Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
We Ongelea madini.Yaani wewe mtu mzima unakaa chini unaongea kuhusu chakula? Hahaha enyewe watanzania wako very immature. Yaani bado hamjabaleghe. Nyie ni kama watoto tu. Hivi itakuwaje uzi huu umejaa watu wazima wanakaa chini na kuandika kuhusu jinsi walikula kuku na ugali? Kama Kenya hatuli mbona hatujafa?
Kwakuwa ni mature.