Una-deal vipi na mwenza mwenye high libido?

Una-deal vipi na mwenza mwenye high libido?

Duh hapo inakuwa bado haja fahamu kama ana tatizo la gono?

Au hizo ni effevcts za gono zinazo acha ndani ya uke hata kama ametibika??
Hapo wote hamfahamu.Ila wewe mwanaume ndio Huwa unaanza kuumwa,, mwanamke Huwa hajui mpaka wewe mwanaume ukianza kuumwa ndio unamshtua na Yeye aende akatibiwe...Ila Huu ugonjwa mwanamke hukaa nao Mda mrefu pasipo kujua na huwa unamdhuru to the maximum.
 
Niliwahigi kupata wa hivyo alikuwa mgogo aisee nilinyosha mikono juu

Alikuwa mkali huyo anataka kila siku kila dakika

Ukilala tu kidogo ushaamshwa
Ukikohoa tu unatengewa
Ukigeuza unatengewa

Na alikuwa hataki maelezo ni show show tu tena ya kibabe na alikuwa mkali juu ya hilo suala sijapata ona wala kukutana na mwingine wa hivyo
 
Kwa wale tuliosoma majohe praimari

High libido ina maanisha hali yakuwa una uhitaji usio wa kawaida wa kufanya sex mara kwa mara.

Kwa upande mwingine ukiwa na mwenza wa namna hii, unaweza chukulia simple lakini tena baadae ikawa mzigo kwako

⚛️Muda
⚛️Nguvu
⚛️Jitihada ya kumridhisha
⚛️Red flag ya yeye kucheat
maana anaweza akakukatana na mtu hata safarini wakaanza mambo

Na mengine mengi.

So how do u maintain n manage all that...
KAMA SIO BIKRA USIOE
 
Niliwahigi kupata wa hivyo alikuwa mgogo aisee nilinyosha mikono juu

Alikuwa mkali huyo anataka kila siku kila dakika

Ukilala tu kidogo ushaamshwa
Ukikohoa tu unatengewa
Ukigeuza unatengewa

Na alikuwa hataki maelezo ni show show tu tena ya kibabe na alikuwa mkali juu ya hilo suala sijapata ona wala kukutana na mwingine wa hivyo
Vp magoti yalikuwa hayaumi mkuu haahahahah
 
Anataka kila muda kwa sababu haridhishwi. Wewe piga kazi ile ile uone kama atataka tena kila saa.
Kwanza wanawake kuna hiyo unagegedwa hadi ukienda kunawa kidole hakipiti papuchi imevimba. Unaanzaje kutaka tena?
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🤣🤣🤣🤣🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🫣🫣🫣

Basi mama umemaliz topic hahaha
 
Back
Top Bottom