UN: Tanzania na China zaonyesha mshikamano na Urusi, zakataa kuburuzwa na nchi za Magharibi

UN: Tanzania na China zaonyesha mshikamano na Urusi, zakataa kuburuzwa na nchi za Magharibi

Jambo linalotofautisha Kati ya wanyama na binadamu ni "Uhuru wa kujiamulia Mambo yake", tofauti kati ya watumwa na watwana ni "Liberty".

Ukiona unathamini Mali/biashara zaidi kiasi cha kufuata kila kinachofanywa na tajiri, wewe ni sawa na Malaya.

Kuwa huru kwa gharama yoyote Ile, wacheni kuwa wanyonge na kufuata kila wanalosema matajiri, yaani unaunga mkono nchi kwasababu ya kuogopa kupoteza biashara?, Hiyo sio Tanzania tuliyoachiwa na baba wa Taifa.
Inaonekana hawa wana tabia za kimalaya malaya tuu ni malaya tuu in Nyerere voice.
 
sisi Kenya hatuezi support mnyanyasaji wa livelive!!! Akiua na kuibia watu Nchi yao nzima!!!
Nyinyi TZ tangu enzi za kitambo mmekuwa mkisupoti madikteta beberuz!! Usijifanye mmeabstain kuvote! Na mko mmefuatana na tunawajua!hiyo kuabstain inamanisha "kukataana na mambo ya Ukraine na kukubaliana na Putin!!!" Kama Belarus na china!! Dictators!
Ile siku Tundu lisu atataka kugawanya nchi ya TZ pia sisi tuta abstain kuvote in AU!!!!my niggass[emoji51][emoji51][emoji51]
Mbona mnasupport USA ambae ni myanyasaji na mvunja haki za binadamu dunia nzima anajulikana kuanzia south amerca, africa, middle east kavuruga kote huko lakini bado mnamsupport
 
sisi Kenya hatuezi support mnyanyasaji wa livelive!!! Akiua na kuibia watu Nchi yao nzima!!!
Nyinyi TZ tangu enzi za kitambo mmekuwa mkisupoti madikteta beberuz!! Usijifanye mmeabstain kuvote! Na mko mmefuatana na tunawajua!hiyo kuabstain inamanisha "kukataana na mambo ya Ukraine na kukubaliana na Putin!!!" Kama Belarus na china!! Dictators!
Ile siku Tundu lisu atataka kugawanya nchi ya TZ pia sisi tuta abstain kuvote in AU!!!!my niggass[emoji51][emoji51][emoji51]
For your information during cold war between the west and east Tanzania and few other countries such as Egypt and India established their own alliance iliyoitwa NAM yaani non alligned movement ambayo haisapoti upande wowote ule na zile pande zilizokuwa zikipingana waliheshimu maamuzi yetu toka awali. Kila upande ukileta agenda yake UN NAM countries walikuwa wana abstain na uamuzi huo unaheshimika na pande zote mbili.
 
Acha ufala basi?
Hapa kosa liko wazi kuwa Russia ni mkosaji.
Huwezi kuipangia nchi nyingine uhuru wake na wakiamua mambo yao unawavamia.

Tulipaswa kumkemea Russia lakoni tumeogopa kwasababu tunawahitaji.
Unapoiwekea vikwazo Russia pamoja na mapungufu yake uangalie pia vikwazo hivyo vinamuumiza nani. The common mwananchi wa Russia ndie atakaye suffer hawa viongozi vikwazo havitawaumiza sana.
 
Hivi Mkuu Kenya mbona huwa hamtumii akili hata kwa vitu vidogo tu kama hivi,
Why do u take sides on situations like these?
Ni kiherehere au ni nini?
Kenya ni nchi ya ‘Ndio boss’ yaani nimewadharau sana kwa hili. You don’t know what you stand for as a nation. Hovyo kabisa.

we understand that whatever United Kingdom says is what your poor nation will always stand for.
Thread inamsifia kisa mmechukua side ya Russia na unaandika hapa kuquestion mbona tumechukua side?
 
