Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahivyo kwa kifupi unachosema ni kwamba mnafwata msimamo wao wa kijamaa tangu enzi za communist east German? Hebu niambie, hii nitofautikivipi na nchi ambayo inafwata itikadi nyengine tangu enzi hizo hadi sasa?MY TAKE; Hii ndiyo misingi imara iliyojengwa na baba wa Taifa pendwa Mwl; Julius Nyerere.404
opr.news
Urusi, China, Cuba, na Tanzania zimekua pamoja katika kipindi chote kigumu enzi za ukoloni, nchi nyingi za Magharibi zilitukimbia na hata kutuwekea vikwazo vya biashara kwasababu ya mahusiano yetu na mataifa haya ya kijamaa, Hawa ndio hawakututupa wakati wote huo, haifai kukurupuka na kuwaacha katika kipindi hiki kigumu kwao, Hongera Sana Tanzani kwa kutopiga kura.
Kenya imekua na msimamo sawa kuhusu hii ishu tangu enzi za jadi, kama vile tulivyopiga kura kumpinga Russia, hivyo hivyo ndo tumepiga kura kumpinga marekani kuvamia Libya, Syria... Unfact Kenya ilituma wanajeshi 1,000 Yugoslavia kwa UN peacekeeping mission ambayo ilikua Russia ndo aliitisha, Wanajeshi wa Kenya walifanya kazi na wa russia wakati huo, unajua hilo??Nimekutajia Mfano wa nchi Kazaa zilikumbana na hiyo inshu.
Na aliefanya hivyo Marekani Mlikua munakenua meno tu sasa ngoma imegeukia kwenu munahaha kama Mbwa.
Tulieni dawa iwaingie
BTW, kama hujui, Tanzania imekua na msimamo sawa na marekani kwa UN voting kuliko KenyaMY TAKE; Hii ndiyo misingi imara iliyojengwa na baba wa Taifa pendwa Mwl; Julius Nyerere.404
opr.news
Urusi, China, Cuba, na Tanzania zimekua pamoja katika kipindi chote kigumu enzi za ukoloni, nchi nyingi za Magharibi zilitukimbia na hata kutuwekea vikwazo vya biashara kwasababu ya mahusiano yetu na mataifa haya ya kijamaa, Hawa ndio hawakututupa wakati wote huo, haifai kukurupuka na kuwaacha katika kipindi hiki kigumu kwao, Hongera Sana Tanzani kwa kutopiga kura.
Kenya toka lini mukampinga Bwana wenu Marekani.Kenya imekua na msimamo sawa kuhusu hii ishu tangu enzi za jadi, kama vile tulivyopiga kura kumpinga Russia, hivyo hivyo ndo tumepiga kura kumpinga marekani kuvamia Libya, Syria... Unfact Kenya ilituma wanajeshi 1,000 Yugoslavia kwa UN peacekeeping mission ambayo ilikua Russia ndo aliitisha, Wanajeshi wa Kenya walifanya kazi na wa russia wakati huo, unajua hilo??
Hata nyinyi Tanzania, mkivamia Malawi leo hii, tutapiga kura tukiwapinga, na pia Malawi wakiwavamia pia bado tutapinga, msimamo wetu kwa hili jambo ni ulele.....
Yani mi hua naiheshimu CCM kwa uwezo wao wa kushikilia akili za Watanzania wajione kupitia macho ya CCM.. Mkiambiwa kila kitu kinajengwa kwa cash pesa za ndani, ndo nyinyi mnaeneza injili ya serekali.... Sasa hili nalo ni kama mmefumbwa macho..Kenya toka lini mukampinga Bwana wenu Marekani.
Nyie ndio watumwa wakubwa wa Marekani
Uchambuzi makinifu sana jombaa. Mataga huwa ni mazero brain.Yani mi hua naiheshimu CCM kwa uwezo wao wa kushikilia akili za Watanzania wajione kupitia macho ya CCM.. Mkiambiwa kila kitu kinajengwa kwa cash pesa za ndani, ndo nyinyi mnaeneza injili ya serekali.... Sasa hili nalo ni kama mmefumbwa macho..
