Una Degree na unafanya kazi ambayo ungeweza kuifanya hata kama ungeishia darasa la saba

Una Degree na unafanya kazi ambayo ungeweza kuifanya hata kama ungeishia darasa la saba

Kuna mwamba maeneo fulani asubuhi unamkuta amekaa kwenye kigoda pembeni ana jiko la mkaa anachoma vitumbua nikasema hii vita ni ngumu sana na mwamba sidhani kama sio graduate[emoji23][emoji23].
Ndo hivyo maisha ni mapambano
 
Kama wewe ni great thinker wala usingewaza hivyo. Lazima ungegusa pande zote ili ndiyo tujadili ni kwanini, sasa kwa ulipoishia kuandika mimi nashindwa kujadili maana pia wapo darasa la saba wanaofanya kazi za wenye degree eidha kwa kupeana kindugu ama kijuana kwa namna moja aau nyingine.

Sasa kama wa degree kazi yake imepatiwa mtu wa la saba aifanye kisa tu baba yake anajuana na watu flani ni lazima nae jamaa wa degree apige U_Turn moja matata akapige kazi ya jamaa wa darasa la saba sasa.... Na hapo sasa ndiyo utakuta jamaa wa degree anachimba mitaro, Anavuta mkokoteni, yeye ni fundi saidia analipwa 5,000 per day... sasa atafanyaje jamaa wawatu hana jinsi.

Nafikiri tuishie hapa. Ingawa nimejibu kwa kusoma tittle tu. Ngoja niupitie uzi sasa.

Habari za asubuhi lakini.
😂😂😂😂🙌🏾
 
Hizo kazi zote anazofanya ukute hakuwa competent hata moja. Mtu aliyetoka Engineering DIT ukamkabidhi masaani ya DJ hawezi kuwa perfect kwenye hiyo kazi labda awe aliwekeza muda wake mwingi uko kabla ili awe master. Vilevile huwezi fyatua mtu mtaani ukampa jiko la bar apike akawa vizuri kisa ana degree ya miaka minne. Lazima alipata tabu kwenye kazi hizo mpaka kuzoea.

Kuna chefs wanapigwa hela ndefu na wanagombaniwa kwenye mahoteli hasa ya kitalii. Ila kuanzia engineering na kuwa master chef unachelewa kiasi
Hahahahaha daaah
 
Kuna wakati maisha yanakuwa magumu unaamua kuweka qualifications pembeni na kuangalia namna ya kusurvive.

By the way, hakukuambia kama alijiunga na usalama wa Taifa na hapo yupo kazini?
😂😂😂😂 ukiwaambia watu una degree alaf unauza machungwa wataanza kuzusha kwamba wewe ni usalama na hupo hapo kuwachunguza.
 
Kuna mwamba maeneo fulani asubuhi unamkuta amekaa kwenye kigoda pembeni ana jiko la mkaa anachoma vitumbua nikasema hii vita ni ngumu sana na mwamba sidhani kama sio graduate[emoji23][emoji23].
Hahaha hii vita ni ngumu kaka
 
Kama wewe ni great thinker wala usingewaza hivyo. Lazima ungegusa pande zote ili ndiyo tujadili ni kwanini, sasa kwa ulipoishia kuandika mimi nashindwa kujadili maana pia wapo darasa la saba wanaofanya kazi za wenye degree eidha kwa kupeana kindugu ama kijuana kwa namna moja aau nyingine.

Sasa kama wa degree kazi yake imepatiwa mtu wa la saba aifanye kisa tu baba yake anajuana na watu flani ni lazima nae jamaa wa degree apige U_Turn moja matata akapige kazi ya jamaa wa darasa la saba sasa.... Na hapo sasa ndiyo utakuta jamaa wa degree anachimba mitaro, Anavuta mkokoteni, yeye ni fundi saidia analipwa 5,000 per day... sasa atafanyaje jamaa wawatu hana jinsi.

Nafikiri tuishie hapa. Ingawa nimejibu kwa kusoma tittle tu. Ngoja niupitie uzi sasa.

Habari za asubuhi lakini.
🙌🏾🙌🏾
 
Hii inatokana na mifumo mbovu Kwanza WA jinsi labour inavyokuwa organised kwenye nchi , hii nchi ni ya kipumbavu Sana , utakuta mtu kaishia la pili kaajiriwa anafanya kazi ya qualifications za mtu WA degree , it's so messy + nepotism +bribery .
Plus uchumi mbovu usiozalisha ajira leaving people unemployed and destitute . Ni dalili mbaya Sana hii , mnabaki na uchumi WA kwenye makaratasi Ila wananchi hoi bin taabani , watu wanaishi kama wapo vitani .
Very true mkuu🙌🏾
 
Hizo kazi zote anazofanya ukute hakuwa competent hata moja. Mtu aliyetoka Engineering DIT ukamkabidhi masaani ya DJ hawezi kuwa perfect kwenye hiyo kazi labda awe aliwekeza muda wake mwingi uko kabla ili awe master. Vilevile huwezi fyatua mtu mtaani ukampa jiko la bar apike akawa vizuri kisa ana degree ya miaka minne. Lazima alipata tabu kwenye kazi hizo mpaka kuzoea.

