the world.
Tuna uwezo wakuproduce wind energy in a large quantity, ila mpaka leo hakuna any signs ya kuanzisha mradi huo.
Tuna a long coastline yenye uwezo wakutuwezesha kuproduce energy kupitia tidal waves.
Tuna uwezo wa kupower miji mingi midogo Tanzania kwa kutumia umeme wa jua tu.
Ila vyote hivyo hamna mpango navyo au hamtaki kuvitekeleza in full.
Juzi juzi a few years back serikali imetoka kuiomba UN kufanya boundary change ya selous kwa ajili ya uranium mining ambayo in the end itakuja kuproduce a ton of radioactive waste ambayo ita-affect the game reserve.
Hapo hapo kuna swala la ujangili humo kwenye hiyo reserve, kwenye idadi ya tembo wameshuka toka 60,000+ in 2009 mpaka 10,000+ in 2013. Tumekaa tu, wala hakuna serious effort kukabiliana na hilo.
Tena sasa mnataka mjenge a hydro plant ambayo ita-flood a large area of the reserve na kuharibu the ecosystem ya eneo hilo,just from the construction alone.
Yani sisi ni kuharibu haribu tuu...
Hydro plants zetu nyingi if not all, zimetengenezwa wakati wa mkoloni, hivi mnadhani wangeshindwa kujenga hiyo hydro plant kwenye hiyo reserve. Mnadhani ni wajinga sana mpaka wakaamua kuachana na hiyo idea. Tena walikuwa na uwezo both financially na engineering wise, kwasababu kama waliweza kutekeleza a large project such as reli ya kati, project kama hii isingewashinda.
Muda mwingine tusiwe wabishi, natuangalie impact ya vitu tunavyotaka kufanya.
Yah kwani huyajui makampuni yanayoikamua Tanesco kama Ng'ombe ambayo hayajaongezewa mikataba ya kuuzia Tanesco umeme yaliyokua yanalipwa 400m kila skuUnaweza kututajia hiyo agenda ya siri?
Kuna watu wanajitoa ufahamu wa kutetea nchi.Yah kwani huyajui makampuni yanayoikamua Tanesco kama Ng'ombe amabayo hayajaongezewa mikataba ya kuuzia Tanesco umeme yaliyokua yanalipwa 400m kila sku
Acha ujinga wewe, umeme wa kutumia nguvu za maji ushapitwa na wakati. Tuna gas songosongo, tuna makaa ya mawe liganga, tuna uranium Dodoma, bado tunahangaika na maji? Jamani maamuzi mengine tuwe tunayapinga, sio bendera fuata upepo. Mimi niko upande wa UN full stop.View attachment 701335
Nimesoma katika gazeti la The Guardian on sunday, tar 25 Feb 2018, ati UN(Umoja wa Mataifa), wanapinga kujengwa kwa kituo cha kuzalisha umeme kiasi cha 2,100MW ati kwa sababu za mazingira.
Huu ni uhujumu, full stop!
UN inatumiwa tu, ili ujumbe uonekane ati unatoka chombo ambacho ni fair, lakini ujumbe huo ni lazima unatoka nchi zinazofaidika na matatizo yetu ya nishati.
Kampuni za kimarekani kama AGGREKO, DOWANS na nyingine nyingi ni wazi zisingependa kuona mradi huu wa Stieglers Gorge ukifanikiwa, maana watakosa ulaji wanaofaidika nao leo.
Kama ingewapendeza UN, basi Three Gorges Dam ya China, Aswan Dam ya Misri, Akosombo Dam ya Ghana vyote visingejengwa kwa sababu za kimazingira.
Nampongeza sana Rais Magufuli na kumpa moyo kushika moyo ule ule , ili nchi ijitawale kinishati.
Hela zenyewe za mkopo, ngebe zote hizo. Yakowapi ya interchange Ubungo, imegeuka fly over poleni CCM mnaemtegemea mtu mmoja.Ni kweli ila pia sio dalili nzuri sana kwa yanayotunyemelea maana inaonekana kana kwamba tunatengwa kiaina kimataifa. Huku UN kule US kwa issue ya ushirikiano na NK. Si busara kusema tu "shikilia hapo hapo"; wao wameshikilia mpini sisi makali. Busara ni kutafuta suluhu sahihi ya namna ya kutoka tuliponasa ili tusonge mbele bila mikwaruzano isiyo ya lazima na "wakubwa". Mwisho wa siku tutaumia sisi tukiendelea kushupaza shingo. Sina hakika kama utanielewa.