MY TAKE; Hii ndiyo misingi imara iliyojengwa na baba wa Taifa pendwa Mwl; Julius Nyerere.

Urusi, China, Cuba, na Tanzania zimekua pamoja katika kipindi chote kigumu enzi za ukoloni, nchi nyingi za Magharibi zilitukimbia na hata kutuwekea vikwazo vya biashara kwasababu ya mahusiano yetu na mataifa haya ya kijamaa, Hawa ndio hawakututupa wakati wote huo, haifai kukurupuka na kuwaacha katika kipindi hiki kigumu kwao, Hongera Sana Tanzani kwa kutopiga kura.
Ikiwa Mwalimu Julius Nyerere angeisupport Russia wakati inahujumu rights za Ukraine basi ningemdharau kabisa. Kama angesimama na Russia wakati Russia inauwa watu innocent basi nimgemdharau sana.
 
Hii ni kuionyesha dunia kwamba Tanzania ni ileile yenye misimamo yake thabiti tangu enzi za ukombozi wa bara la Africa, hatuyumbishwi Wala hatujikombi kwa wazungu.
Ndio mtaendelea kuwa masikini wa kutupwa kwa akili maji kama hizi. Wewe msikilize ndugu yako Geza Ulole anavyokueleza kwamba the West wana nguvu sana. Wanaweza kupitisha pipeline kwingine. Isitoshe kwa sababu Europe wameanza kukataa kutumia gas ya Russia nchi kama Germany zinatafuta mahali pengine pa kupata gas. Huu ndio wakati bora wa Tanzania kujisongeza karibu na mabeberu ili muweze ku-commercialize gas yenu. Hio gas yenu inaweza kufanya muwe tajiri ukanda huu, gdp yenu inaweza kudouble ya Kenya chini ya miaka 15.
Wewe huna akili ya strategy. Huna akili ya kupiga karata, you are not a strategist. Wakati huu ni wakati wa Tanzania kujikomba kwa wazungu na hata kuondoa vikwazo vingi ili kuwavutia waje kuchimba gesi na kujenga Lng plant huko. Muondoe vikwazo kama taxes muwape tax holiday ili waje wajenge kisha muanze kuwatoza kodi pindi production itakapoanza. Ningekuwa rais wa Tanzania mimi ningepanga strategy ya kuwavutia mabeberu Tanzania badala ya kujifanya kwamba ninasimama na Urusi. Wacha akili za ujamaa, wakati wa cold war ulishakwisha. 21st century tupo kibiashara zaidi.
 
Hivi Mkuu Kenya mbona huwa hamtumii akili hata kwa vitu vidogo tu kama hivi,
Why do u take sides on situations like these?
Ni kiherehere au ni nini?
Kenya ni nchi ya ‘Ndio boss’ yaani nimewadharau sana kwa hili. You don’t know what you stand for as a nation. Hovyo kabisa.

we understand that whatever United Kingdom says is what your poor nation will always stand for.
Ndio maana Kenya ni tajiri kuwashinda. Sie tunatumia strategy. Nyie simameni na Urusi tu tuone mtafaidika na nini ukizingatia kwamba Urusi kwa sasa anapigwa na sanctions kila kona. Uchumi wa Urusi unaporomoka sasa hivi.
 
Usiwe kilaza,
Watanzania wanaosoma Russia ni hundreds of them, of course wapo wanaosoma Ukraine ni wengi pia,
Abstaining is the wisest decisions, meaning that we are not taking sides, let Russia and Ukraine solve their shit out, Kwani kuna ugumu gani hapo?
No one need war madness nowadays,
Sasa kuwa na kihehehere kama Kunyaland kufuata mkumbo wa uingereza ni upumbavu mwingine,
Majority don’t know the root cause of this dispute , so as the leaders of that Banana republic of a Kunyaland.
Yaani Kenya inapopelekwa inaenda tu kama Ng’ombe,
China ni nchi ya kijamaa inayofadhili miradi karibu yote Kunya, including food donations, but still Kunya can’t make a wise decision on this sababu ya kupapatikia wazungu wa NATO.
M*tako ya China sisi hatulambi. Usitegemee Kenya ilambe m*tako ya Mchina.
 
