Una-deal vipi na mwenza mwenye high libido?

Una-deal vipi na mwenza mwenye high libido?

Hapo wote hamfahamu.Ila wewe mwanaume ndio Huwa unaanza kuumwa,, mwanamke Huwa hajui mpaka wewe mwanaume ukianza kuumwa ndio unamshtua na Yeye aende akatibiwe...Ila Huu ugonjwa mwanamke hukaa nao Mda mrefu pasipo kujua na huwa unamdhuru to the maximum.
Eehh ndio iko hivyo 🤣🤣🤣

Ndio maana huwa wanaweza kuwaambukiza wanaume wengi Sana endapo kama mwanamke atakuwa ni male Maana huwa hawajijui kama Wana ugonjwa
 
Kwa wale tuliosoma majohe praimari

High libido ina maanisha hali yakuwa una uhitaji usio wa kawaida wa kufanya sex mara kwa mara.

Kwa upande mwingine ukiwa na mwenza wa namna hii, unaweza chukulia simple lakini tena baadae ikawa mzigo kwako

⚛️Muda
⚛️Nguvu
⚛️Jitihada ya kumridhisha
⚛️Red flag ya yeye kucheat
maana anaweza akakukatana na mtu hata safarini wakaanza mambo

Na mengine mengi.

So how do u maintain n manage all that...
Njoo tubadilishane.

Huyu wa kwangu hadi ukamshtaki kwa mjumbe ndo anatoa mzigo. Huyo dem wako ndo anaendana na mimi. Full kuchuja nafaka hadi kibubu kinaomba poo
 
Wanawake wa hivyo me ndio Nina wapenda sasa Maana huwa hawajivungi kuomba kuliwa Mimi napenda wanawake wasio jivunga wale machzi kuliwa

Ila Hao wao wanafaa zaidi katika mahusiano haya yakawaida awe ni sex partner Tu na sio eti umuoe umeweke ndani wee utagongewa mpaka na kuku maana unaweza ukapata safari halafu akatoka na ndugu yako
falsafa ngumu kweli..
Kizuri kula na mwezako.
Kunyimana dhambi😄
 
Niliwahi kuwa nae mmoja, ilibidi nitafute tu sababu ya kumuacha kabla hatujafika mbali maana niliwaza ikitokea nikamuoa sitakua na amani kabisa nikiwa mbali na nyumbani.

Kitu kimoja ambacho huwa nakimiss kutoka kwake hadi sasa ni vile alikua anafurahia tendo kuanzia sekunde ya kwanza hadi mnamaliza, hiyo ilimfanya pia afike mshindo mara zote.

Kiukweli mwanamke kama yule uishie kusimuliwa tu, anaweza hata kukuua, nakumbuka kuna weekend moja nimeenda kumtembelea chuo, roommates wake hawakuwepo, tulishinda tunabadilisha venue na style.
 
Nyie wenzangu mnagongaje kwani !? 😁😁😁😁
Maana Mimi bhana sijui Nina matatizo nikisex na mwanamke akiamka asubuhi asipo umwa basi lazima awe amechoka Sana ana lala hoi mpaka basi , Namimi mwenyewe naweza kuwa Hoi siku nzima cause huwa Nina Tatizo la kuchelewa kupiz naweza kulitafuta bao mpaka lisaa 1 na nusu na lisitoke kuna wakati huwa mpaka nikaoge then nikisex tena ndio Nina piz , na situmii buster
Dawa ya Moto ni Moto.
Tumia buster, utapona tatizo lako
 
Niliwahi kuwa nae mmoja, ilibidi nitafute tu sababu ya kumuacha kabla hatujafika mbali maana niliwaza ikitokea nikamuoa sitakua na amani kabisa nikiwa mbali na nyumbani.

Kitu kimoja ambacho huwa nakimiss kutoka kwake hadi sasa ni vile alikua anafurahia tendo kuanzia sekunde ya kwanza hadi mnamaliza, hiyo ilimfanya pia afike mshindo mara zote.

Kiukweli mwanamke kama yule uishie kusimuliwa tu, anaweza hata kukuua, nakumbuka kuna weekend moja nimeenda kumtembelea chuo, roommates wake hawakuwepo, tulishinda tunabadilisha venue na style.
Miti Miti Miti
Kama msituni vile
 
Back
Top Bottom