UN: Tanzania na China zaonyesha mshikamano na Urusi, zakataa kuburuzwa na nchi za Magharibi

UN: Tanzania na China zaonyesha mshikamano na Urusi, zakataa kuburuzwa na nchi za Magharibi

Ndio mtaendelea kuwa masikini wa kutupwa kwa akili maji kama hizi. Wewe msikilize ndugu yako Geza Ulole anavyokueleza kwamba the West wana nguvu sana. Wanaweza kupitisha pipeline kwingine. Isitoshe kwa sababu Europe wameanza kukataa kutumia gas ya Russia nchi kama Germany zinatafuta mahali pengine pa kupata gas. Huu ndio wakati bora wa Tanzania kujisongeza karibu na mabeberu ili muweze ku-commercialize gas yenu. Hio gas yenu inaweza kufanya muwe tajiri ukanda huu, gdp yenu inaweza kudouble ya Kenya chini ya miaka 15.
Wewe huna akili ya strategy. Huna akili ya kupiga karata, you are not a strategist. Wakati huu ni wakati wa Tanzania kujikomba kwa wazungu na hata kuondoa vikwazo vingi ili kuwavutia waje kuchimba gesi na kujenga Lng plant huko. Muondoe vikwazo kama taxes muwape tax holiday ili waje wajenge kisha muanze kuwatoza kodi pindi production itakapoanza. Ningekuwa rais wa Tanzania mimi ningepanga strategy ya kuwavutia mabeberu Tanzania badala ya kujifanya kwamba ninasimama na Urusi. Wacha akili za ujamaa, wakati wa cold war ulishakwisha. 21st century tupo kibiashara zaidi.

sisi ni NAM. hatuko upande wowote. Hatufurahii kuhujumiwa kwa yeyote. Huo ndiyo msimamo tangu mwanzo. Bora tukawa masikini, ambaye utu wake unaheshimiwa. Kuliko kuwa tajiri ambaye hana utu wala thamani. Siku zote tumetanguliza UTU kuliko VITU. Ndiyo maana waTanzania ni waTanzania. Tuko kama tulivyo.
 
sisi ni NAM. hatuko upande wowote. Hatufurahii kuhujumiwa kwa yeyote. Huo ndiyo msimamo tangu mwanzo. Bora tukawa masikini, ambaye utu wake unaheshimiwa. Kuliko kuwa tajiri ambaye hana utu wala thamani. Siku zote tumetanguliza UTU kuliko VITU. Ndiyo maana waTanzania ni waTanzania. Tuko kama tulivyo.
Russia naomba ifinywe m*akende uchumi wake ukufe kabisa.
 
No one is a saviour there!!!
But why i respect USA,
Nikwasababu Obama ashakuwa prezo huko na watu wengi weusi wamepewa nafasi ya kukalia vyeo vya juu sana!ata kwa mabiashara!!mpaka wakenya na watz pia wako wamepewa vyeo vya juu sana kuongoza makampuni!!!
USA iko na population kubwa ya waafrika huko ambao they live a "life" sio kama wwe apo darislum!
Unashabikia Russia na ata ujui awo ni pure f**kn racists,kwanza wanakutusi na majina ya kirussian!![emoji90]
Alafu unaniambia nini!
Eti Russia kitu gani!!![emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

F**k Putin[emoji51]kwanza alisema anavamia ukraine ili awalinde Russian speakers ndani ya Ukraine kwanza ambao wamejaa kwenye border ya Russia!!!
Sasa mbona leo analipua nyumba zao hao russian speakers wanaoishi karibu na border??
Apa ni ufala tu,ushetani mkubwa na naomba Mungu auzime!!![emoji51]
Yaani urusi na China wake wasaidie africa kujikomboa unaona haitoshi kwa Jambo dogo tu la kumuweka obama kuwa president US. Huku ukisahau Jim crows law yakuwa bagua watu weusi nchi mmarekani, kunyoya na kuvamia nchi za afrika mfano Libya. Kweli we jamaa akili kisoda



