Una lipi la kusema kwa ma agent wa Clautos Chama na Fabrice Ngoma kulalamikia timu zao haziheshimu kipengere cha kuwaanzisha first eleven?

Alipokuwa Simba kwa kucheza 90+ ndipo na Coach Avram Grant wa Timu ya Taifa ya Zambia akaanza kumuita. Sasa kwa hizo dakika 10 anazopangwa na Yanga, asitegemee kamwe kuitwa timu ya Taifa ya Zambia. Huyu amekuwa mstaafu tayari
 
Wavunje mikataba Yao wakasajiliwe pamba jiji fc
Kwa namna kila mmoja alivyotua kwenye klabu yake, si rahisi kuvunja mkataba. Mikataba yao ni migumu kama ulivyokuwa wa Jobe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…