USA huweka rekodi na kuchapisha ripoti kila mwaka kuhusu nchi zilizopiga kura sawa na wao pale UN General Assembly.
Hapa ni USA VS Kenya & Tanzania
Same - inamaanisha Mlikua na maono sawa na USA
Opposite - Mlitofautiana na USA
Partial - inamaanisha mlikua hapo lakini mliamua kubaki neutral.
Absent - Hamukushirika kupiga kura kwa hio hoja kabisa.
2017 - Tanzania ili support maoni (Ama ilikua na maono sawa) ya USA mara 11 wakati Kenya ni mara 10.
View attachment 2141873
2018 - Kenya na Tanzania zilikua sawa kwa "Same" lakini Kenya ilimpinga marekani mara 75 wakati Tanzania ilipinga maoni ya marekani mara 74.... So Kenya ilipinga zaidi ya Tanzania...
View attachment 2141875
2019 - Huu ndo mwaka pekee kati ya hio minne ambapo Kenya (mara 10) ilikua na maoni sawa na marekani mara nyingi kushinda TZ(mara 8) ... Lakini kwa upande mwengine, Kenya ilikua na maoni pinzani na USA mara nyingi zaidi ikiwa ni mara 68 ukilinganisha na Tanzania ambayo ilipinga maoni ya USA mara 53 na ikaamua kutoshiriki kupiga kura mara 29 VS 6 ya Kenya.
View attachment 2141878
2020 - bado Kenya ilikua na maoni pinzani na ya USA zaidi kuliko Tanzania...
View attachment 2141879
------------------------------
Kwahivyo Watanzania midomo mirefu mko nayo huku nje lakini kule UN hua mnakua na maoni sawa na USA kuliko Kenya... Tena ikiwa hamkubaliani na maoni ya USA badala ya kuwapinga waziwazi mnaona ni heri msipigie kura upande wowote na mbaki Neutral, ama mnaamua kutira huo mjadala kabisaaaaaaa na kuingia bar ya pale UN General Assembly na kuagizia Kilimanjaro Largar... Tuchukulie tu mfano huu wa Ukraine, kama kweli Russia ni marafiki zenu ambao mnawaunga mkono kama wengi wenu walivyosema hapa, Si mngekua wanaume na mpinge hio resolution ya kukemea Russia kwa kusema NO kama vile Eritrea ilivyofanya, mbona mkaamua ku Abstain??
Unaona ulivyo mjinga?, Sisi hatupingi au kuunga mkono kwasababu tu nchi ni rafiki yetu au ni adui yetu, sisi tunajitegemea maamuzi yetu, pale tunapoona Kuna sababu ya kuunga mkono nchi yoyote Ile tutafanya hivyo, tukiona hakuna sababu basi tutapinga.Yani mi hua naiheshimu CCM kwa uwezo wao wa kushikilia akili za Watanzania wajione kupitia macho ya CCM.. Mkiambiwa kila kitu kinajengwa kwa cash pesa za ndani, ndo nyinyi mnaeneza injili ya serekali.... Sasa hili nalo ni kama mmefumbwa macho..
USA huweka rekodi na kuchapisha ripoti kila mwaka kuhusu nchi zilizopiga kura sawa na wao pale UN General Assembly.
Hapa ni USA VS Kenya & Tanzania
Same - inamaanisha Mlikua na maono sawa na USA
Opposite - Mlitofautiana na USA
Partial - inamaanisha mlikua hapo lakini mliamua kubaki neutral.
Absent - Hamukushirika kupiga kura kwa hio hoja kabisa.
2017 - Tanzania ili support maoni (Ama ilikua na maono sawa) ya USA mara 11 wakati Kenya ni mara 10.
View attachment 2141873
2018 - Kenya na Tanzania zilikua sawa kwa "Same" lakini Kenya ilimpinga marekani mara 75 wakati Tanzania ilipinga maoni ya marekani mara 74.... So Kenya ilipinga zaidi ya Tanzania...