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ndio mtaendelea kuwa masikini wa kutupwa kwa akili maji kama hizi. Wewe msikilize ndugu yako Geza Ulole anavyokueleza kwamba the West wana nguvu sana. Wanaweza kupitisha pipeline kwingine. Isitoshe kwa sababu Europe wameanza kukataa kutumia gas ya Russia nchi kama Germany zinatafuta mahali pengine pa kupata gas. Huu ndio wakati bora wa Tanzania kujisongeza karibu na mabeberu ili muweze ku-commercialize gas yenu. Hio gas yenu inaweza kufanya muwe tajiri ukanda huu, gdp yenu inaweza kudouble ya Kenya chini ya miaka 15.
Wewe huna akili ya strategy. Huna akili ya kupiga karata, you are not a strategist. Wakati huu ni wakati wa Tanzania kujikomba kwa wazungu na hata kuondoa vikwazo vingi ili kuwavutia waje kuchimba gesi na kujenga Lng plant huko. Muondoe vikwazo kama taxes muwape tax holiday ili waje wajenge kisha muanze kuwatoza kodi pindi production itakapoanza. Ningekuwa rais wa Tanzania mimi ningepanga strategy ya kuwavutia mabeberu Tanzania badala ya kujifanya kwamba ninasimama na Urusi. Wacha akili za ujamaa, wakati wa cold war ulishakwisha. 21st century tupo kibiashara zaidi.
Muandiko wako Ni wakishetani shetani yaani tuungane na shetani wa magharibi kisa Mali atulette mambo yake ya hovyohovyo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nani amesema? kupitisha kenya ni gharama kubwa na usalama hafifu ! Na hio gesi wanayochimba Shell na equinor Lindi/ Mtwara wataiacha wakati ulaya wanahitaji gesi sana sasahivi kuliko muda mungine wowote
Mbona waafrika tusichimbe sisi wenyewe?
 
Ndio mtaendelea kuwa masikini wa kutupwa kwa akili maji kama hizi. Wewe msikilize ndugu yako Geza Ulole anavyokueleza kwamba the West wana nguvu sana. Wanaweza kupitisha pipeline kwingine. Isitoshe kwa sababu Europe wameanza kukataa kutumia gas ya Russia nchi kama Germany zinatafuta mahali pengine pa kupata gas. Huu ndio wakati bora wa Tanzania kujisongeza karibu na mabeberu ili muweze ku-commercialize gas yenu. Hio gas yenu inaweza kufanya muwe tajiri ukanda huu, gdp yenu inaweza kudouble ya Kenya chini ya miaka 15.
Wewe huna akili ya strategy. Huna akili ya kupiga karata, you are not a strategist. Wakati huu ni wakati wa Tanzania kujikomba kwa wazungu na hata kuondoa vikwazo vingi ili kuwavutia waje kuchimba gesi na kujenga Lng plant huko. Muondoe vikwazo kama taxes muwape tax holiday ili waje wajenge kisha muanze kuwatoza kodi pindi production itakapoanza. Ningekuwa rais wa Tanzania mimi ningepanga strategy ya kuwavutia mabeberu Tanzania badala ya kujifanya kwamba ninasimama na Urusi. Wacha akili za ujamaa, wakati wa cold war ulishakwisha. 21st century tupo kibiashara zaidi.
Kama utakumbuka miaka ya nyuma mara tu baada ya Tanzania kupata uhuru, West Gernamy ilimlazimisha Mwalimu Nyerere kufunga balozi za East Germany na kuvunja uhusiano na East Germany, badala yake Nyerere alifunga ubalozi wa West Germany na kurudisha pesa zote za misaada zilizotolewa na West Germany kwa Tanzania(Kamwe hatuwezi kuuza Utu na utaifa wetu kwa vipande vya fedha).

Tofauti Kati ya Kenya na Tanzania ipo wazi kabisa, Kenya mnaabudu Mali, mpo tayari kuuza Utu wenu kwa ajili ya oesa6, ndio sababu mlikataa kushiriki ukombozi wa nchi za Afrika kwa kuhikomba kwa wazungu ili mpate pesa, Leo hii wazungu wamewaacha hawana habari na ninyi mnaanza kuhikomba kwa wachina, nini hamna heshima hapa Afrika kutokana na tabia yenu ya kimalayamalaya
 
Rubbish,kwamba Nchi nyingine inapovamiwa ndio msingi aliouweka huyo baba wa Taifa au?

Ma Nchi ya kijamaa ni takataka kabisa.
Leo hii hizo nchi za kijamaa ndizo zinazowapa mikopo na kuwajengea kila kitu hapo Kenya, bila chakula cha wachina mngeendelea kufa Kama wadudu, stupid Kunyans.
 
Leo hii hizo nchi za kijamaa ndizo zinazowapa mikopo na kuwajengea kila kitu hapo Kenya, bila chakula cha wachina mngeendelea kufa Kama wadudu, stupid Kunyans.
hatulambigi matako👌ukisaidia mtu sio lazima unashinda ukimkalia💩eti tufuate matako yako!

Kwanza leo ni ile siku nimefurahia😂😂😂
Russian Ruble $ is becoming weaker, sasa inchi yao kubwa 💩
Kutoka
1dolar=75russian ruble
Mpaka 1dollar=109 russian ruble
😂😂😂😂🌋🌋😂nabado🔥🔥another Iraq is in the forming💩
 
Mada ya hii thread ..Ina husu Tanzania kuto piga kura . Naona ni vizuri ihamishwe kutoka Kenyan section.
 
hatulambigi matako[emoji108]ukisaidia mtu sio lazima unashinda ukimkalia[emoji90]eti tufuate matako yako!

