UN: Wakenya wasio na uhakika wa kula kuongezeka zaidi ya mara mbili

UN: Wakenya wasio na uhakika wa kula kuongezeka zaidi ya mara mbili

Kwahiyo unakubali serikali yenu imefeli kwenye Sera , na ili irudi kwenye mstari inaweza ikakosekana kabisa utulivu maana itahitajika ifanye maamuzi magumu Kwanza urudisha ardhi yote serikalini kisha kutunga sera upya ya kuigawa sasa Jambo hilo inawezekana yakatokea ya Zimbabwe
Hilo haliwezi kufanyika. Serikali yetu haijali sera ya wanachi kwa undani sana. Bora wananchi wanakula na hawapigi makelele, basi serikali inajitia hamnazo.
 
Hilo haliwezi kufanyika. Serikali yetu haijali sera ya wanachi kwa undani sana. Bora wananchi wanakula na hawapigi makelele, basi serikali inajitia hamnazo.
Bc kama unalielewa hilo sawa nilizan nawe mshabiki kama mk 254
 
Hilo haliwezi kufanyika. Serikali yetu haijali sera ya wanachi kwa undani sana. Bora wananchi wanakula na hawapigi makelele, basi serikali inajitia hamnazo.
Sio hamnazo kuna kazi ngumu sana kurudisha ardhi Kwa wananchi maana hata huku kuna kipindi vigogo walihodhi maeneo makubwa hawayatumii kuwapokonya ngumu ila Kwa kua Sheria ipo wazi ya ardh angalau watu wanabanwa mahakamani eneo linachukuliwa anabakishiwa eneo analoweza kulimudu tu
 
Wanajifungia huku wanakufa njaa. Wafungue mipaka tuwapelekee chakula. Sisi ni wakarimu sana. Naipenda nchi yangu Tanzania, nchi yenye maziwa na asali ya kutosha.
 
Back
Top Bottom