Kwahiyo unaamini kabisa kwamba ni hayo makampuni ndiyo yapo behind all this?! Btw, kama hoja ni kampuni zinazoikamua TANESCO, mbona hatukuwasikia hao UNESCO au taasisi yoyote ikipinga ujenzi wa bomba la gas ambalo serikali pia ilisema itakuwa ndio mwisho wa uhaba wa umeme?!Yah kwani huyajui makampuni yanayoikamua Tanesco kama Ng'ombe amabayo hayajaongezewa mikataba ya kuuzia Tanesco umeme yaliyokua yanalipwa 400m kila sku
Sibishani na pusi asiyejua tofauti kati ya koroboi na taa ya umeme.Acha ujinga wewe, umeme wa kutumia nguvu za maji ushapitwa na wakati. Tuna gas songosongo, tuna makaa ya mawe liganga, tuna uranium Dodoma, bado tunahangaika na maji? Jamani maamuzi mengine tuwe tunayapinga, sio bendera fuata upepo. Mimi niko upande wa UN full stop.
It is sad kwa mtu kujikita katika kukubaliana na thinking ya watu wasioitakia mema nchi hii.Kwahiyo unaamini kabisa kwamba ni hayo makampuni ndiyo yapo behind all this?! Btw, kama hoja ni kampuni zinazoikamua TANESCO, mbona hatukuwasikia hao UNESCO au taasisi yoyote ikipinga ujenzi wa bomba la gas ambalo serikali pia ilisema itakuwa ndio mwisho wa uhaba wa umeme?!
In addition, huo mradi wa Stigler ukishakuwa materialized unadhani utajengwa na wanani kama sio makampuni yenye asili ile ile? Mitambo toka nchi zile zile! Vipuri toka pande zile zile! Experts toka kule kule... and so much more!
So, do you really believe hayo makampuni hayautamani huu mradi ufanyike?!
Itoshe tu kusema kwamba Tanzania sio nchi ya kwanza na wala haitakuwa ya mwisho kwa UNESCO ku-criticise miradi iliyokuwa planned kwenye World Heritage Sites kwa sababu ni wajibu wao kufanya hivyo! Selous Games Reserve ni moja ya World Heritage Sites ambazo UNESCO wana-finance protection yake!
So long as hizi World Heritage Sites zinakuwa under UNESCO, they will always criticize jambo lolote wanaloona litahatarisha wanachokilinda!
Kimsingi; hawakukatazi kufanya utakacho lakini watapinga kwa sababu ni wajibu wao!
Kama nchi imejitosheleza unaweza kuwavimbia cuz' all they can do ni ku-withdrawal site husika from among world heritage sites!
Kama ni nchi ya kutegemea misaada na external financing; wataenda kukusubiria huko... watafanya lobbying kuhakikisha you get no financing! Hili ndilo lilimfanya JK aufyate kwenye Stigler Gorge kwa sababu alitarajia financing from Brazil!
That said, acheni hizi porojo za eti cjui Dowans mara IPTL! UNESCO wanatimiza wajibu wao!
Na kama hamuwataki; Tanzania inaruhusiwa ku-withdrawal... hata Ronald Reagan, back 1983 aliitoa USA from UNESCO!
This is what we call Mental slavery
Free yourself from that...
Mkuu wako wengi nimewaona humu.I love how you are quoting mistari ila hujuwi maana yake kwani ungeelewa maana yake wala usingeweka hiyo mistari ni kwa sababu inakulenga wewe moja kwa moja. Pole though.
Mkuu wako wengi nimewaona humu.I love how you are quoting mistari ila hujuwi maana yake kwani ungeelewa maana yake wala usingeweka hiyo mistari ni kwa sababu inakulenga wewe moja kwa moja. Pole though.
View attachment 701335
Nimesoma katika gazeti la The Guardian on sunday, tar 25 Feb 2018, ati UN(Umoja wa Mataifa), wanapinga kujengwa kwa kituo cha kuzalisha umeme kiasi cha 2,100MW ati kwa sababu za mazingira.
Huu ni uhujumu, full stop!
UN inatumiwa tu, ili ujumbe uonekane ati unatoka chombo ambacho ni fair, lakini ujumbe huo ni lazima unatoka nchi zinazofaidika na matatizo yetu ya nishati.
Kampuni za kimarekani kama AGGREKO, DOWANS na nyingine nyingi ni wazi zisingependa kuona mradi huu wa Stieglers Gorge ukifanikiwa, maana watakosa ulaji wanaofaidika nao leo.