Kwanza leo ni ile siku nimefurahia[emoji23][emoji23][emoji23]
Russian Ruble $ is becoming weaker, sasa inchi yao kubwa [emoji90]
Kutoka
1dolar=75russian ruble
Mpaka 1dollar=109 russian ruble
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji291][emoji291][emoji23]nabado[emoji91][emoji91]another Iraq is forming[emoji90]
Ninyi ndio mnalamba mavi ya wazungu, ndio sababu mlishindwa kuwasaidia waafrika waliokua wananyanyaswa na mkoloni kwa kuogopa kukosa misaada ya wazungu, wajinga Sana ninyi wakenya.
 
Ndio mtaendelea kuwa masikini wa kutupwa kwa akili maji kama hizi. Wewe msikilize ndugu yako Geza Ulole anavyokueleza kwamba the West wana nguvu sana. Wanaweza kupitisha pipeline kwingine. Isitoshe kwa sababu Europe wameanza kukataa kutumia gas ya Russia nchi kama Germany zinatafuta mahali pengine pa kupata gas. Huu ndio wakati bora wa Tanzania kujisongeza karibu na mabeberu ili muweze ku-commercialize gas yenu. Hio gas yenu inaweza kufanya muwe tajiri ukanda huu, gdp yenu inaweza kudouble ya Kenya chini ya miaka 15.
Wewe huna akili ya strategy. Huna akili ya kupiga karata, you are not a strategist. Wakati huu ni wakati wa Tanzania kujikomba kwa wazungu na hata kuondoa vikwazo vingi ili kuwavutia waje kuchimba gesi na kujenga Lng plant huko. Muondoe vikwazo kama taxes muwape tax holiday ili waje wajenge kisha muanze kuwatoza kodi pindi production itakapoanza. Ningekuwa rais wa Tanzania mimi ningepanga strategy ya kuwavutia mabeberu Tanzania badala ya kujifanya kwamba ninasimama na Urusi. Wacha akili za ujamaa, wakati wa cold war ulishakwisha. 21st century tupo kibiashara zaidi.
Ila mkenya una hoja fln Seema unafiki pia mmezidi huyu Obama ambaye Ana vina Saba na wakenya kawasaidia nn ktk utawala wake gdp yenu ilidouble Kam mlivyokuwa mnafikiriaa
 
Inawezekana katika wakati flani katika historia hawa ndio walikuwa marafiki wazuri wa Tanzania. Jambo ambalo ni lazima tulikubali ni kuwa nchi za kijamaa hazina historia nzuri wala uzingatiaji wa haki za binadamu. Ukiangalia mfumo wa uongozi wa Urusi, China , Cuba na nchi nyingine za kijamaa,ni wazi hauvutii kwa watu wengi walio wastaarabu.
Urusi kwa Tanzania amekuwa akitoa baadhi ya nafasi za elimu lakini hana mchango mwingine nje ya hapo, tena hata wanafunzi wakimaliza zaidi ya nusu huwa vichaa. Kuna watu wanasema Urusi hakuwahi kuitawala Afrika, ni sawa kabisa, ila madili ya Urusi ni kwenye kuuza silaha. Hata kwenye ile vita na Uganda, baada ya vita kuwa ngumu Mwl aliwatafuta kwa ajili ya kupata silaha, walidai malipo cash, na zaidi ilionekana walifanya double dealing, waliuza ndege za vita Uganda, Tz akauziwa makombora ya kuziangusha.
Kwa upande wa China, huyu hana rafiki wa kudumu, yuko tayari hata kuuwa watu ili apate anachokihitaji. Siku za karibuni naamini kila mmoja ameona tabia za mikopo ya China, ukikaa vibaya wanabeba nchi. Kwa Tanzania, wakati wa Ujenzi wa reli ya kati, wachina walivyofika maeneo ya Morogoro walianza kuchimba madini na kusafirishwa kimagendo kwenda China, kilichoharibu hili dili ni siku gunia lilianguka airport likiwa na madini.
Kwa Tanzania, Marekani amekuwa akisaidia vitu vingi, madawa, neti, ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali, maji, elimu, budget etc. Ni kweli kuna nchi ambazo US amefanya uonevu wa dhahiri, na ndio maana hata hapa JF wanampinga kutokana na aliyoyofanya kwenye nchi hizo, ukweli ni kuwa US na Umoja wa Ulaya wana usaidizi mkubwa kwa Tz kuliko hizo nchi za kijamaa.
Uko sahih San mmaeekana kweli hakatutupa kwa muda mrefru tuko nae na mashirika yake kama taciads .usaiad na feed the future hayo yote anafanya mmarekani na taasis zake Ila mm sioni urusi katk Kaz zake hata za kuitafiti hap tz Soo tunapazwa kuwapa mkono USA kwa kile anatufanyia Kama. Ulivyo sema madawa na nk

