Kwahiyo unakubali serikali yenu imefeli kwenye Sera , na ili irudi kwenye mstari inaweza ikakosekana kabisa utulivu maana itahitajika ifanye maamuzi magumu Kwanza urudisha ardhi yote serikalini kisha kutunga sera upya ya kuigawa sasa Jambo hilo inawezekana yakatokea ya Zimbabwe