Una-deal vipi na mwenza mwenye high libido?


Huwa tunawaacha
 
Kama ni KE achana naye atakusumbua sana na atakuletea aibu kitaa maana atazibuliwa hadi na wazoa TAKA ukiachilia mbali BODABODA.
 
Wanawake wa hivyo me ndio Nina wapenda sasa Maana huwa hawajivungi kuomba kuliwa Mimi napenda wanawake wasio jivunga wale machzi kuliwa

Ila Hao wao wanafaa zaidi katika mahusiano haya yakawaida awe ni sex partner Tu na sio eti umuoe umeweke ndani wee utagongewa mpaka na kuku maana unaweza ukapata safari halafu akatoka na ndugu yako
 
Nyie wenzangu mnagongaje kwani !? 😁😁😁😁
Maana Mimi bhana sijui Nina matatizo nikisex na mwanamke akiamka asubuhi asipo umwa basi lazima awe amechoka Sana ana lala hoi mpaka basi , Namimi mwenyewe naweza kuwa Hoi siku nzima cause huwa Nina Tatizo la kuchelewa kupiz naweza kulitafuta bao mpaka lisaa 1 na nusu na lisitoke kuna wakati huwa mpaka nikaoge then nikisex tena ndio Nina piz , na situmii buster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…