UN: Wakenya wasio na uhakika wa kula kuongezeka zaidi ya mara mbili

UN: Wakenya wasio na uhakika wa kula kuongezeka zaidi ya mara mbili

Hii corona imekuja kutuonesha rasmi nani ni nani,

Pia imetuonesha uwezo wa kufikiri wa serikali ya kunya ilivyo fupi,

Hongera JPM kwa kupuuza vile vikao vyao na kukataa kupokea simu zao.
Vile vinaitwa vikao vya kipuuzi ,hivi nchi dhaifu kama Kenya haiwezi hata kumudu mlo wake tu inawezaje kuiwekea vikao Tanzania huku wakiungana na mafukara wenzake hahahaha huu c mtihani huu!! .eti wameitenga Tanzania wanafanya kikao Kenya ,Uganda Burundi sijui na Sudan sasa hizi nchi zote hazina faida hata ya 25% tu Kwa Tanzania unapoitenga TZ hivi kuna madhara yeyote yatatokea? Si sawa na kutambaliwa na sisimizi tu
 
Sasa hii ndio inanipa picha kwanini wanawake wa kunyacountry wanapenda kuolewa huku, wengine wanawalilia hata wasanii wa Tz.

Kuweni wakweli ombeni chakula Tz vitu vinaozea mashambani na kulisha nguruwe si bora kula hata makombo ya Tz?
hashtag

donate food to fellow kenyan
 
Vile vinaitwa vikao vya kipuuzi ,hivi nchi dhaifu kama Kenya haiwezi hata kumudu mlo wake tu inawezaje kuiwekea vikao Tanzania huku wakiungana na mafukara wenzake hahahaha huu c mtihani huu!! .eti wameitenga Tanzania wanafanya kikao Kenya ,Uganda Burundi sijui na Sudan sasa hizi nchi zote hazina faida hata ya 25% tu Kwa Tanzania unapoitenga TZ hivi kuna madhara yeyote yatatokea? Si sawa na kutambaliwa na sisimizi tu
Kabisa ni vikao vya kipuuzi na ndio maana JPM alivipuuza.
 
Chanzo cha Njaa Kenya ni Sera Mbovu ya Ardhi. Poor Land Policy.
Adhi yote imemilikishwa na kuhodhiwa na watu binafsi.
Jambo hili linamfanya maskini kuwa maskini zaidi kila kukicha.
Sera ya Tanzania, Ardhi ni Mali ya Serikali, na Mwananchi anakodishwa tu, au kupewa bure au kunua kwa mda maalum.
Jambo hili lina mwezesha Kila Mtanzani kuwa na Ardhi ya kulima chakula.
Nawapa pole jamaa zangu wa Kenya.
Ni fulsa kwa nchi jirani kufanya Biashara ya mazao ya chakula kwa hawa jamaa zetu.
Mkuu yani Tanzania kulala njaa ni uzembe wako na hata kama utalala njaa kwa kukosa hela itakuwa ni kwa muda mfupi sana.

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu yani Tanzania kulala njaa ni uzembe wako na hata kama utalala njaa kwa kukosa hela itakuwa ni kwa muda mfupi sana.

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Nakumbuka wakati fulani tulikuwa tunakula kwa Mama Ntilie.
Yaani Ugali au Wali na Kipande kubwa cha Kuku wa Kienyeji.
Shilingi Elfu Moja tu.
Mpaka tulikuwa tunajiuliza hivi huyu mama hao kuku anawatoa wapi.
Na ni kuku safi kabisa na ni kila siku.
Maana kuku wa Kidere anajulikana anatoa harufu hata aungwe vipi, na sio Broiler.
Hadi leo nimekosa jibu.
 
Manyang'au tuko bize kunya hatuna habareee
FB_IMG_15941974623936354.jpg
 
Chanzo cha Njaa Kenya ni Sera Mbovu ya Ardhi. Poor Land Policy.
Adhi yote imemilikishwa na kuhodhiwa na watu binafsi.
Jambo hili linamfanya maskini kuwa maskini zaidi kila kukicha.
Sera ya Tanzania, Ardhi ni Mali ya Serikali, na Mwananchi anakodishwa tu, au kupewa bure au kunua kwa mda maalum.
Jambo hili lina mwezesha Kila Mtanzani kuwa na Ardhi ya kulima chakula.
Nawapa pole jamaa zangu wa Kenya.
Ni fulsa kwa nchi jirani kufanya Biashara ya mazao ya chakula kwa hawa jamaa zetu.
na kwa sasa hamna kuwauzia mahindi etc raw food ; sasa tutasindika na kuwapa processed hawa ni masikini jeuri
 