MY TAKE; Hii ndiyo misingi imara iliyojengwa na baba wa Taifa pendwa Mwl; Julius Nyerere.

Urusi, China, Cuba, na Tanzania zimekua pamoja katika kipindi chote kigumu enzi za ukoloni, nchi nyingi za Magharibi zilitukimbia na hata kutuwekea vikwazo vya biashara kwasababu ya mahusiano yetu na mataifa haya ya kijamaa, Hawa ndio hawakututupa wakati wote huo, haifai kukurupuka na kuwaacha katika kipindi hiki kigumu kwao, Hongera Sana Tanzani kwa kutopiga kura.
Rubbish,kwamba Nchi nyingine inapovamiwa ndio msingi aliouweka huyo baba wa Taifa au?

Ma Nchi ya kijamaa ni takataka kabisa.
 
Kushauri wakae mezani wayamalize umalaya unatoka wapi sasa hapo ,
Mbona mzee una akili ndogo sana,
Wewe nduguzo wakikosana huwezi hata kuwasuluhisha ?
Wewe unafikiri watu ni wajinga hapa. Kila mtu anajua Russia ndio ina makosa kwa kuivamia nchi huru. Peleka propaganda yako ya ujamaa kwingine.
 
Hii maana yake hukubaliani na "Motion on the table", agenda iliyowakilishwa ni kupata kura za ndio ili kulaani Urusi, Kitendo cha kutopiga kura ni kutaka kuhakikisha kwamba 2/3 ya kura za ndio hazipatikani. The smart way of saying No"
Wewe acha fix, ile Resolution inakuwa na wanaoiunga mkono, wanayoipinga na ambao hawapingi wala hawaungi mkono. Tanzania ilichokifanya ni kutoku side na upande wowote.
 
MY TAKE; Hii ndiyo misingi imara iliyojengwa na baba wa Taifa pendwa Mwl; Julius Nyerere.

Urusi, China, Cuba, na Tanzania zimekua pamoja katika kipindi chote kigumu enzi za ukoloni, nchi nyingi za Magharibi zilitukimbia na hata kutuwekea vikwazo vya biashara kwasababu ya mahusiano yetu na mataifa haya ya kijamaa, Hawa ndio hawakututupa wakati wote huo, haifai kukurupuka na kuwaacha katika kipindi hiki kigumu kwao, Hongera Sana Tanzani kwa kutopiga kura.
Inawezekana katika wakati flani katika historia hawa ndio walikuwa marafiki wazuri wa Tanzania. Jambo ambalo ni lazima tulikubali ni kuwa nchi za kijamaa hazina historia nzuri wala uzingatiaji wa haki za binadamu. Ukiangalia mfumo wa uongozi wa Urusi, China , Cuba na nchi nyingine za kijamaa,ni wazi hauvutii kwa watu wengi walio wastaarabu.
Urusi kwa Tanzania amekuwa akitoa baadhi ya nafasi za elimu lakini hana mchango mwingine nje ya hapo, tena hata wanafunzi wakimaliza zaidi ya nusu huwa vichaa. Kuna watu wanasema Urusi hakuwahi kuitawala Afrika, ni sawa kabisa, ila madili ya Urusi ni kwenye kuuza silaha. Hata kwenye ile vita na Uganda, baada ya vita kuwa ngumu Mwl aliwatafuta kwa ajili ya kupata silaha, walidai malipo cash, na zaidi ilionekana walifanya double dealing, waliuza ndege za vita Uganda, Tz akauziwa makombora ya kuziangusha.
Kwa upande wa China, huyu hana rafiki wa kudumu, yuko tayari hata kuuwa watu ili apate anachokihitaji. Siku za karibuni naamini kila mmoja ameona tabia za mikopo ya China, ukikaa vibaya wanabeba nchi. Kwa Tanzania, wakati wa Ujenzi wa reli ya kati, wachina walivyofika maeneo ya Morogoro walianza kuchimba madini na kusafirishwa kimagendo kwenda China, kilichoharibu hili dili ni siku gunia lilianguka airport likiwa na madini.
Kwa Tanzania, Marekani amekuwa akisaidia vitu vingi, madawa, neti, ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali, maji, elimu, budget etc. Ni kweli kuna nchi ambazo US amefanya uonevu wa dhahiri, na ndio maana hata hapa JF wanampinga kutokana na aliyoyofanya kwenye nchi hizo, ukweli ni kuwa US na Umoja wa Ulaya wana usaidizi mkubwa kwa Tz kuliko hizo nchi za kijamaa.
 
