FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
Group mbili. Zote za Liverpool FC moja la bongo moja International. Huwa sichangii sana naweza kutuma ujumbe mmoja au mbili kwa mwezi.
Zote ziko muted π so kujua kinachoendelea mpaka niingie mwenyewe.
Hamna link mkuu ni mpaka interview. Ila kwa sasa sipo kwa mda.Napata vp lnk mkuu #YNWA
Mi nadhani yanafika 800. Na kila grupu nina kamchepuko
Umenipotezea sana siku hizi. Mi namwachia Maulana...Shemela langu hilo....
Shemela siko Dar...Umenipotezea sana siku hizi. Mi namwachia Maulana...
Safi sanaNina namba zaid ya moja nilichoamua simu moja kwa ajili ya hzo groups tu nyengne haina group hata moja, tho namba na simu yenye groups most of the time imezimwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi jua/ labda kampa mke wa watu mimba,.
HahahhaaHuwezi jua/ labda kampa mke wa watu mimba,.
Waweza kuta anatafutwa kama mimi nilivyokuwa natafutwa kipindi kile (Unakumbuka?)
Sasa hapo mwanaume lazima uingie chemba kidogo kusubiri upepo upite
BTW, baada ya kugida na huyo malaya mzinzi Baba V mliagana salama au alikurudisha mpaka chumbani kwako?