Kinachowadanganya zaidi wakenya thaman yao ya shilingi , wanasahau hiyo thamani haisaidii katika malipo au kulipwa mshahara unaokidhi mahitaji .mfano kazi utakayoifanya Kenya ukalipwa Kwa pesa ya Kenya na ukaifanya kazi hiyo hiyo Tanzania ukalipwa Kwa pesa ya Tanzania ukija kuichenji kua pesa ya kenya unaweza kukuta aliefanya kazi Tanzania kalipwa vizur au ikawa sawa sawa sasa dhaman ya pesa inamsaidia nini mwananchi wa kawaida? . Nandio maana wakenya wanashangilia thamani ya pesa yao huku wachezaji wenye viwango wanakuja kuchezea mpira TZ lakini pia kenya haiwezi kumchukua mchezaji wa mpira mwenye kiwango kutoka Tanzania sasa watabaki tu kujifariji ela za madafu ila zina nguvu kuliko pesa zao .
Hakuna siku hela yenu ya madafu itakuja kushindana na hela tukufu ya Kenya. Pesa yenu ya kubeba kwenye wheelbarrow kama ile ya Zimbabwe ndio unataka kulinganisha na pesa safi ya Kenya?
 
Nakumbuka wakati fulani tulikuwa tunakula kwa Mama Ntilie.
Yaani Ugali au Wali na Kipande kubwa cha Kuku wa Kienyeji.
Shilingi Elfu Moja tu.
Mpaka tulikuwa tunajiuliza hivi huyu mama hao kuku anawatoa wapi.
Na ni kuku safi kabisa na ni kila siku.
Maana kuku wa Kidere anajulikana anatoa harufu hata aungwe vipi, na sio Broiler.
Hadi leo nimekosa jibu.
Yaani wewe mtu mzima unakaa chini unaongea kuhusu chakula? Hahaha enyewe watanzania wako very immature. Yaani bado hamjabaleghe. Nyie ni kama watoto tu. Hivi itakuwaje uzi huu umejaa watu wazima wanakaa chini na kuandika kuhusu jinsi walikula kuku na ugali? Kama Kenya hatuli mbona hatujafa?
 
Hakuna siku hela yenu ya madafu itakuja kushindana na hela tukufu ya Kenya. Pesa yenu ya kubeba kwenye wheelbarrow kama ile ya Zimbabwe ndio unataka kulinganisha na pesa safi ya Kenya?
Haupo serious na point ya msingi, labda nikuulize tu swali dogo mchezaji gani wa mpira aliekua na ubora wa Tanzania anachezea huko kwenu?
 
Hakuna siku hela yenu ya madafu itakuja kushindana na hela tukufu ya Kenya. Pesa yenu ya kubeba kwenye wheelbarrow kama ile ya Zimbabwe ndio unataka kulinganisha na pesa safi ya Kenya?
Jamaa kazungumza vizuri sana, unashindwa kumjibu kwa kutumia economic knowledge unabaki kupiga kelele za mtaani.

Jiulize kwanini wachezaji wa mpira hapa EAC wote ndoto yao ni kuja kucheza mpira Tanzania?, jiulize kwanini makampuni mengi ya Kenya yanakimbilia kuwekeza Tanzania?.

Thamani ya pesa haina maana yoyote kama uchumi wako hauna nguvu, ni sawa na UK na USA.
 
Jamaa kazungumza vizuri sana, unashindwa kumjibu kwa kutumia economic knowledge unabaki kupiga kelele za mtaani.

Jiulize kwanini wachezaji wa mpira hapa EAC wote ndoto yao ni kuja kucheza mpira Tanzania?, jiulize kwanini makampuni mengi ya Kenya yanakimbilia kuwekeza Tanzania?.

Thamani ya pesa haina maana yoyote kama uchumi wako hauna nguvu, ni sawa na UK na USA.
Huyo ndio huwa anajisifu humu kuwa amesoma uchumi wakati saa nyingine naona kuwa bora sisi tuliosoma uchumi kama somo tena semister moja.
 
Back
Top Bottom