Hiyo still sio justification ya jamii na taifa Kwa ujumla kutopambana na kuondoa tatizo chronic la unemployment tulilo nalo , msiongee vitu vizito kama hivi Kwa kutoa points petty kama hizi. Watu hawawezi kuishi kama wanacheza kamali , eti unataifa la watu milioni 60 almost a half of it ni vijana tena wengi wenye elimu kubwa na qualifications za kufanya decent jobs ambazo zinaweza kucontribute kwenye growth ya economy , eti wawe wabeba miZigo na kazi nyingibe za kipuuzi , Acha upuuzi na unafiki
Ni Nani Kati yenu hapa Yuko radhi kumuona mtoto wake au yeye mwenyewe akifanya hizo shughuli za kipuuzi ? , Unless labda kama hamjawahi kupitia hii dhahama ya unemployment .