View attachment 2141875
2019 - Huu ndo mwaka pekee kati ya hio minne ambapo Kenya (mara 10) ilikua na maoni sawa na marekani mara nyingi kushinda TZ(mara 8) ... Lakini kwa upande mwengine, Kenya ilikua na maoni pinzani na USA mara nyingi zaidi ikiwa ni mara 68 ukilinganisha na Tanzania ambayo ilipinga maoni ya USA mara 53 na ikaamua kutoshiriki kupiga kura mara 29 VS 6 ya Kenya.
View attachment 2141878
2020 - bado Kenya ilikua na maoni pinzani na ya USA zaidi kuliko Tanzania...
View attachment 2141879
------------------------------
Kwahivyo Watanzania midomo mirefu mko nayo huku nje lakini kule UN hua mnakua na maoni sawa na USA kuliko Kenya... Tena ikiwa hamkubaliani na maoni ya USA badala ya kuwapinga waziwazi mnaona ni heri msipigie kura upande wowote na mbaki Neutral, ama mnaamua kutira huo mjadala kabisaaaaaaa na kuingia bar ya pale UN General Assembly na kuagizia Kilimanjaro Largar... Tuchukulie tu mfano huu wa Ukraine, kama kweli Russia ni marafiki zenu ambao mnawaunga mkono kama wengi wenu walivyosema hapa, Si mngekua wanaume na mpinge hio resolution ya kukemea Russia kwa kusema NO kama vile Eritrea ilivyofanya, mbona mkaamua ku Abstain??
Wacha kudanganya watu, Tanzania tulianza kufuata siasa za ujamaa hata kabla Kenya haijapata Uhuru wake, ninyi kila jambo mnataka kuonyesha Kuna msuguano Kati ya Kenya na TanzaniaKwahivyo kwa kifupi unachosema ni kwamba mnafwata msimamo wao wa kijamaa tangu enzi za communist east German? Hebu niambie, hii nitofautikivipi na nchi ambayo inafwata itikadi nyengine tangu enzi hizo hadi sasa?
Ingekua Tanzania imevumbua itikadi za kivyake na ikaamua kuzifwata basi hapo ndo mngeheshimika, lakini sote tunafwata itikadi na ideolojia za kutoka nchi za nje ya Africa...
Hii haina tofauti na Muislamu mweusi muafrica kujiunga na kutetea waarabu kule Middle East alafu mkristo muafrika naye ajiunge na upande wa kutetea wazungu wakristo.... Tunasahau hizi dini zote mbili tulifanya kuletewa huku Afrika, kabla hapo tulikua na miungu yetu na dini zetu.
Enzi hizo za World War 1 Nazi wa Germany East Africa walipigana na British forces, hapo ndo nchi zetu mbili zilianza kutofautiana ki idiolojia manake wazungu hawakupigana pekeyao, walitumia waafrica kutoka nchi zote mbili....... alafu tena after world war 2 nchi za mashariki haswa Marekani na USSR zilikua kwa cold war, kila mtu alikua anajaribu ku extend influence yake kwa nchi zengine... Yani fahali wawili walikua wanashindana ni nchi gani inaweza kubrainwash wafwasi wengi duniani ili vita vya dunia vikitokea basi waweze kutumiahizo nchi kama launch pad za kupigana kote duniani.... Kwahivyo idiolojia ya nchi zetu hapa EA ni product ya cold war competition kati ya Urusi na Marekani... Usifikiria urusi ilisaidia Tanzania kwasababu inawapenda, Tanzania ilienda kwa communist ili ku counter influence ya capitalists huku Kenya.... Na miaka 60 baadae inadhihirisha kuwa brainwashing ilifanya kazi kweli, bado tunaweza kugawanywa kama magunia ya viazi....
