Una Degree na unafanya kazi ambayo ungeweza kuifanya hata kama ungeishia darasa la saba

Hii nchi pamoja na mama samia anasema anaifungua ila angeruhusu vijana waende nje ya nchi kutafuta fursa za ajira bila hvyo hatuwezi kutoboa kwa kweli.
 
Hii nchi pamoja na mama samia anasema anaifungua ila angeruhusu vijana waende nje ya nchi kutafuta fursa za ajira bila hvyo hatuwezi kutoboa kwa kweli.
Hakuna siku serikali itafanya hivyo,

Hili ni jukumu la kijana mwnyewe anyejitambua atoke kwenda kuangalia fursa nje ya nchi... walioshtuka wametoka wengine bado wanapambana na nyomi la usaili ,unakuta wanatakiwa watu 50 wana apply 6,000 na kila mwaka idadi inaendelea kuongezeka ya wahitimu ma jobless mtaani , so ni either wajiajiri or wasepe
 
We acha tu! Mie ningezaliwa Ulaya, sasa hivi ningekuwa dereva wa magari ya formula one. Ningekuwa na pesa nyingi sana at this age...
 
Ngoja waanze kujiajiri Kwa kuwa criminals na waunde organised crime cartels za scammers , drug traffickers , human traffickers , robbery , extortion NK tuone kama patakalika hapa , unajua siku zote akili za mtu mweusi huwa zinamhingia pale anapoanza kufeel maumivu directly , soon hii nchi haitakalika kama unavyoona nchi za Nigeria , Mexico NK huko , scammers na criminals every where . Panya road wamewanyoosha Tu wiki hapa mnajamba jamba ngoja toughened criminals ambao hawana cha kupoteza waanze kuoperate mtaona effects zake .

Passport zenyewe Tu za kufmsafiria kutoa wapuuzi wanaona ni kama wamekupa mabilioni .
 
Mkuu vipi maslahi ambayo ameyapata kutokana na hiyo kaz? Mlijadili hayo...
 
Kazi ni kazi
Kazi ni kazi mradi tu:
1. Mwenye uipende na kuenjoy
2. Iwe halali
3. Inakufikisha pale unapopataka(rejea namba moja)
 
Huyo jamaa hata simshangai,tuna wasomi kibao wazoefu lakini wamekimbilia kwenye siasa,akina Prof.Muhongo na Taaluma zao wapo kwenye siasa.Sasa kama jamaa kaamua kufanya kazi hiyo sawa tu.Kuna Injinia anamiliki duka la vipodozi,watu wake wa karibu walimwambia aachane na fani hiyo aingie kwenye biashara.Siku walipompeleka Dubai,fani ya Uinjinia akaiweka pembeni.
Serikali inapaswa kulegeza sheria za kupata passport na kuwaombea fursa vijana kwa nchi kama Malawi,Sudan Kusini,Burundi ili vijana wakafanye kazi huko.Hivi hatuoni jinsi viongozi wa kutoka mataifa kama Uturuki,China,Morocco wanavyokuja kuwaombea fursa watu wao.
 
Poin
 
Kwa hatua tuliyofikia sometimes mashuleni/vyuoni tunapiga Mark time tu watu wakue waingie kwenye michakato ya maisha pasipo kuzingatia sana walichokisomea. Ukisubiria kupata post ya ulichosomea utajikuta umezeeka na bahasha mkononi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…