Kuna chefs wanapigwa hela ndefu na wanagombaniwa kwenye mahoteli hasa ya kitalii. Ila kuanzia engineering na kuwa master chef unachelewa
hii ni 50/50 unaweza ukawa vizuri kwa kazi/fani zaid ya moja na inawezekaa sana(mifano hai ipo we angalia ktk jamii uliyomo)
kwahiyo usihitimishe hivo,labda mpaka umpime kwanza
 
Kuna Jamaa mmoja nilimsikia redioni anasimulia. Ana elimu ya degree mbili,alianza kazi kubeba mizigo duka la fenicha baada ya kukosa kazi muda mrefu. Alikuja client mzungu jamaa akamuhudumia vizuri huku Kiingereza kimenyooka. Mzungu akanote jamaa ni smart, akamtoa pale. The rest is history. Jamaa sasa hivi ni one of influential people in Tz.
Hiyo still sio justification ya jamii na taifa Kwa ujumla kutopambana na kuondoa tatizo chronic la unemployment tulilo nalo , msiongee vitu vizito kama hivi Kwa kutoa points petty kama hizi. Watu hawawezi kuishi kama wanacheza kamali , eti unataifa la watu milioni 60 almost a half of it ni vijana tena wengi wenye elimu kubwa na qualifications za kufanya decent jobs ambazo zinaweza kucontribute kwenye growth ya economy , eti wawe wabeba miZigo na kazi nyingibe za kipuuzi , Acha upuuzi na unafiki

Ni Nani Kati yenu hapa Yuko radhi kumuona mtoto wake au yeye mwenyewe akifanya hizo shughuli za kipuuzi ? , Unless labda kama hamjawahi kupitia hii dhahama ya unemployment .
 
Hiyo still sio justification ya jamii na taifa Kwa ujumla kutopambana na kuondoa tatizo chronic la unemployment tulilo nalo , msiongee vitu vizito kama hivi Kwa kutoa points petty kama hizi. Watu hawawezi kuishi kama wanacheza kamali , eti unataifa la watu milioni 60 almost a half of it ni vijana tena wengi wenye elimu kubwa na qualifications za kufanya decent jobs ambazo zinaweza kucontribute kwenye growth ya economy , eti wawe wabeba miZigo na kazi nyingibe za kipuuzi , Acha upuuzi na unafiki

Ni Nani Kati yenu hapa Yuko radhi kumuona mtoto wake au yeye mwenyewe akifanya hizo shughuli za kipuuzi ? , Unless labda kama hamjawahi kupitia hii dhahama ya unemployment .
Acha kukurupuka nani kasema kuna justification hapo. Hapo inaonesha tu kama uko vizuri hata ukiamua kuanza chini utafika unapostahili.
 
Maisha ni vita.
Elimu ni silaha, na haipo yenyewe zipo silaha zingine Kama Nguvu, Mtaji, Rasilimali, n.k.

Ukienda vitani unaenda na silaha zote kwani haujui ni ipi itakayokusaidia kulingana na adui atakavyokuja.

Ni ujinga ukienda vitani alafu uone vita haihitaji Bunduki alafu ukalazimisha kutumia Bunduki ilhali vita inahitaji Labda mawe na visu
Hii comment niitengenezee Frem
 
Kama wewe ni great thinker wala usingewaza hivyo. Lazima ungegusa pande zote ili ndiyo tujadili ni kwanini, sasa kwa ulipoishia kuandika mimi nashindwa kujadili maana pia wapo darasa la saba wanaofanya kazi za wenye degree eidha kwa kupeana kindugu ama kijuana kwa namna moja aau nyingine.

Sasa kama wa degree kazi yake imepatiwa mtu wa la saba aifanye kisa tu baba yake anajuana na watu flani ni lazima nae jamaa wa degree apige U_Turn moja matata akapige kazi ya jamaa wa darasa la saba sasa.... Na hapo sasa ndiyo utakuta jamaa wa degree anachimba mitaro, Anavuta mkokoteni, yeye ni fundi saidia analipwa 5,000 per day... sasa atafanyaje jamaa wawatu hana jinsi.

Nafikiri tuishie hapa. Ingawa nimejibu kwa kusoma tittle tu. Ngoja niupitie uzi sasa.

Habari za asubuhi lakini.
Kuna Jamaa yangu anajiita Injinia, nasema anajiita kwa sababu hata Shule ya Msingi inasemekana aliishia njiani..Lakini Jamaa ni Mtu wa site anapiga kazi yupo busy mbaya.

Jamaa umahiri wake ni wa kutoa hesabu za haraka tu, yaani atakwambia Mchanga tatu, Moram moja, tofali elfu na mia tano tiles box 25 ni milioni tatu laki saba na hamsini...na hata ukipiga kw Calculator unapata hesabu hiyo...zaidi ya hapo ni tia maji...akikuandikia orodha ya Material ni mpaka umtafute mwenyewe akusomee, maana utakuta mahali ameandika hujui kama amemaanisha tyre au tiles.

Jamaa yupo njema, kafungua Hardware, ana Mijengo kadhaa familia bora...mara ya mwisho nimewasiliana nae ameomba nikisikia Noa nzuri inauzwa nimshtue imsaidie kazi zake maana Gari aliyona ni ndogo akiweka mashine ya tarazo inaelemewa.

Sasa ndio hivyoMaisha yalivyo, wenye degree zao wapo jikoni.
 
Wakati wewe unasugua bench mwengine baada ya kumaliza la saba yeye anajifunza kuhesabu pesa. Miaka 20 mkikutana yeye anauzoefu wa pesa wewe hata hesabu ujui
 
K
Hii inatokana na mifumo mbovu Kwanza WA jinsi labour inavyokuwa organised kwenye nchi , hii nchi ni ya kipumbavu Sana , utakuta mtu kaishia la pili kaajiriwa anafanya kazi ya qualifications za mtu WA degree , it's so messy + nepotism +bribery .
Plus uchumi mbovu usiozalisha ajira leaving people unemployed and destitute . Ni dalili mbaya Sana hii , mnabaki na uchumi WA kwenye makaratasi Ila wananchi hoi bin taabani , watu wanaishi kama wapo vitani .
A
Kwa viongozi hawa tusitegemee,labda tununue management ya kutuongoza toka nje
 
Back
Top Bottom