Wapi nimesema Tanzania ilianza kufwata sera za kijamaa baada ya uhuru wa Kenya? umechanganyikiwa wewe, Unajua wajerumani walifika lini Tanzania kweli?Wacha kudanganya watu, Tanzania tulianza kufuata siasa za ujamaa hata kabla Kenya haijapata Uhuru wake, ninyi kila jambo mnataka kuonyesha Kuna msuguano Kati ya Kenya na Tanzania
Hatuongelei kuhusu hizo nchi zengine 26 ambazo ziko na sababu zao, tunaongelea kuhusu Tanzania na watanzania kusema kwamba wao ni marafiki na Russia, Kama kweli ni urafiki ndo unawafanya mpige kura mlivyopiga basi mngepinga ndo mtuoneshe wazi kwamba nyi ni marafiki wa dhati wa Russia..... Kutopiga kura ni corwardice !!!!!Unaona ulivyo mjinga?, Sisi hatupingi au kuunga mkono kwasababu tu nchi ni rafiki yetu au ni adui yetu, sisi tunajitegemea maamuzi yetu, pale tunapoona Kuna sababu ya kuunga mkono nchi yoyote Ile tutafanya hivyo, tukiona hakuna sababu basi tutapinga.
Sasa mbona katika majumuisho yako hukujumlisha hizo 26 za kutopiga kura upande wa kupinga?, Kwasababu kutokupiga kura "is a smart way of opposing the motion".
Bure kabisa. Huu ndio upumbavu ambao mlikuwa mkihadithia, mlipokuwa mkiota moto kwenye vijiji vyenu vya ujamaa? Hivi unadhani Kenya tulipata uhuru wetu kwenye sahani, juu ya meza, tukinywa kahawa na kaimati pamoja na mkoloni kama nyie? Mababu zetu walipambana kivita, kwa mtutu wa bunduki, wakamwaga damu na kumtia kiwewe mkoloni kwa karibia muongo mmoja.Kenya haikupata Uhuru kamili,
Ndio maana bado kuna majeshi ya kikoloni Mt Kenya (?) na Malindi wakilinda mashamba ya settlers pamoja na assets nyingine za magharibi.
Kwahiyo Kenya kwenda kinyume na hao Lords wao ni dhambi kuu.
Kenya ikitaka kufanya chochote na China au Russia ni lazima kwanza apate ruhusa toka US au UK.
Nchi ya Kikuda sana.
Ni kweli Kenya ilipata Uhuru wake kwa changamoto nyingi zaidi kuliko hata Nchi nyingine za EAC.Bure kabisa. Huu ndio upumbavu ambao mlikuwa mkihadithia, mlipokuwa mkiota moto kwenye vijiji vyenu vya ujamaa? Hivi unadhani Kenya tulipata uhuru wetu kwenye sahani, juu ya meza, tukinywa kahawa na kaimati pamoja na mkoloni kama nyie? Mababu zetu walipambana kivita, kwa mtutu wa bunduki, wakamwaga damu na kumtia kiwewe mkoloni kwa karibia muongo mmoja.
Vikosi vya kigeni huwa vinatia kambi nchini Kenya kwa shughuli za kimafunzo. Pamoja na wanajeshi wa Kenya, ambao huwa wanafaidi mno kupitia ushirikiano huo. Kwa idhini ya serikali ya Kenya na wanalipia hela ndefu. Tena wakiwa nchini Kenya huwa hawana zana za kivita wala uwezo wa kivita.
Nani alikudanganya kwamba Tz mnafanya biashara na China na wenzao zaidi ya Kenya? Tangia utawala wa Kibaki tumekuwa tukishirikiana kwa njia zote na mchina. Zaidi ya wazungu, ambao ndio huwa wanawadhamini nyie, kwa misaada ya aibu kwenye sekta zote nyeti za uchumi wenu. Hadi wanawajazia pengo kwenye bajeti yenu kila mwaka kwa zaidi ya asilimia 40. Huku sie tukijitegemea wenyewe kibajeti kila mwaka kwa zaidi ya asilimia 95.
