Una lipi la kusema kwa ma agent wa Clautos Chama na Fabrice Ngoma kulalamikia timu zao haziheshimu kipengere cha kuwaanzisha first eleven?

Una lipi la kusema kwa ma agent wa Clautos Chama na Fabrice Ngoma kulalamikia timu zao haziheshimu kipengere cha kuwaanzisha first eleven?

Babu Chama kaponzwa na tamaa ya pesa. Apelekwe kwa mkopo mashujaa fc aimarishe kiwango chake au arudi Lusaka akalee vijukuu.

Ngoma naye kwa simba hii ya vijana hawezi pata namba. Akubali kuilipa simba pesa ya kuvunja mkataba akatafute changamoto nyingine
Alipokuwa Simba kwa kucheza 90+ ndipo na Coach Avram Grant wa Timu ya Taifa ya Zambia akaanza kumuita. Sasa kwa hizo dakika 10 anazopangwa na Yanga, asitegemee kamwe kuitwa timu ya Taifa ya Zambia. Huyu amekuwa mstaafu tayari
 
Wavunje mikataba Yao wakasajiliwe pamba jiji fc
Kwa namna kila mmoja alivyotua kwenye klabu yake, si rahisi kuvunja mkataba. Mikataba yao ni migumu kama ulivyokuwa wa Jobe 😂😂😂
 
Back
Top Bottom