Babu Chama kaponzwa na tamaa ya pesa. Apelekwe kwa mkopo mashujaa fc aimarishe kiwango chake au arudi Lusaka akalee vijukuu.
Ngoma naye kwa simba hii ya vijana hawezi pata namba. Akubali kuilipa simba pesa ya kuvunja mkataba akatafute changamoto nyingine