Na ndio maana hata balozi wa kudumu wa US, kwenye baraza la usalama la UN, amezilaumu nchi za Afrika kwa kuziambia hii ya sasa sio vita baridi, kuwa washindwe kulaani kinachoendelea huko ukraine!!bora hata Kenya ameonyesha msimamo!!lakini hizi nyingine ni uoga tu!!eti NAM!!sio kwenye hili la sasa,Sisi ni kenge tu kwenye msafara wa mamba
Wacha maneno mengi Kenya ni vibaraka wa nchi za magharibi tangu enzi za ukombozi wa kusini mwa Afrika, vita vya maumau Kenya vilikua ni Kati ya wakikuyu na waingereza, lengo la wakikuyu lilikua ni kupata serikali ili washirikiane na wageni/wazungu kuwakandamiza kabila zingine za wakenya.Bure kabisa. Huu ndio upumbavu ambao mlikuwa mkihadithia, mlipokuwa mkiota moto kwenye vijiji vyenu vya ujamaa? Hivi unadhani Kenya tulipata uhuru wetu kwenye sahani, juu ya meza, tukinywa kahawa na kaimati pamoja na mkoloni kama nyie? Mababu zetu walipambana kivita, kwa mtutu wa bunduki, wakamwaga damu na kumtia kiwewe mkoloni kwa karibia muongo mmoja.
Vikosi vya kigeni huwa vinatia kambi nchini Kenya kwa shughuli za kimafunzo. Pamoja na wanajeshi wa Kenya, ambao huwa wanafaidi mno kupitia ushirikiano huo. Kwa idhini ya serikali ya Kenya na wanalipia hela ndefu. Tena wakiwa nchini Kenya huwa hawana zana za kivita wala uwezo wa kivita.
Nani alikudanganya kwamba Tz mnafanya biashara na China na wenzao zaidi ya Kenya? Tangia utawala wa Kibaki tumekuwa tukishirikiana kwa njia zote na mchina. Zaidi ya wazungu, ambao ndio huwa wanawadhamini nyie, kwa misaada ya aibu kwenye sekta zote nyeti za uchumi wenu. Hadi wanawajazia pengo kwenye bajeti yenu kila mwaka kwa zaidi ya asilimia 40. Huku sie tukijitegemea wenyewe kibajeti kila mwaka kwa zaidi ya asilimia 95.
Kama Kenya alichagua kuwakumbatia wazungu enzi za ukombozi na kuwasaliti waafrika wengine, msimamo gani zaidi ya kulamba miguu ya wazungu?Na ndio maana hata balozi wa kudumu wa US, kwenye baraza la usalama la UN, amezilaumu nchi za Afrika kwa kuziambia hii ya sasa sio vita baridi, kuwa washindwe kulaani kinachoendelea huko ukraine!!bora hata Kenya ameonyesha msimamo!!lakini hizi nyingine ni uoga tu!!eti NAM!!sio kwenye hili la sasa,
Viongoz wa Kenya wa ovyo kabisaa ,yani wanamfokea mrusi ,wanapiga kura kumtenga urusi halafu wanategemea ngano ya urusi kwa asilimia kubwa kabisa sasa hivi wanalia lia sasa kwa upuuz huu vita imeisha urusi inaamua kutouzia Kenya ,maana wakenya ni watu wakupenda sifa ili waonekane bira ya kufikiri kwanzaMkuu, nchi zote za west zinajua kwamba Tanzania hatupo upande wao tangu enzi za Nyerere, wamekubaliana na kuheshimu misimamo yetu, tumekubaliana kutokukubaliana, hawana shida kabisa na sisi, wanatuheshimu Sana.
Watu wenye mawazo Kama haya siajabu baade kua mashoga maana mabadiliko yote kwake sawa tu angalii asili yakeMawazo ya kijinga haya, kwa hiyo wewe katika maisha yako "past lessons don't have any effects on your today's decisions?. Njia uliyopita zamani ikakupeleka kubaya utaendelea kuitumia?
Sahau hilo kima.Russia naomba ifinywe m*akende uchumi wake ukufe kabisa.