Kwa urusi Ni kwamba hata huo msaada wa kielimu wanaotupa ss tz hauna maana mwalimu wang mmoja alisoma Russian alirejea akiwa Ni mlevi kupindukia alikuwa mwalimu wa hesabu pale iaa
Hvyo nakubalina. Na wew kuwa Ni vyema tuka allied na USA kuliko hao warusi
 
Muandiko wako Ni wakishetani shetani yaani tuungane na shetani wa magharibi kisa Mali atulette mambo yake ya hovyohovyo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Babu mwandiko hausaidi kitu Soma content alichokisema huyu jamaa wa kenya ww anagika na miandiko tu Bila kujuwa kinachoendeleaa pumbafu kbsa
 
Kama utakumbuka miaka ya nyuma mara tu baada ya Tanzania kupata uhuru, West Gernamy ilimlazimisha Mwalimu Nyerere kufunga balozi za East Germany na kuvunja uhusiano na East Germany, badala yake Nyerere alifunga ubalozi wa West Germany na kurudisha pesa zote za misaada zilizotolewa na West Germany kwa Tanzania(Kamwe hatuwezi kuuza Utu na utaifa wetu kwa vipande vya fedha).

Tofauti Kati ya Kenya na Tanzania ipo wazi kabisa, Kenya mnaabudu Mali, mpo tayari kuuza Utu wenu kwa ajili ya oesa6, ndio sababu mlikataa kushiriki ukombozi wa nchi za Afrika kwa kuhikomba kwa wazungu ili mpate pesa, Leo hii wazungu wamewaacha hawana habari na ninyi mnaanza kuhikomba kwa wachina, nini hamna heshima hapa Afrika kutokana na tabia yenu ya kimalayamalaya
Mbna hata na ss tunajikomba na Hawa wazungu kwa kila upande hutuna tofauti nao wao wako very strategical kuliko ss
Ukisema hatujikombi unakozea sna jus tu rais wetu SSH alikuwepo huko kupeleka bakuli hila hakaenda Russian ujiulizi kwann hakwenda

Mm Wala sioni hatari ya Kenya katk kujikomba kwake wtz wanajionaga makausu huku anakufa na njaa mwalimu alitufanganya Sana tu
 
Uko sahih San mmaeekana kweli hakatutupa kwa muda mrefru tuko nae na mashirika yake kama taciads .usaiad na feed the future hayo yote anafanya mmarekani na taasis zake Ila mm sioni urusi katk Kaz zake hata za kuitafiti hap tz Soo tunapazwa kuwapa mkono USA kwa kile anatufanyia Kama. Ulivyo sema madawa na nk

Kwa urusi Ni kwamba hata huo msaada wa kielimu wanaotupa ss tz hauna maana mwalimu wang mmoja alisoma Russian alirejea akiwa Ni mlevi kupindukia alikuwa mwalimu wa hesabu pale iaa
Hvyo nakubalina. Na wew kuwa Ni vyema tuka allied na USA kuliko hao warusi
Mbona unaingiza USA katika mgogoro wa Urusi na Ukraine?, Ukiinga USA upande wa Ukraine, basi unapaswa kuingiza China upande wa Urusi
 
Ninyi ndio mnalamba mavi ya wazungu, ndio sababu mlishindwa kuwasaidia waafrika waliokua wananyanyaswa na mkoloni kwa kuogopa kukosa misaada ya wazungu, wajinga Sana ninyi wakenya.
sjui mambo hio umesema😕lakini kulingana na nchi kama ya TZ ya kitambo full ujamaa heri kukaa mbali,nyinyi mlilamba matako ya mchina,russia na Ya Hitler,mpaka wa leo mnalambaga matako lakini mumepunguza kasi kidogo👌we can see a change in ujamaa puppets!!
 
Alipompiga Iraq na Libya bila sababu yoyote, hakuna aliye muwekea vikwazo. Sasa mwingine anapiga, anaanza kuwakusanya wengine wamuwekee vikwazo.
Alafu hawa beberu wa FIFA wanafungia serikali zinazoingilia maswala ya mpira sasa mbona wameifungia Russia nao wanapendelea serikali za magharibi,hakuna usawa Mpira usichanganywe na siasa
 
sjui mambo hio umesema[emoji53]lakini kulingana na nchi kama ya TZ ya kitambo full ujamaa heri kukaa mbali,nyinyi mlilamba matako ya mchina,russia na Ya Hitler,mpaka wa leo mnalambaga matako lakini mumepunguza kasi kidogo[emoji108]we can see a change in ujamaa puppets!!
Kati ya Tanzania na Kenya ni nchi gani iliyowasaliti waafrika kipindi cha ukoloni na kuwasaidia wazungu kuwakandamiza waafrika?[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom