Una-deal vipi na mwenza mwenye high libido?

Eehh ndio iko hivyo 🤣🤣🤣

Ndio maana huwa wanaweza kuwaambukiza wanaume wengi Sana endapo kama mwanamke atakuwa ni male Maana huwa hawajijui kama Wana ugonjwa
 
Njoo tubadilishane.

Huyu wa kwangu hadi ukamshtaki kwa mjumbe ndo anatoa mzigo. Huyo dem wako ndo anaendana na mimi. Full kuchuja nafaka hadi kibubu kinaomba poo
 
falsafa ngumu kweli..
Kizuri kula na mwezako.
Kunyimana dhambi😄
 
Niliwahi kuwa nae mmoja, ilibidi nitafute tu sababu ya kumuacha kabla hatujafika mbali maana niliwaza ikitokea nikamuoa sitakua na amani kabisa nikiwa mbali na nyumbani.

Kitu kimoja ambacho huwa nakimiss kutoka kwake hadi sasa ni vile alikua anafurahia tendo kuanzia sekunde ya kwanza hadi mnamaliza, hiyo ilimfanya pia afike mshindo mara zote.

Kiukweli mwanamke kama yule uishie kusimuliwa tu, anaweza hata kukuua, nakumbuka kuna weekend moja nimeenda kumtembelea chuo, roommates wake hawakuwepo, tulishinda tunabadilisha venue na style.
 
Dawa ya Moto ni Moto.
Tumia buster, utapona tatizo lako
 
Miti Miti Miti
Kama msituni vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…