Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hahaha hakyamama TOZO ni kiboko.Kwa maisha na mifumo ya kimaisha ya Afrika kupigika ni jambo la kawaida sana.
Hivi umewahi kujiuliza hawa Wazungu wanaotalii Tanzania na kuzunguka dunia kazi wabafanya saa ngapi?
Turudi kwenye mada.
Haya basi chukua kapesa kadogo ulichonacho kisha kashike na ukiamuru kiite wenzake (pesa zingine).
Hata kama una buku, mia, hamsini au jero.
Jifunze kuongea na pesa . Ongea nayo kama mtumwa wako. Nimemaliza.
Swali?
Mh🤔🧐Kwa maisha na mifumo ya kimaisha ya Afrika kupigika ni jambo la kawaida sana.
Hivi umewahi kujiuliza hawa Wazungu wanaotalii Tanzania na kuzunguka dunia kazi wabafanya saa ngapi?
Turudi kwenye mada.
Haya basi chukua kapesa kadogo ulichonacho kisha kashike na ukiamuru kiite wenzake (pesa zingine).
Hata kama una buku, mia, hamsini au jero.
Jifunze kuongea na pesa . Ongea nayo kama mtumwa wako. Nimemaliza.
Swali?
😅😅😅😅jf jamani kha!!Kwa maisha na mifumo ya kimaisha ya Afrika kupigika ni jambo la kawaida sana.
Hivi umewahi kujiuliza hawa Wazungu wanaotalii Tanzania na kuzunguka dunia kazi wabafanya saa ngapi?
Turudi kwenye mada.
Haya basi chukua kapesa kadogo ulichonacho kisha kashike na ukiamuru kiite wenzake (pesa zingine).
Hata kama una buku, mia, hamsini au jero.
Jifunze kuongea na pesa . Ongea nayo kama mtumwa wako. Nimemaliza.
Swali?
Eee bhana Mkuu , toa mchongo bhana .Kwa maisha na mifumo ya kimaisha ya Afrika kupigika ni jambo la kawaida sana.
Hivi umewahi kujiuliza hawa Wazungu wanaotalii Tanzania na kuzunguka dunia kazi wabafanya saa ngapi?
Turudi kwenye mada.
Haya basi chukua kapesa kadogo ulichonacho kisha kashike na ukiamuru kiite wenzake (pesa zingine).
Hata kama una buku, mia, hamsini au jero.
Jifunze kuongea na pesa . Ongea nayo kama mtumwa wako. Nimemaliza.
Swali?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Vijana wanapotea aiseee hali n ngm