Hamburuzwi na nchi za magharibi wakati hamna hata ubavu wa kupiga kura? Ndio utamaduni wenu huo, unafiki na uoga. Bure kabisa.
 
MY TAKE; Hii ndiyo misingi imara iliyojengwa na baba wa Taifa pendwa Mwl; Julius Nyerere.

Urusi, China, Cuba, na Tanzania zimekua pamoja katika kipindi chote kigumu enzi za ukoloni, nchi nyingi za Magharibi zilitukimbia na hata kutuwekea vikwazo vya biashara kwasababu ya mahusiano yetu na mataifa haya ya kijamaa, Hawa ndio hawakututupa wakati wote huo, haifai kukurupuka na kuwaacha katika kipindi hiki kigumu kwao, Hongera Sana Tanzani kwa kutopiga kura.
Tanzania ame abstain,, vilevile Elitrea, South Africa, Uganda n.k. sio sisi tu tumeamua kumute. sio kitu cha ajabu hicho. wamagaribi wanaipenda kenya kuliko sisi, tukienda kichwakichwa tukiamini wanatupenda watatusaidia tutakuwa tunajidanganya. bora tuonyeshe msimamo wetu ili wao waamue kama wanakuja kwetu kwa adabu au wanaendelea kututenga. china ina faida kwetu kuliko wamagaribi, russia hana faida sana lakini anaweza kutuuzia silaha, wamagaribi hawawezi.
 
sisi Kenya hatuezi support mnyanyasaji wa livelive!!! Akiua na kuibia watu Nchi yao nzima!!!
Nyinyi TZ tangu enzi za kitambo mmekuwa mkisupoti madikteta beberuz!! Usijifanye mmeabstain kuvote! Na mko mmefuatana na tunawajua!hiyo kuabstain inamanisha "kukataana na mambo ya Ukraine na kukubaliana na Putin!!!" Kama Belarus na china!! Dictators!
Ile siku Tundu lisu atataka kugawanya nchi ya TZ pia sisi tuta abstain kuvote in AU!!!!my niggass😬😬😬

Msijisahaulishe,
Iraq na Libya walivyokuwa wakishambuliwa na marekani nani alikuwa upande wa wanaopigwa. Hamna aliyesema lolote kukemea. Wote walikuwa akifuata kama mbuzi. Nilitegemea Afrika yote isipige kura kuonesha kutojihusisha na mambo ya hovyo kama haya. Unakumbuka vile marekani ilivyoishambulia Iraq kwa kisingizio cha kwamba nchi hiyo ina mabomu ya nuclear. Lkn walivyoivuruga, wakagundua kwamba hakuna hata chembe ya bomu la nuclear. Lkn hamna aliyejaribu kumkemea marekani, wala kumuwekea vikwazo. Hapo tunaweza kusema hakuna usawa kabisa.
 
Mchina anatoroka Urusi halafu watu wengine wapo hapa kusifia Urusi

 
Unapoiwekea vikwazo Russia pamoja na mapungufu yake uangalie pia vikwazo hivyo vinamuumiza nani. The common mwananchi wa Russia ndie atakaye suffer hawa viongozi vikwazo havitawaumiza sana.

Alipompiga Iraq na Libya bila sababu yoyote, hakuna aliye muwekea vikwazo. Sasa mwingine anapiga, anaanza kuwakusanya wengine wamuwekee vikwazo.
 
Back
Top Bottom