Kama ingewapendeza UN, basi Three Gorges Dam ya China, Aswan Dam ya Misri, Akosombo Dam ya Ghana vyote visingejengwa kwa sababu za kimazingira.
Nampongeza sana Rais Magufuli na kumpa moyo kushika moyo ule ule , ili nchi ijitawale kinishati.
hivi madawati yanajengwa?Kajengeni vyoo na Madawati kwanza
Tatizo lenu nyie watu mnajifanya nyinyi ndo Wazalendo sana na ndio wenye uchungu sana na matokeo yake hoja zenu zinatawaliwa zaidi na hisia eti za kuonewa!!It is sad kwa mtu kujikita katika kukubaliana na thinking ya watu wasioitakia mema nchi hii.
To buy the UN view ati kwa vile wanafadhili miradi humu Tanzania, so we should dance to their whims is a radher absurd .
Sijui watanzania tutatoka lini kstika haya mawazo ya. Utegemezi kifikra, kwamba maendeleo yatakuja kwa ufadhili wa mzungu, na si vinginevyo.
So , If UNESCO or any UN affiliate so decides, umeme wa DOWANS, AGGREKO, IPTL, ni sawasawa llakini wa Steigkers Gorge, hapana.
My foot , watanzania tunasafari ndefu kujikomboa kifikra.
Ges ni madini? sheria mpya ina ruhusu kupitia upya mikataba, na madini ni mali ya serikali au taifa sasa sijaelewa hapo mkuu...? ameuziwa kwa muda gani? aliye nunua ni mtanzania?
Acha ujinga wewe, umeme wa kutumia nguvu za maji ushapitwa na wakati. Tuna gas songosongo, tuna makaa ya mawe liganga, tuna uranium Dodoma, bado tunahangaika na maji? Jamani maamuzi mengine tuwe tunayapinga, sio bendera fuata upepo. Mimi niko upande wa UN full stop.
Nzuri,HABARI,
"Gullam,
Nakupongeza kwa msimamo wako na kusema wewe uko upande wa UN safi sana ila kama kuna mwingine hayupo upande wa UN yupo upande wa Serikali kama mimi naomba utambue na kuheshimu uamuzi litakuwa ambo jema sana hakuna haja ya kumwambia mtu mjinga.
Unaposema umeme wa nguvu za maji umepitwa na wakati sawa hiyo ni wewe ila kwangu mimi na wengine bado haujapitwa na wakati na ndio umeme wenye bei rahisi kuliko mwingine wowote.
Nakupa mfano mdogo sana Nchi kubwa yenye technologia kama China imejenga Three Gorges Dam bwawa kubwa kabisa la kuzalisha umeme duniani lenye uwezo wa kuzalisha MW 22,500 Kama mara 10 uzalishai umeme wa hilo tunalotaka kujenga sisi la Steiglers Gorge,Sasa ukiniambia umepitwa na wakati kwetu sisi bado haujapitwa,Ethiopia wana The Grand Ethiopian Renaissance Dam (GERD)bwawa ambalo limekwisha na wameanza kuaza kujaza maji litakuwa na uwezo kuzalisha MW zaidi ya 5000 Na tayari Nchi za sudan,Kenya zimeshaomba kuuziwa umeme huo kwani ni wa bei rahisi sana.
Unapozungumzia mambo ya Uranium hapo ndugu kwa uchumi wetu sahau mpaka leo africa kusini wanahangaika kuwa na mradi huo,Nigeria wenye uchui mkubwa wa mafuta bado wanahangaika na kuwa na mtambo wa kuzalisha umeme kwa nyuklia kwa Nchi kama yetu ni gharama kubwa sana hatuwezi kuendesha mtambo kama huo,
Makaa ya mawe nakubaliana na we ila Hayaazidi urahisi kama maji,Shida ndugu ya Gas ni moja leo lile bomba la Gas likipasuka Utalazimu kuzimwa mitambo yote mpaka litengenezwe,Leo mtambo wa kupokea ges pale kinyerezi ukiharibika uzalishaji wote unasimama mpaka mtambo upone hicho ndiko kimewatokea mtwara mpaka sasa bado hawana umeme wa uhakika na Gas inatoka kwao.Kisima kikiharibika matatizo ni hayohayo.
Leo maendeleo ya marekani umeme wa maji unamchango mkubwa sana kwenye maendeleo yao Angalia na wanazaidi ya mabwawa 15 makubwa wanayoyategemea mpaka sasa.
Kama ni marekani sasa fikiria Tanzania.
LUMUMBA